Bubolwa Chura
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 300
- 559
Hii habari imekaa kikupanic panic na kiumbea sana, ninawaswas na mtoa mada kama zinamtosha.
Mwanafield,mwanakulipata kwa mazeliMwana kulitafuta mwanakulipata apambane
Mwanafield,mwanakulipata kwa mazeli
Pole mzee ukute ni wewe zingatia dawaNdugu yangu anaishi mkoa mmoja km karibu 700 toka yalipo makazi yake huku anafanua kazi. Huku kamuacha mkewe, Kwa kuwa ananyumba kumbwa na nyingine za kuzunguka amepangisha wapangaji kadhaa. Mmoja wa wapangaji miezi kama 3 iliyopita alimleta mpwa wake ili afanue Field katika taasisi anayofanyia kazi.
Basi bhana kijana toka Chuo kadondoka fresh na kuanza kufanya kilichomleta pande hizi. Mother House ambaye ni mzaliwa wa mwaka 86 na mama wa mtoto mmoja ni mtu mwema na mkarimu, kumbuka yule jank wa Field Uncle wake ni mtu wa kazi sana na anasafiri mara kwa mara na anaishi msela mkewe naye yuko DSM Hivyo muda mwingi Jank wa Field anakuwa Peke yake, huku na huku ukazaliwa urafiki baina ya Mother house na jank, Mara Jank anaitwa achukue misosi mara juice nk.
Mara wanacheki tamthiliya hadi mida mirefu. Huku na huko Jank akamaliza Field yake na muda wa chuo kufungua ukawa. Basi bwana asubuhi wapangaji wote wapo makazini home anabaki Mother House na Jack wa field anayekaa kwa Uncle wake.
Siku moja mimi sikwenda kazini kama kawaida yangu basi nikawa chumbani kwangu ila pazia nimelivuta upande. Wa nje hawezi ona ndani ila wandani. Mwendo kama wa saa nne asubuhi hivi nikiwa najipatia kifungua kinywa nikamuona yule jank akimgongea Mother house, wakawa wanaongea pale mlangoni, ila Jank ni kama akawa anamsisitizia jambo na akarudi Ndani kwa Uncle wake.
Nikaendelea kutazama huku machale yakinicheza. Baada ya sekunde kadhaa yule mother house kama mshale akazama kwa Jank baada ya kuangaza jicho kushoto na kulia kiusalama. Mlango ukafungwa Paaaa. Kama nusu saa hivi Akatoka jank uwanjani akazugazuga kucheki usalama akarudi na kumchomoa Bibie akiwa ndani ya dela.
Dhaaa roho iliniuma kama nimetafuniwa mimi. Sema nini kitu ambacho Jank hajua ni kuwa MotherHouse na mumewe(Bro)wote ni POSITIVE na wanatumia dawa mwaka wa 3 sasa.
Ukisikia kimeumana ndo hii sasa
Pole mzee ukute ni wewe zingatia dawa
Mamaaaaaaaaa, Dogo ana ngoja kwahiyo??Ndugu yangu anaishi mkoa mmoja km karibu 700 toka yalipo makazi yake huku anafanua kazi. Huku kamuacha mkewe, Kwa kuwa ananyumba kumbwa na nyingine za kuzunguka amepangisha wapangaji kadhaa. Mmoja wa wapangaji miezi kama 3 iliyopita alimleta mpwa wake ili afanue Field katika taasisi anayofanyia kazi.
Basi bhana kijana toka Chuo kadondoka fresh na kuanza kufanya kilichomleta pande hizi. Mother House ambaye ni mzaliwa wa mwaka 86 na mama wa mtoto mmoja ni mtu mwema na mkarimu, kumbuka yule jank wa Field Uncle wake ni mtu wa kazi sana na anasafiri mara kwa mara na anaishi msela mkewe naye yuko DSM Hivyo muda mwingi Jank wa Field anakuwa Peke yake, huku na huku ukazaliwa urafiki baina ya Mother house na jank, Mara Jank anaitwa achukue misosi mara juice nk.
