JINI HUSNAT

JINI HUSNAT

Abdallahking

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2018
Posts
3,985
Reaction score
10,843
1.jpg



SIMULIZI HII IMEKAMILIKA
IMEANDIKWA NA : ZUBERI MARUMA
CHANZO : BURE SERIES


SEHEMU YA KWANZA



UTANGULIZI

JOHN VERGAN kijana anayemiliki kampuni kubwa na mwenye mafanikio makubwa katika maisha yake anadondokea katika penzi la mtoto mrembo mwenye asili ya kishombeshombe HUSNA ambaye ni jini!

VERGAN akubali kuwa na HUSNA baada ya kugundua si binadamu heka heka,vituko,uzuni vinamuandama je atafanikiwa kuokoka katika kisanga cha jini huyo mpole na mwenye hasira za karibu?

fuatana nami mwanzo mpaka mwisho wa riwaya hii itakayokuburudisha-..,..

TUANZE

1

Ulikuwa ni ukumbi mkubwa ulojaa watu wenye hela zao, kila starehe iliyopo katika dunia hii ilikwepo hapo kasino ilo lilijaa wadachi,waindi,
walokuwa wakijiuza.

mziki mkubwa ulikuwa ukiendelea kuwaburudisha wateja wa club hiyo

kulikuwa kuna walinzi wa kutosha,walokuwa tayari kupambana na kiumbe chochote kitakachotaka kuleta shida

gari aina mbali mbali za kitajiri ziliingia na kutoka na wasichana warembo ni ukumbi ulosifika kwa matanuzi yote uyatakayo

JOHN VERGAN kama mwenyewe alivyopenda kujiita alikuwa counter akitupia pombe yake taratibu!

machangudoa wachache walijipitisha mbele yake lakini ilo wala akulijali wengine awakuishia kujipitisha tu kwani walimfata na kutaka kutoa company

lakin VERGAN hakuwa tayari, mawazo yalitawala kichwa chake aligubia bia kwa fujo aikujulikana kipi kilichomtesa kijana huyo mwenye umbo la wastani

si mrefu sana wala si mfupi sana,maji ya kunde mwenye body sex mwili wa mazoezi alikuwa na kila mvuto wa kimapenzi kwa mwanamke amwangaliaye!

wanawake wengi sana walimmezea mate lakin moyoni mwake alikwepo mwanamke mmoja tu MOURINE

huyu ndo alomfanya VERGAN Agubie ile bia kwa hasira na hisia tele MAPENZI yalimtesa alimpenda mtu asiyempenda tena secretary wake

macho yake makubwa yaliyozungukwa na nyuzi nyembamba nyeusi yalitua mkononi mwake alivaa saa ya dhahabu iliyosomeka ni saa sita na nusu usiku akashusha pumzi taratibu ni wazi alishachoka na usingizi ulishaanza kuyanyemelea macho yake kilevi kilishaanza kumlevya

Akaishika simu yake na kuibonyeza tarakimu kadhaa akaiweka maskioni....

"simu unayopiga haipatikani tafadhali jaribu tena badae"

ndiyo kauli ilojibu upande wa pili JOHN VERGAN akakunja sura kwa hasira,akaachia mguno wa fedheha

Akashika chupa yake na kugubia kile kinywaji alipoishusha chini ilikuwa tupu

Kwa vyovyote muda ule MOURINE asingeweza kuja

Akaamua kujinyanyua zake akiwa anapepesuka taratibu na kuelekea nje kwa hatua fupi aliendea gari yake na kujipakia ndani

toka jioni alikwepo katika hoteli ile mpaka muda ule aliiwasha gari na kuiondoa kwa kasi.

*************

MOURINE msichana mrembo kiumbo na secretary wake VERGAN akiwa ndani ya gari yake jioni hii moyoni mwake alikuwa na raha sana! kitendo cha BOSI wake kumuitaji hotelini kilimpa faraja,ni kweli alimpenda bosi wake yule, na bosi wake alishamwonesha ishara zote za kumpenda,

Hakutaka kumkubali kwa kutopenda kuonekana mrahisi ila siku hii ya leo alijihisi hali flan si ya kawaida alijihisi KUMPENDA na kuitaji kuwa pamoja naye kimapenzi hisia zile zikamfanya aongeze mwendo wa gari lake kumuwai mwanaume yule

Lakini ghafla akiwa katika mwendo mkali akakatisha mwanamke mrembo mbele ya gari,

MOURINE akajaribu kupiga break huku akiachia yowe ns kufumba macho yake ila breki ikakataa na gari likamvaa dada yule

MOURINE akiwa kachanganyikiwa huku alitetemeka baada ya kujiisi kumgonga mtu yule akashuka kwa speed mpaka mbele ya gari lake

AKUKUWA NA MAITI WALA MDADA MOURINE akashtuka!

kwa haraka akarudi garini na kujaribu kuwasha gari GARI LIKAGOMA, akazidi kuchanganyikiwa

Akashika simu yake nayo kwa ajabu ikawa imezima chaji,safari ya MOURINE ikawa imefia hapo.

