eleza maelezo yaliyo kamilka sasa hapo mtu anaanzia wapi kujibu mfano wew labda umechaguliwa LAW unataka kuhamia MEDICENE inawezekana kweli? toa maelezo kamili sio kila mtu anaweza kuama kwanza udom in collage nyingi je unataka kuhama collage au?Nimechaguliwa kujiungUDOM ila ninahitaji kuihama kozi ambayo nimechaguliwa!!
Je kuna uwezekano wa kuhama kozi hiyo na kama upo je ni hatua gan nitahitaji kuzifuata ili kuihama kiurahisi?....
Naomben msaada
Upo coz na collage gani???Nimechaguliwa kujiungUDOM ila ninahitaji kuihama kozi ambayo nimechaguliwa!!
Je kuna uwezekano wa kuhama kozi hiyo na kama upo je ni hatua gan nitahitaji kuzifuata ili kuihama kiurahisi?....
Naomben msaada
0744148124# niunge mkuu nimechaguliwa udom
Tuma username ndugu0744148124# niunge mkuu nimechaguliwa udom
IbraTuma username ndugu
Link haifunguki Danford ezdan niadd plz
Acha kumdanganya mwenzioUDOM hauwez ama koz mwaka huu mkuu