kaisilitangalila Member Joined Jul 1, 2015 Posts 41 Reaction score 14 Jun 14, 2017 #1 Habari zenu jamani natumia samsung ndogo lain moja nikaweka call barring ila sasa kila nikijaribu kutoa haitoki inaandika invald password msaada jaman plz mwenye ufahamu pz
Habari zenu jamani natumia samsung ndogo lain moja nikaweka call barring ila sasa kila nikijaribu kutoa haitoki inaandika invald password msaada jaman plz mwenye ufahamu pz
usser JF-Expert Member Joined Sep 25, 2015 Posts 13,978 Reaction score 14,097 Jun 14, 2017 #2 Wale wa Samsung piten hapa Mtoe masaada
twalib ngonyani JF-Expert Member Joined Apr 28, 2017 Posts 249 Reaction score 316 Jun 14, 2017 #3 ondoa hiyo kamba uliyofungia simu yako kwanza kila kitu kitakua sawa.
Baba Uzia Senior Member Joined Jul 19, 2015 Posts 136 Reaction score 54 Jun 14, 2017 #4 Google kwanza ukikosa njoo tena humu
kaisilitangalila Member Joined Jul 1, 2015 Posts 41 Reaction score 14 Jun 14, 2017 Thread starter #5 hamna kitu google jaman
Nurudin Jr Senior Member Joined May 25, 2017 Posts 180 Reaction score 99 Jun 16, 2017 #7 twalib ngonyani said: ondoa hiyo kamba uliyofungia simu yako kwanza kila kitu kitakua sawa. Click to expand...
twalib ngonyani said: ondoa hiyo kamba uliyofungia simu yako kwanza kila kitu kitakua sawa. Click to expand...
Burton86jm JF-Expert Member Joined Jul 28, 2011 Posts 616 Reaction score 183 Jun 17, 2017 #8 twalib ngonyani said: ondoa hiyo kamba uliyofungia simu yako kwanza kila kitu kitakua sawa. Click to expand...
twalib ngonyani said: ondoa hiyo kamba uliyofungia simu yako kwanza kila kitu kitakua sawa. Click to expand...
MWANDENDEULE JF-Expert Member Joined May 24, 2015 Posts 4,763 Reaction score 9,236 Jun 17, 2017 #9 nunua simu mpya mkuu
kaisilitangalila Member Joined Jul 1, 2015 Posts 41 Reaction score 14 Jun 17, 2017 Thread starter #10 MWANDENDEULE said: nunua simu mpya mkuu Click to expand... duuh
IT Guru JF-Expert Member Joined Feb 17, 2011 Posts 635 Reaction score 113 Jun 17, 2017 #11 piga #35*0000#
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 59,204 Reaction score 69,741 Jun 17, 2017 #12 Mkuu twalib ngonyani Mbona Umetoa Majibu Hayo Kama Tume Ya Kwanza Na Ya Pili Ya Makinikia
kaisilitangalila Member Joined Jul 1, 2015 Posts 41 Reaction score 14 Jun 17, 2017 Thread starter #13 IT Guru said: piga #35*0000# Click to expand... inaleta invalid password
Peter Madukwa JF-Expert Member Joined Sep 20, 2012 Posts 3,140 Reaction score 2,499 Jun 17, 2017 #14 We jamaa bhana, ka cm kenyewe hako na bdo unachepuka? Punguza mademu ununue nyngne
K kalma Member Joined May 27, 2017 Posts 18 Reaction score 14 Jun 17, 2017 #15 Nenda kwenye call divert,kisha deactivate all call diverts
L lokomu JF-Expert Member Joined Apr 25, 2013 Posts 4,916 Reaction score 3,509 Jun 17, 2017 #16 Kennedy said: Mkuu twalib ngonyani Mbona Umetoa Majibu Hayo Kama Tume Ya Kwanza Na Ya Pili Ya Makinikia Click to expand... ni mwana hisa wa akashia
Kennedy said: Mkuu twalib ngonyani Mbona Umetoa Majibu Hayo Kama Tume Ya Kwanza Na Ya Pili Ya Makinikia Click to expand... ni mwana hisa wa akashia
hyusuph JF-Expert Member Joined Dec 5, 2013 Posts 1,655 Reaction score 692 Jun 18, 2017 #17 Mi naona mleta mada kataka kutuchekesha tu na iyo simu Yke ya kamba
kaisilitangalila Member Joined Jul 1, 2015 Posts 41 Reaction score 14 Jun 20, 2017 Thread starter #18 JAMANI NISHAFANIKIWA NILIENDA TIGO WAKANITOLEA
Kirokonya JF-Expert Member Joined Jun 5, 2017 Posts 2,280 Reaction score 7,557 Jun 20, 2017 #19 twalib ngonyani said: ondoa hiyo kamba uliyofungia simu yako kwanza kila kitu kitakua sawa. Click to expand... Mkuu siyo kAMbA. Ni rubber band.
twalib ngonyani said: ondoa hiyo kamba uliyofungia simu yako kwanza kila kitu kitakua sawa. Click to expand... Mkuu siyo kAMbA. Ni rubber band.