Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,488
- 2,622
natafuta ndugu yangu leta huo ujuzi leo jamani! mie nataka niwe wakwanza kutumia hicho kibatari kunyolea humu jf nilete na mrejesho
somo linashindwa kuanza kwa sababu ya picha ujue!...na mrejesho ili unoge nao inabidi uwe na picha pia!
najitolea kuwa mpigaji...buuuuuure kbs!
Last edited by a moderator: