Jinsi TB Joshua alivyoedit unabii uendane na Shambulizi la Ubelgiji (Orginal videov/s Edited Clip )

MSEZA MKULU

JF-Expert Member
Jul 22, 2011
3,763
5,605
Hii ni EDITED video Clip ambayo imesambazwa mitandaoni mara baada ya mashambulizi ya ubelgiji. Kile kinachoitwa utimilivu wa unabii.



Hapa juu anaizungumzia Nchi inayoongea kifaransa akiwa ameondoa maneno yaliyoitaja ufaransa kama nchi husika ili ionekane alizungumzia BRUSSELS ATTACK, Je wakati anatoa huo unabii Aliitaja hiyo nchi?


Angalia ORIGINAL CLIP hapa chini, unabii ulitolewa 31/1/2016



ukimsikiliza anabainisha waziwazi alikuwa anazungumzia UFARANSA (akiitaja mara NNE akionyesha habahatishi), tena anaonya kuwa matukio yatajirudia kama yale yaliyotokea mwishoni mwa 2015.


HEbu hii kitu ukutafakarishe kidogo kwa nia njema kabisa.
 
Naamini hiyo unayodai imeeditiwa haikueditiwa na T.B. Joshua. Sisi tunaongalia TV Emmanuel kila siku T.B. Joshua anazungumzia Ufaransa, anawatahadharisha kuwa makini mana magaidi bado wapo na wanataka kushambulia mikusanyiko ya watu na kuwaomba watu waiombee nchi ya Ufaransa. Lakini kama huwa unaanga aljazeera au bbc tv ungeona kuwa kama wiki 1 iliyopita polisi nchini humo wamefanikiwa kuzuia jaribio kubwa sana la mashambulizi lililokuwa limepangwa na maghaidi aliowasema T.B. Joshua kuwa bado wamebaki humo na wanapanga kustrike back.
Pata taarifa ya kutosha kabla ya kupost.
 
Naamini hiyo unayodai imeeditiwa haikueditiwa na T.B. Joshua. Sisi tunaongalia TV Emmanuel kila siku T.B. Joshua anazungumzia Ufaransa, anawatahadharisha kuwa makini mana magaidi bado wapo na wanataka kushambulia mikusanyiko ya watu na kuwaomba watu waiombee nchi ya Ufaransa. Lakini kama huwa unaanga aljazeera au bbc tv ungeona kuwa kama wiki 1 iliyopita polisi nchini humo wamefanikiwa kuzuia jaribio kubwa sana la mashambulizi lililokuwa limepangwa na maghaidi aliowasema T.B. Joshua kuwa bado wamebaki humo na wanapanga kustrike back.
Pata taarifa ya kutosha kabla ya kupost.
Sasa hapo kuna unabii gani...? mbona hata Mimi naweza kuwatahadhalisha ...kwani nani hajui kuwa saivi kuna kitisho cha ugaidi ulaya nzima?..

huyo tb wenu ni mchumia tumbo tu....hana lolote
 
Sasa hapo kuna unabii gani...? mbona hata Mimi naweza kuwatahadhalisha ...kwani nani hajui kuwa saivi kuna kitisho cha ugaidi ulaya nzima?..

huyo tb wenu ni mchumia tumbo tu....hana lolote
wewe ndo mbulula kweli. Kwa akili yako mbovu, kila chema wafanyacho wenzako ni kuchumia tumbo! hata hiyo king'amuzi unayoitumia kutazama emmanuel Tv utasema aliyeugundua hana lolote 'anachumia tumbo'
 
wewe ndo mbulula kweli. Kwa akili yako mbovu, kila chema wafanyacho wenzako ni kuchumia tumbo! hata hiyo king'amuzi unayoitumia kutazama emmanuel Tv utasema aliyeugundua hana lolote 'anachumia tumbo'
Naona umepaniki...kisa nmemgusa nabii feki...

kunywa maji mengi mkuu...utapoa
 
Naamini hiyo unayodai imeeditiwa haikueditiwa na T.B. Joshua. Sisi tunaongalia TV Emmanuel kila siku T.B. Joshua anazungumzia Ufaransa, anawatahadharisha kuwa makini mana magaidi bado wapo na wanataka kushambulia mikusanyiko ya watu na kuwaomba watu waiombee nchi ya Ufaransa. Lakini kama huwa unaanga aljazeera au bbc tv ungeona kuwa kama wiki 1 iliyopita polisi nchini humo wamefanikiwa kuzuia jaribio kubwa sana la mashambulizi lililokuwa limepangwa na maghaidi aliowasema T.B. Joshua kuwa bado wamebaki humo na wanapanga kustrike back.
Pata taarifa ya kutosha kabla ya kupost.


