Duh katika posts ambazo zina positive influence katika jamii ni pamoja na hii. Naamini mtunzi au mwandishi atakuwa amevuviwa na Roho Mtakatifu.
My No ONE post of 2012, mnaonaje snowhite, Kongosho, SnowBall, HorsePower na bingwa wa cheating The Boss
wala si utani mamii!
nimehisi kusisimkwa mwili na haya yaliyoandikwa humu!
alienda wapi huyu mtu! Allien popote ulipo will yu please come for a drink!japo hata chai ya mkandaa walahi!
dah!
natamani niibandike ofisini kwangu,nyumbani kwangu,kanisani kwangu,nyumbani kwetu,kwa marafiki zangi kwa adui zangu,kwa mashosti zangu,kwa mashemeji zangu,kwa wifi zangu na woote!natamani kila mtu awe nayo moyoni mwake!natamani kila mtu aisome na kuiishi hii mistari!natamani kila mtu aelewe huyu mtu alimaanisha nini !
MUNGU AWABARIKI WOTE WANAOPITA KWENY HIKI KIPINDI A BADO HAJAPATA A BREAKTHROUGH! NAJUA NDANI WANAUMIA KIASI GANI!lakini kuna siku naamini watafika kwenye hii point!
yaaah! this has to be a sticky thread! Invisible Roullete na wengine please tunaomba hili lizingatiwe jamani!mahusiano na ndoa nyingi zinakwama hapa!Yaani, kwa maoni yangu uzi huu ndio unaofaa kuwa STICKY natumaini Rourette na mods wengine watasikia ushauri wetu. Maana this is all about Mapenzi, Mahusiano na Urafiki wa ukwelii.
Mkuu topic yako njema sana ceteris paribas. Unakuta mwenzi wako Kama room mate vile. Kwa mwezi mara 1 na ikizidi mara 2. Na mshaongea wee mpk umechoka. Sasa unapata kigango. Kimetulia si mchezo. Kipi bora,kuwaza mpk upate stroke au kuburudika na kirefusha maisha?
Duh katika posts ambazo zina positive influence katika jamii ni pamoja na hii. Naamini mtunzi au mwandishi atakuwa amevuviwa na Roho Mtakatifu.
My No ONE post of 2012, mnaonaje snowhite, Kongosho, SnowBall, HorsePower na bingwa wa cheating The Boss
Post nzuri. Kuacha cheating ni moja ya maamuzi bora sana mtu unaweza kufanya. Faida zipo nyingi - kiuchumi, kiafya, mahusiano yako na mwenzi wako na ile ''peace of mind''.
Cheaters wote huwa hawapo huru - sms ikiingia kwenye simu yako na let say upo bafuni, unajua tayari kimesanuka. Kwa nini uendelee kuishi na pressure ''za kijinga''??
Nakuunga mkono Kaunga, hii mada kwa kweli ina mashiko! Allien kwa kweli ameeleza vizuri sana. Cha msingi kwa sasa hivi hizi mada zenye mafunzo mazuri namna hii huwa tunapata muda wa kuyafanyia kazi haya mafunzo au ndo tunasoma kama gazeti na kuachia hapo hapo baada ya kusoma? Makala hizi zimebadilisha maisha yetu kwa kiwango gani au tunahisi MMU ni sehemu ya kuondoa stress pekee?
Nafikiria tunahitaji kubadilika kwa kuchukua maamuzi magumu kwa kuacha ubaya kila tunapokutana na mada zinazotufumbua macho juu ya mienendo mibovu ya maisha tuliyonayo.
snowhite, karibu sana Mkuu. Pamoja sana.wala si utani mamii!
nimehisi kusisimkwa mwili na haya yaliyoandikwa humu!
alienda wapi huyu mtu! Allien popote ulipo will yu please come for a drink!japo hata chai ya mkandaa walahi!
dah!
natamani niibandike ofisini kwangu,nyumbani kwangu,kanisani kwangu,nyumbani kwetu,kwa marafiki zangi kwa adui zangu,kwa mashosti zangu,kwa mashemeji zangu,kwa wifi zangu na woote!natamani kila mtu awe nayo moyoni mwake!natamani kila mtu aisome na kuiishi hii mistari!natamani kila mtu aelewe huyu mtu alimaanisha nini !
MUNGU AWABARIKI WOTE WANAOPITA KWENY HIKI KIPINDI A BADO HAJAPATA A BREAKTHROUGH! NAJUA NDANI WANAUMIA KIASI GANI!lakini kuna siku naamini watafika kwenye hii point!
then I OWE yu one!Yes Mkuu. Level 8 Kempiski aka Hyat Regent, the Kilimanjaro au wapi?
Billicanas siji.
Cheers! Wapi na Lini?
Dress Code?
Behavior?
utachagua!
u can hav a khaki /cadet trouser with a black short leeves shirt
safari boots
nice bracelet
behavior:ur self