************

BADO JOHN VERGAN moyo wake ulijaa simanzi ghafla akiwa kwenye mwendo wa wastani mbele yake akamuona msichana mrembo,

msichana alozivuta na kuziamisha HISIA zake akazidi kupunguza mwendo wa gari na alipo mfikia dada yule kabla ajamsemesha dada yule akamuwahi

"kaka naomba lifti"

VERGAN akujibu swali lile kwani akili yake ilikuwa katika umbo zuri la mrembo yule!

umbo namba nane,mwenye asili ya kiindi akika alikuwa na mvuto wa ajabu,

"mimi naita JOHN mwenzangu sijui unaitwa nani?"

dada yule ndani ya gari alikaribishwa na swali

"MIMI NAITWA HUSNAT"....

Macho ya VERGAN yalikuwa katika mapaja mazuri yalokuwa wazi wakati huo,

binti yule aliyejitambulisha kama HUSNAT alivaa kimini kidogo kilicho acha mapaja yake wazi! kutokana na msukumo wa pombe VERGAN alijikuta akishindwa kuzizuhia HISIA zake nzito kwa dada yule!

akamtongoza!

dada yule akuwa na kizuizi VERGAN akimchukulia kama changudoa akaelekea naye katika nyumba yake,

akiwa na mwanamke yule ndani ya gari alipania kulala naye usiku mzima katika jumba lake lile akilifaidi penzi lake!

Akazidi kuongea mwendo kurudi afike haraka!...

LAITI ANGEJUA!?....

**************

Ilikuwa ni nyumba kubwa na ya kifahari gari aliyepanda VERGAN na msichana mrembo HUSNAT iliingia mpaka parking

VERGAN akiwa kamshika mkono binti yule wakatoka na kuelekea sebuleni ambapo awakukaa sana wakaelekea chumbani

wakapanda kitandani kila mmoja akionekana kumuitaji mwenzake zaidi!

VERGAN katu akuziona kwato zilizokuwa katika miguu ya bibie yule!

Pia hakuyaona macho yake ya kung'aa katika giza kwa macho yake ya kawaida aliyaona kawaida!

wakazama penzini!

penzi ambalo katu VERGAN hakuwai kulipata kwa binadamu wa kawaida,

penzi liliyomlevya na kumpa usingizi mzito,baada ya VERGAN kulala jini HUSNAT akuwa na muda wa kupoteza akavaa nguo zake zote akanyoosha mkono wake juu barua ikatokea akaiweka pale kitandani na GHAFLA AKATOWEKA!!!

Ilikuwa ni alfajiri tulivu ilojaa kibaridi VERGAN alipapasa mbele yake hapakuwa na mtu, akafumbua macho yake taratibu kajua cha asubuh kalitokeza kutarifu sasa kumepambazuka,

VERGAN alishtuka na kucheki mlango

"UKUFUNGULIWA"

Akakumbuka juu ya kukutana na HUSNA jana

"au nilikuwa naota?! hapana!"

bado VERGAN alikuwa katika hali za sintofahamu akakurupuka kitandani pale akiita kwa nguvu kama mweu

"HUSNA! HUSNA! HUSNA!" Bado hakukuwa na jibu! akaingia chooni,bafuni ndani kwa ndani bado akukuwa na mtu!,

vergan akiwa kama kachanganyikiwa akafungua mlango na kutoka nje alipomkuta mlinzi wake kipele

"umemuona msichana katoka humu ndani asubuhi hii?" Akauliza kwa wahka

"msichana? msichana yupi bosi?" Kipele akasaili....

"yule nlokuja naye jana usiku!"........

" Jana usiku?!"

Kipele akaoji huku bumbuwazi likimbumbukia usoni pale....

"Ndiyo yule binti nloshuka naye kwenye gari?!"

"No Bo's!,nliona ukishuka mwenyewe hukuja na mtu kaka"

"What?!"

"Ndiyo!,tena ulikuwa full ukipepesuka ukuja na mtu bosi"

"Mfyuuuuu!"

Vergan akaachia msunyo ulosindikizwa na mguno hafifu wa mfadhaiko

Ni wazi alizidi kuchanganyikiwa
!,akaenda sebuleni akajitupa sofani!,mawazo yakaanza kupishana kama mishale ya saa!!!

"uyu binti atakuwa kaenda wapi yarabi?! mbona mlango ukufunguliwa? mlinzi naye anasema sikuingia na mtu jana usiku au nilikuwa naota? hapana hapana hapana nilimpa binti lifti HUSNA alinambia anaitwa HUSNA nikampenda! nkamchukua nkaja naye akanipa penzi tamu ambalo sijawai kulipata alafu! alafu ikawaje? HUSNA! HUSNA! hapana si ndoto kuna kitu"

alijiuliza VERGAN na kujijibu mwenyewe akajinyanyua na kurudi tena chumbani

macho yakadondokea kitandani

Kitanda kilikuwa shaghala baghala kuonesha kwamba usiku kucha kilitumika,hilo likazidi kumpa picha sahihi kwa kile akiwazacho

macho yake yakatua mezani akakuta barua imefungwa vizuri

Akastaajabu!!!...

Kwa hatua fupi fupi akasogea pale kitandani huku mkono ukiwa unatetemeka akaifata barua ile na kuishika ilinukia harufu nzuri!,

harufu ya manukato,alikumbuka manukato hayo ni ya HUSNA

akaichukua ile barua na kuifungua na kuanza kuisoma naaam macho yalimtoka pima

"DEAR SAMAHANI! KWA KUONDOKA BILA KUKUTA HARIFU NILIHITAJIKA HARAKA NYUMBANI NA WAZAZI WANGU WAKWE ZAKO HASUBUHI NJEMA WAKO KIPENZI HUSNA NTARUDI"

ITAENDELEA
 
SEHEMU YA PILI

VERGAN akashangaa!,ilikuwa lazima ashangae!

"aliitajika nyumbani!?,alipitia wapi?! aliondoka saa ngapi?!!"

bado maswali mfululizo yalizidi kumuandama akairudia tena kuisoma ile barua yenye hati nzuri ila akupata majibu aloyaitaji akaikunja barua yake na kuirudisha pale mezani alitoka akaenda kuoga, kuswaki, kuvaa nguo za kazini dakika chache zilizofatia zilimkuta mezani akinywa chai aloandaliwa na mfanyakazi wake aliyetambulika kwa jina la Jasmin.

alipomaliza alinyanyuka na kuliendea gari lake akapanda na kuelelea kazini alipofika alimpita secretary wake MOURINE bila salamu na kuingia ofisini kwake.

Dakika chache baadaye Mourine akaingia ili kumuuliza kama aliitaji amletee chai tofauti na matarajio yake VERGAN akaanza kushusha lawama

"hivi MOURINE kwa nini unantesa hivi? kwa nini jana ulin'danganya na ukuja? kama ulikuwa utaki si ungenambia kuliko kuniweka mahali namna ile mapenzi ayalazimishwi Mou sotokulazinisha......

MOURINE huku akiwa anatetemeka akamwangalia bosi wake!

"hapana bosi niliaribikiwa na gari"

"comon MOURINE kwa nini ukunambia kwa simu nikajua?"

"simu nayo iliisha chaji bosi...."

Wakati wakiendelea kuongea ghafla simu ya VERGAN ikaita alipoangalia kwenye scrini ilisomeka HUSNAT.

Ubongo wake ukatingishika! akampa ishara MOURINE aondoke

Kabla ajaipokea maswali yakaanza kutiririka katika kichwa chake!

"nani kampa namba zangu?"

aliwaza alikuwa na uhakika akumpa wala akuserv namba zake, ili kupata jibu akaamua kuipokea simu ile....

"alooo!" VERGAN alisema

"vipi sweet za kazi" sauti nyororo kama kinanda iliuliza VERGAN akaipuuza Na kwa hasira akamuuliza

"nani kakupa namba zangu?"

"si wewe sweet umenipa jana?"

"mimi sijakupa namba zangu"

"umenipa beby"

"sijakupa"

"umenipa!"