Unahangaishwa na mijitu inayomtumikia shetani bila kumpenda. Sasa inabaki na wivu kwa Mungu inataka kupambana na Mungu. Mipumbavu kweli mijitu hii. Haimjui Mungu wala utendaji wake wa kazi. Hii ndiyo ilitakiwa iondolewe kama si neema ya Mungu kwamba anaisuribiri itubu.
 
Hii ni EDITED video Clip ambayo imesambazwa mitandaoni mara baada ya mashambulizi ya ubelgiji. Kile kinachoitwa utimilivu wa unabii.



Hapa juu anaizungumzia Nchi inayoongea kifaransa akiwa ameondoa maneno yaliyoitaja ufaransa kama nchi husika ili ionekane alizungumzia BRUSSELS ATTACK, Je wakati anatoa huo unabii Aliitaja hiyo nchi?


Angalia ORIGINAL CLIP hapa chini, unabii ulitolewa 31/1/2016



ukimsikiliza anabainisha waziwazi alikuwa anazungumzia UFARANSA (akiitaja mara NNE akionyesha habahatishi), tena anaonya kuwa matukio yatajirudia kama yale yaliyotokea mwishoni mwa 2015.


HEbu hii kitu ukutafakarishe kidogo kwa nia njema kabisa.



Wewe mi mpumbavu tu. Huwezi kushindana na Mungu kama ungelikuwa na akili timamu. How do you know kwamba Mungu hajaponya Ufaransa kutokana na Maombi? Unaweza kukanusha kwa ufahamu gani ulionao kwamba matukio hayawezi kujirudia na kama yalipangwa kujirudia Mungu akaokoa?

Wewe umetabiri mangapi yametokea? Unatabiri kwa nguvu ya nani? Unajua lakini unabii ni nini ki Mungu?

Wewe ni yale mapumbavu yasiyojitambua. Unadhani utapambana na Mungu kwa ujinga wako huu unaouita ufahamu!

Pumbavu unaangamiza uzao wako kwa ajili ya upumbavu!.
 
Naamini hiyo unayodai imeeditiwa haikueditiwa na T.B. Joshua. Sisi tunaongalia TV Emmanuel kila siku T.B. Joshua anazungumzia Ufaransa, anawatahadharisha kuwa makini mana magaidi bado wapo na wanataka kushambulia mikusanyiko ya watu na kuwaomba watu waiombee nchi ya Ufaransa. Lakini kama huwa unaanga aljazeera au bbc tv ungeona kuwa kama wiki 1 iliyopita polisi nchini humo wamefanikiwa kuzuia jaribio kubwa sana la mashambulizi lililokuwa limepangwa na maghaidi aliowasema T.B. Joshua kuwa bado wamebaki humo na wanapanga kustrike back.
Pata taarifa ya kutosha kabla ya kupost.
ufaransa haiitaji hata utabiri wala unabii kuhusu ugaidi,

ni sawa na kufanya unabii kuwa hamas watarusha roketi kuelekea israel hivi karibuni,




anyway,kila mtu na mbinu zake za kupata hela hapa duniani
 
Sasa hapo kuna unabii gani...? mbona hata Mimi naweza kuwatahadhalisha ...kwani nani hajui kuwa saivi kuna kitisho cha ugaidi ulaya nzima?..

huyo tb wenu ni mchumia tumbo tu....hana lolote
ndo hivyo ,mambo ya imani hayo,
yaani lazima uwe kama kondoo ndo utaenda nayo sawa
 
ufaransa haiitaji hata utabiri wala unabii kuhusu ugaidi,

ni sawa na kufanya unabii kuwa hamas watarusha roketi kuelekea israel hivi karibuni,




anyway,kila mtu na mbinu zake za kupata hela hapa duniani

Nakuomba uwe makini Sana na kinywa chako, TB joshua ni nabii wa kweli kabisa Wa Mungu, futa kauli yako kuwa eti ni mbinu za kujipatia pesa. maana huna ushahidi, otherwise MUNGU atakupiga Siku moja, usiwadharau watumishi Wa Mungu, dharau zako peleka kwenye siasa.
 
