Jinsi ya kujua uwiano wa uzito na urefu wako kiafya

riba

Member
Dec 30, 2016
23
13
Uwiano wa uzito wa mwili kulingana na urefu kitaalamu hujulikana kama BODY MASS INDEX (BMI)

Uwiano huu hupatikana kwa njia ya hisabati ambapo hugawanywa UZITO WA MWILI (KG) kwa kipeo cha pili cha UREFU wa mwili Katika mita

BMI=uzito wa mwili/kipeo cha pili cha urefu

BMI husaidia kujua kama mtu ana uzito wa kawaida,mkubwa,au mdogo

Walio na uzito mdogo wana BMI pungufu ya 18.5 na uzito mkubwa ni 24.9

Uzito wa kawaida lazima uwe na BMI Kati ya (18.5-24.9)

Mtu mwenye BMI chini ya 18.5 kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na matatizo KIAFYA vile vile mtu mwenye BMI zaidi ya 24.9 ana matatizo kiafya.

By riba
 
BMI=weight/height^2 (kg per metre squared)
weight in kg, height in metres.
Interpretation of BMI.
Below 18.5 Underweight
18.5 – 24.9 Normal or Healthy Weight
25.0 – 29.9 Overweight
30.0 and Above Obese
 
Uwiano wa uzito wa mwili kulingana na urefu kitaalamu hujulikana kama BODY MASS INDEX (BMI)

Uwiano huu hupatikana kwa njia ya hisabati ambapo hugawanywa UZITO WA MWILI (KG) kwa kipeo cha pili cha UREFU wa mwili Katika mita

BMI=uzito wa mwili/kipeo cha pili cha urefu

BMI husaidia kujua kama mtu ana uzito wa kawaida,mkubwa,au mdogo

Walio na uzito mdogo wana BMI pungufu ya 18.5 na uzito mkubwa ni 24.9

Uzito wa kawaida lazima uwe na BMI Kati ya (18.5-24.9)

Mtu mwenye BMI chini ya 18.5 kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na matatizo KIAFYA vile vile mtu mwenye BMI zaidi ya 24.9 ana matatizo kiafya.

By riba
Hivi ni weight/ m au weight/m square? Kuna sehemu nimeona andiko kama hili limenichanganya
 
Back
Top Bottom