"ok ulikuwa unasemaje?" VERGAN aliuliza kwa hasira

"nilikuwa naitaji tuonane" HUSNA alisihi

"siwezi kuonana na wewe" VERGAN alijibu kwa jeuri akapokewa na kicheko kitamu kisha sauti laini ikafatia

"basi my love ntakuja hapo kazini jioni tuondoke wote!"

hapo hapo akakata simu ubongo wa VERGAN kwa mara nyingine ukatingishika idadi ya maswali yasiyo na majibu yakatiririka!

"uyu ni binadamu au jini?,anapafahamu hapa kazini?"

bila kujielewa akaanza kusarch namba ya HUSNA kusudi azipige

NO AZIKWEPO!!!

hakuweza kujizuia kutetemeka akaziangalia kwenye recevid

kwenye recevd azikwepo!!!

wakati akiwa katika mawazo ya sintofahamu ghafla meseji ikaingia katika simu yake

"usiwaze sana dear utaumwa na kichwa"

namba zilikuwa na jina tu

JINA BILA NAMBA?

akazipiga zikakataa!

Azikutambulika na mtandao ule wa simu!

Lakini si ndo hizo zilizomtumia msg,?!

moyo ukaanza kumwenda mbio akaishika simu ya mezani na kumpigia secretary wake MOURINE

"naomba mwambie ZUBERI namwitaji ofisini kwangu" baada ya maneno Yale akakata simu

dakika chache badae ZUBER aliingia

Vergan akamwonesha ishara aketi

alikuwa ni kijana mrefu,alikuwa ndo meneja baada ya yeye ZUBER ndo alikuwa chini yake alimwamini kijana yule alikuwa ndo mshauri wake,siri zake ZUBERI alizijua,siri za ZUBER naye alizijua

Kwa kivipi walikuwa ni zaidi ya marafiki waloshibana,waloshauriana....

Zuberi akupata tabu kugundua bosi wake yule au rafiki yake yule yupo katika matatizo makubwa

Hiyo ni baada ya kuisoma simanzi ilotawaliwa na majonzi pamoja na woga katika uso wake ule

"Nimeitikia wito bosi"

Zuberi akatamka kwa sauti ya upole,akimwangalia kwa mashaka Vergan

VERGAN alimweleza ZUBERI kila kitu!,akimwacha kijana yule katika mshangao wa hali ya juu wa kutokuamini Yale aelezwayo....

Mwisho akatoa ushauri wake akitanguliza pole,

,"dah pole bosi huyo atakuwa ni jini tu! kubali ukatae! kwanza embu nioneshe hizo msg zake! maana siamin kabisa!"

VERGAN akatii na kuchomoa simu yake mfukoni akaanza kutafuta zile meseji inbox

'MESEJI HAZIKWEPO'

na anakumbuka akuzifuta kabisa! bumbuwazi likauvaa uso wake

"kah meseji azipo kak!"

"nini?" ZUBER akaoji kwa mshangao

"sijazifuta lakini nashangaa kutoziona!"

"basi BOSI jibu ndo ilo huyo atakuwa ni jini mahaba!"

"sasa nfanyeje rafiki yangu?"

"kuna mtaalamu namfahamu ntakupeleka"

"hapana best mim ni msomi siamini hao watu wengi wao matapeli....."

Katika vitu ambavyo JOHN VERGAN akuvipenda ni kuamini ushirikina

"mganga wa kienyeji!"

ZUBER alijaribu kumbembeleza lakin VERGAN akuwa tayari,mwisho akakata na tamaa!

Zuberi akaaga akihaidi kurejea baada ya kupata wazo lengine, akamwacha bosi wake katika mawazo Yale....

"ina maana uyu ni mtu au jini?" bado maswali yasiyo na majibu yaliambaa katika kichwa chake.

"sura ya HUSNAT ikamjia kichwani mwake wakati walivyokuwa wakifanya mapenzi"

miguno ya kimapenzi na hata sura yake alivyoikunja,utamu alokuwa nao,HISIA zikampanda,na ghafla tabasamu likamponyoka.

"atakuwa ni binadamu anacheza na akili yangu tu!"

akajifariji upendo moyon mwake ukafumuka kama mvua za masika

ALIANZA KUMPENDA!.

Akashangaa kumpenda ghafla kiasi icho! moyo wake aliujua vyema.

Aukuwa wa mtu aliyeyaendekeza mapenz akupenda kujiumiza kichwa kama kwa MOURINE aliyepanga kumuoa,lakini MOURINE anamzingua,

alipobahatika kumuona HUSNA akajua jibu lake limepatikana lakini vitabia tabia vyake vinamshangaza naye ni jini?

aoe jini?!!