Sasa hapo kuna unabii gani...? mbona hata Mimi naweza kuwatahadhalisha ...kwani nani hajui kuwa saivi kuna kitisho cha ugaidi ulaya nzima?..

huyo tb wenu ni mchumia tumbo tu....hana lolote
Kwako UNABII ni nini?
 
Hii ni EDITED video Clip ambayo imesambazwa mitandaoni mara baada ya mashambulizi ya ubelgiji. Kile kinachoitwa utimilivu wa unabii.



Hapa juu anaizungumzia Nchi inayoongea kifaransa akiwa ameondoa maneno yaliyoitaja ufaransa kama nchi husika ili ionekane alizungumzia BRUSSELS ATTACK, Je wakati anatoa huo unabii Aliitaja hiyo nchi?


Angalia ORIGINAL CLIP hapa chini, unabii ulitolewa 31/1/2016



ukimsikiliza anabainisha waziwazi alikuwa anazungumzia UFARANSA (akiitaja mara NNE akionyesha habahatishi), tena anaonya kuwa matukio yatajirudia kama yale yaliyotokea mwishoni mwa 2015.


HEbu hii kitu ukutafakarishe kidogo kwa nia njema kabisa.


North part of France kuna nini MSEZA MKULU? Unabii sio masihara. Mpe credit, maana anaonesha aliona labda Geography ikamchanganya. Hiyo South inaweza bado ikatokea au Mungu kaiepusha. Hakusema zitatokea pamoja.
 
Nakuomba uwe makini Sana na kinywa chako, TB joshua ni nabii wa kweli kabisa Wa Mungu, futa kauli yako kuwa eti ni mbinu za kujipatia pesa. maana huna ushahidi, otherwise MUNGU atakupiga Siku moja, usiwadharau watumishi Wa Mungu, dharau zako peleka kwenye siasa.
acha kuabudu watu mkuu,mwabudu Mungu peke yake.

Sasa unadhani Tb joshua atanifanyaje eeh.?,,,,,,au ataniua kwa maombi na toba?
 
ufaransa haiitaji hata utabiri wala unabii kuhusu ugaidi,

ni sawa na kufanya unabii kuwa hamas watarusha roketi kuelekea israel hivi karibuni,




anyway,kila mtu na mbinu zake za kupata hela hapa duniani
Haya niambie kutatokea nini Ufaransa baada ya hili na upande gani wa nchi?
 
eti nabii!!!! hah!! wafuasi wa hawa manabii wa uongo wamefungwa akili zao. hauwezi kuwasaidia wauone ukweli!
 
Naamini hiyo unayodai imeeditiwa haikueditiwa na T.B. Joshua. Sisi tunaongalia TV Emmanuel kila siku T.B. Joshua anazungumzia Ufaransa, anawatahadharisha kuwa makini mana magaidi bado wapo na wanataka kushambulia mikusanyiko ya watu na kuwaomba watu waiombee nchi ya Ufaransa. Lakini kama huwa unaanga aljazeera au bbc tv ungeona kuwa kama wiki 1 iliyopita polisi nchini humo wamefanikiwa kuzuia jaribio kubwa sana la mashambulizi lililokuwa limepangwa na maghaidi aliowasema T.B. Joshua kuwa bado wamebaki humo na wanapanga kustrike back.
Pata taarifa ya kutosha kabla ya kupost.
mkuu ipo kwenye official website ya SCOAN.
Prophecy « The Synagogue, Church Of All Nations - SCOAN KAEDIT MWENYEWE, nia ilikuwa ni kufikiri nje ya box lakini naona
baadhi ya raia humu Wamtetea TB kuliko hata Yesu. Hakuna biblical evidence ya kubashiri vitu kwa mfumo huu. Mfano msome huyu nabii 1King 13, kilichompata baada ya kukosea kidogo tu kwa kutaka kufurahisha watu instructions alizopewa na Mwenyezi Mungu.
Kama kuna manabii waliokuwa wanaongea na Mungu direct lkn walikosea huyu wa leo naona analindwa kwa nguvu zote na matusi juu.
 
Back
Top Bottom