buswagg
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 418
- 726
wakuu habari zenu.
Kuna shoga angu anasema ana kaka ake analalamika ana tatizo limempata.
Sasa anasema mikono yake inapata ganzi ghafla hasa viganjani mpaka hadi videle vinakakamaa.
Pia mikono nayo inakakamaa, japo kuna baridi ila anasema hapana hii imezidi, hadi anapata maumivu akitaka kukunja mikono au kuinyoosha sometimes.
Nikamwambia ngoja niuliza wana JF wanaweza mpa ushauri wa afanye nini, ale nini au atumia dawa gani kurainisha mifupa yake na kuondoa hio ganzi.
Karibuni madr na wajuzi.
Kuna shoga angu anasema ana kaka ake analalamika ana tatizo limempata.
Sasa anasema mikono yake inapata ganzi ghafla hasa viganjani mpaka hadi videle vinakakamaa.
Pia mikono nayo inakakamaa, japo kuna baridi ila anasema hapana hii imezidi, hadi anapata maumivu akitaka kukunja mikono au kuinyoosha sometimes.
Nikamwambia ngoja niuliza wana JF wanaweza mpa ushauri wa afanye nini, ale nini au atumia dawa gani kurainisha mifupa yake na kuondoa hio ganzi.
Karibuni madr na wajuzi.