"no siwezi kumpenda HUSNA!"

akapingana kwa nguvu na HISIA zake

ilipofika jioni wakati anajiandaa kuondoka ghafla mlango ukafunguliwa na HUSNAT akaingia na tabasamu pana usoni

Uzuri wake ulikuwa mara mbili ya mwanzo bumbuwazi likauvaa uso wa VERGA akutegemea kama angekuja kweli

mbona secretary wake ajampgia simu?

Na alikuwa kawaida mgeni kuingia bila 'secretary' wake kumpigia naye ndo amruhusu!

Lakini huyu!!!......

Verga alijawa na khofu ulochanganyikana na woga

ilikuwa lazima aogope alikuwa kavaa gauni jekundu refu lililo mkaa vyema, akaenda kuketi kwenye viti vya wageni na kumpa mkono Vergan aliyekuwa bado akitetemeka....

ITAENDELEA

CHANZO : BURE SERIES
 
SEHEMU YA TATU

Mbona SECRETARY wake MOURENE ajampigia simu kumwambia juu ya mtu kumuitaji?

au akumwona? au amemdhuru? au naye ameogopa? maswali hayo mfululizo yakakishambulia kichwa chake! akakiri kutoyajua majibu yake akagutuka baada ya kuuona mkono wa JINI yule

"vipi sweet?" sauti tamu imtoaye nyoka pangoni ilipenya katikati ya ngoma ya masikio yake ikawa burudani tosha ndani ya mfumo mzima wa masikio!

lakin burudani hiyo katu aikuwepo katika ubongo wake ubongo wake ulikuwa katika tafakari zito tafakari lililomezwa na woga.

JOHN VERGAN alitaitika! alikuwa akitetemeka na kusogea nyuma mara ghafla kiti kikadondoka!

"unaogopa nini sweet au aunipendi?"

HUSNA kwa mara nyingine tena akauliza! VERGAN akujibu! akabaki kimya

"VERGA TAMBUA NA KUPENDA! NA UKIKUBALI KUWA NA MIMI NITAKUTAJIRISHA UTAMILIKI MALI NYINGI ZAIDI YA HIZI!, MAVIWANDA
,MAKAMPUNI,UTATEMBEA DUNIA NZIMA UNAVYOTAKA UTAPOKEA ZABUNI MPAKA MWENYEWE UTAZIRINGIA

LAKINI UKINI KATAA NTAKUFILISI UTARUDI KIJIJINI MASIKINI MTAOMBA HADI VYAKULA NA UTAISHI MAISHA YA MATESO KATIKA DUNIA HII UTAKUWA UKIZARAULIWA NA KILA MTU CHAGUA MOJA.....

KUMBUKA USINIKATAE KISA MIMI NI JINI!

TAMBUA HATA SISI MAJINI TUNA MIOYO YA KUPENDA KWA DHATI ZAIDI YENU NYINYI BINADAMU HIVYO MOYO WANGU UPO KWAKO WEWE VERGA AU UJAVUTIWA NA MIMI?"

Aliuliza HUSNA huku akiwa anatembea tembea ofisini mule

"hapana! hapan...."

ghafla kitasa cha mlangoni kikawa kina tingishika kuonesha mlango unafunguliwa kutoka nje

JINI HUSNAT AKATOWEKA apo apo

"bosi unaongea na nani? bosi kuna nini? bosi mbona upo chini umefanya nini?!!..."

MOURINE alimuuliza maswali Mfululizo VERGA aliyekuwa kadondokea kwenye pembe ya nyumba

"ulivyo ingia ujamwona mtu?!"

"mtu? mtu gani bosi mbona sikuelewi?"

"HUSNA! ujamwona HUSNAT?"

"Husna ndo nani bosi?"

kabla VERGAN ajajibu swali lile HUSNA akatokea na kumnyooshea VERGAN kidole mdomoni ishara ya kunyamaza,

Verga akatii,akiwa amegwaya....akamwambia MOURINE

"amna kitu MOU kaendelee tu na kaz"

VERGAN alitamka huku akinyanyuka na kujifuta futa

HUSNAT ALISHATOWEKA!