Mara wanacheki tamthiliya hadi mida mirefu. Huku na huko Jank akamaliza Field yake na muda wa chuo kufungua ukawa. Basi bwana asubuhi wapangaji wote wapo makazini home anabaki Mother House na Jack wa field anayekaa kwa Uncle wake.
Siku moja mimi sikwenda kazini kama kawaida yangu basi nikawa chumbani kwangu ila pazia nimelivuta upande. Wa nje hawezi ona ndani ila wandani. Mwendo kama wa saa nne asubuhi hivi nikiwa najipatia kifungua kinywa nikamuona yule jank akimgongea Mother house, wakawa wanaongea pale mlangoni, ila Jank ni kama akawa anamsisitizia jambo na akarudi Ndani kwa Uncle wake.
Nikaendelea kutazama huku machale yakinicheza. Baada ya sekunde kadhaa yule mother house kama mshale akazama kwa Jank baada ya kuangaza jicho kushoto na kulia kiusalama. Mlango ukafungwa Paaaa. Kama nusu saa hivi Akatoka jank uwanjani akazugazuga kucheki usalama akarudi na kumchomoa Bibie akiwa ndani ya dela.
Dhaaa roho iliniuma kama nimetafuniwa mimi. Sema nini kitu ambacho Jank hajua ni kuwa MotherHouse na mumewe(Bro)wote ni POSITIVE na wanatumia dawa mwaka wa 3 sasa.
Walishaambiwa wasioe HAWASIKII.😏😏Ndugu yangu anaishi mkoa mmoja km karibu 700 toka yalipo makazi yake huku anafanua kazi. Huku kamuacha mkewe, Kwa kuwa ananyumba kumbwa na nyingine za kuzunguka amepangisha wapangaji kadhaa. Mmoja wa wapangaji miezi kama 3 iliyopita alimleta mpwa wake ili afanue Field katika taasisi anayofanyia kazi.
Basi bhana kijana toka Chuo kadondoka fresh na kuanza kufanya kilichomleta pande hizi. Mother House ambaye ni mzaliwa wa mwaka 86 na mama wa mtoto mmoja ni mtu mwema na mkarimu, kumbuka yule jank wa Field Uncle wake ni mtu wa kazi sana na anasafiri mara kwa mara na anaishi msela mkewe naye yuko DSM Hivyo muda mwingi Jank wa Field anakuwa Peke yake, huku na huku ukazaliwa urafiki baina ya Mother house na jank, Mara Jank anaitwa achukue misosi mara juice nk.
Mara wanacheki tamthiliya hadi mida mirefu. Huku na huko Jank akamaliza Field yake na muda wa chuo kufungua ukawa. Basi bwana asubuhi wapangaji wote wapo makazini home anabaki Mother House na Jack wa field anayekaa kwa Uncle wake.
Siku moja mimi sikwenda kazini kama kawaida yangu basi nikawa chumbani kwangu ila pazia nimelivuta upande. Wa nje hawezi ona ndani ila wandani. Mwendo kama wa saa nne asubuhi hivi nikiwa najipatia kifungua kinywa nikamuona yule jank akimgongea Mother house, wakawa wanaongea pale mlangoni, ila Jank ni kama akawa anamsisitizia jambo na akarudi Ndani kwa Uncle wake.
Nikaendelea kutazama huku machale yakinicheza. Baada ya sekunde kadhaa yule mother house kama mshale akazama kwa Jank baada ya kuangaza jicho kushoto na kulia kiusalama. Mlango ukafungwa Paaaa. Kama nusu saa hivi Akatoka jank uwanjani akazugazuga kucheki usalama akarudi na kumchomoa Bibie akiwa ndani ya dela.
Dhaaa roho iliniuma kama nimetafuniwa mimi. Sema nini kitu ambacho Jank hajua ni kuwa MotherHouse na mumewe(Bro)wote ni POSITIVE na wanatumia dawa mwaka wa 3 sasa.
Nani kakutuma usome nawew kama sio umbea😏Nani amekuuliza hayo yote?
Kazi umbea tu