Jinsi ya kuficha (hide) file kwenye simu za android

Jinsi ya kuficha (hide) file kwenye simu za android

king majah

Member
Joined
Jan 10, 2013
Posts
61
Reaction score
50
Kwenye dunia ya leo simu za Android imekuwa kitu muhim sana zaid ya kuzitumia kwa mawasiliano bali wengine zimekuwa ni office zake kabisa. hutumia kuhifadhi vitu vyetu vingi nyngine ikiwa ni siri kama pictures, video, documents etc.
mara nyingi siri hz hutoka nje bila ya muhusika kupenda kwa njia moja au nynge
leo hapa nakupa hii bila kutumia application yyt jinsi ya kuficha siri zako kwenye simu yako. ni rahisi sanaaa
♧ tafuta file ambalo unataka kuficha
♧ fanya kama unataka ku-RENAME hyo file na badala yake anaza na dot kwa mfano file ni pictures basi utabadilisha jina hv (.pictures ) full stop (dot) lazima iwepo mwanzo
♧ kisha nenda file manager setting ondoa tick kwenye kwenye ( Show Hidden Files )
hapo itakuwa umesha ficha file lako ukilitaka tena kulitumia rudi kwenye setting weka ile tick uliondoa.
 
Kwenye dunia ya leo simu za Android imekuwa kitu muhim sana zaid ya kuzitumia kwa mawasiliano bali wengine zimekuwa ni office zake kabisa. hutumia kuhifadhi vitu vyetu vingi nyngine ikiwa ni siri kama pictures, video, documents etc.
mara nyingi siri hz hutoka nje bila ya muhusika kupenda kwa njia moja au nynge
leo hapa nakupa hii bila kutumia application yyt jinsi ya kuficha siri zako kwenye simu yako. ni rahisi sanaaa
♧ tafuta file ambalo unataka kuficha
♧ fanya kama unataka ku-RENAME hyo file na badala yake anaza na dot kwa mfano file ni pictures basi utabadilisha jina hv (.pictures ) full stop (dot) lazima iwepo mwanzo
♧ kisha nenda file manager setting ondoa tick kwenye kwenye ( Show Hidden Files )
hapo itakuwa umesha ficha file lako ukilitaka tena kulitumia rudi kwenye setting weka ile tick uliondoa.

mdau wng c nilhide file la wasap ili picha na vdeo zconekane now file la wasap nmelshow ila gallery wasap picture,vdeo hayaonekani tena daaaaahhhhh
 
Download keep safe au ntafute kwa namba 0787785653 wasap ntamuelekeza namna ya kuifadhi vitu vyako ata ukipoteza simu ukinunua nyingine lazma vitu vyako vitarudi
 
Play store download keep safe install ifungue weka password weka email unayotumia hakikisha unaweka code ulizotumiwa kwenye email yako ulioweka then itakuelekeza namna ya kuad vitu furahia keep safe
 
Keep safe logo
 

Attachments

  • 1450977503760.jpg
    1450977503760.jpg
    20.9 KB · Views: 305
Kwenye dunia ya leo simu za Android imekuwa kitu muhim sana zaid ya kuzitumia kwa mawasiliano bali wengine zimekuwa ni office zake kabisa. hutumia kuhifadhi vitu vyetu vingi nyngine ikiwa ni siri kama pictures, video, documents etc.
mara nyingi siri hz hutoka nje bila ya muhusika kupenda kwa njia moja au nynge
leo hapa nakupa hii bila kutumia application yyt jinsi ya kuficha siri zako kwenye simu yako. ni rahisi sanaaa
♧ tafuta file ambalo unataka kuficha
♧ fanya kama unataka ku-RENAME hyo file na badala yake anaza na dot kwa mfano file ni pictures basi utabadilisha jina hv (.pictures ) full stop (dot) lazima iwepo mwanzo
♧ kisha nenda file manager setting ondoa tick kwenye kwenye ( Show Hidden Files )
hapo itakuwa umesha ficha file lako ukilitaka tena kulitumia rudi kwenye setting weka ile tick uliondoa.
Kuficha
 
Back
Top Bottom