"Bosi kuna wale watu wa idara ya mapato wanasema watakuja kesho ivyo uandae risiti zote"

"sa...w ni.meku..elewa" VERGAN alijibu kwa kubabaika secretary wake akaondoka VERGA akarud kwenye kiti chake na kukaa

"KITI AKIKUKALIKA!"

alinyanyuka na kuchukua koti! lake la suti lililokuwa nyuma ya kiti chake na kulivaa,

akachukua simu na kumpigia MOURINE

"Alooh bosi!"

"Namuitaji ZUBER"

"Sawa bosi"

baada ya muda ZUBER akaingia,

"sasa wewe kijana kaa hapa ofisini mimi naenda kupumzika kidogo kichwa hakipo vizuri"

"sawa bosi"

JOHN VERGAN akachukua brufcase yake na kuondoka!,

aliitaji kupumzika aliisi kichwa kinamuuma,

katu akujua balaa alilokuwa akilifata mbele yake

ZUBER alitafuta ma file na kuendelea kuyajaza taratibu! akujua kinachoendelea yeye alikuwa na yake kichwani katika kudhihirisha ule usemi umdhaniaye ndiye kumbe siye,au rafik yako ndiyo hadui yako,

ZUBER alikuwa ni chui mwenye ngozi ya kondoo ama kweli usilo lijua ni sawa na usiku wa kiza.

na kwa upande wa MOURINE secretary wa VERGAN naye pia kiti akikukalika!

alijua bosi wake ana matatizo tu! japo akuwai kumwambia kuwa anampenda ila moyoni mwake alikiri kumpenda sana bosi wake yule!

" hapa kuna kitu na lazima nifanye kitu kumsaidia bosi wangu "

wakati akiwa anawaza hayo ghafla harufu kali ya manukato ikaanza kusikika, upepo mkali ukaanza kuvuma! vumbi lililotengeneza kimbunga cha wastani kikaanza kuingia ndani na kupeperusha ma file yale pale mezani,

makabati yakaanza kujifunga na kujifungua yenyewe na mara mtoto mzuri mrefu alovaa nguo ndefu akatokea!

Alitokea katikat ya chumba kile MOURINE akataka kukimbia akashindwa, akataka kupiga kelele pia akashindwa akabaki na butwaa

"mimi naitwa ZAIDATU BINT ROUJAT natokea ukoo wa kifalme wa kijini nimekuja kwa ajili ya msaada kwako..."

Msaada?!

"Ndio nimekuja kwa msaada ila lazima ufe"

kabla MOURINE ajafanya kitu JINI ZAIDATU akamvamia na kumnyonya damu yake.

JINI ZAIDATU baada ya kuakikisha amemuangamiza secretary yule MOURINE kwa kumfonza damu yake yote akaachia ukelele mkubwa!

kisha akatoweka!

mara ghafla MOURINE akazinduka ilikuwa kama kazinduka toka usingizini!

ila MOURINE huyu alikuwa tofauti na wa mwanzo!

macho yake yaling'aa!

meno yalichongoka mawili!

ila ghafla vyote vikatoweka akabaki MOURINE wa mwanzo!

ZAIDATU alikuwa kaingia katika mwili wa MOURINE kwa kazi maalumu! ni kazi gani? aliijua moyoni mwake.

aliendelea kufanya kazi zake kama kawaida

machoni alionekana ni MOURINE ila kumbe alikuwa ni jini hatari ilikuwa ni PATASHIKA.

Moyoni mwa ZUBER wazo lililotawala kichwa chake ni kuakikisha mali zote za VERGAN zinakuwa chini yake kwa namna gani?

ilo alikumsumbua akakwapua simu ilokuwa pale mezani na kupiga namba kadhaa akaweka mkonga wa simu yake maskioni

"MOURINE nakwomba uniunganishe na PITER"

"sawa bosi"

MOURINE aliitikia na kuwaunganisha wakaongea machache.

dakika chache zilizofatia PITER au mwanasheria mkuu wa compuny ile alikuw mbele ya bosi wake yule.

"nachotaka kuongea na wewe ni siri kukiwa na makubaliano au hata kama kusipokuwa na makubaliano!"

ZUBERI alifungua kikao kile kwa onyo kali.

"na kama siri hii ikivuja sitokuwa na kingine zaidi ya kukuua!"

"what?" PITER aliamaki

"ndiyo! ni dili litakalo badilisha maisha yetu tutakuwa matajiri wakubwa kama bosi VERGA"

"SAWA nipo tayari weka kazi mezani!"

PITER Alikubaliana na wazo la ZUBER na kuwa tayari kusikia dili lenyewe

"naitaji tutaifishe compuny hii iwe chini yetu! mimi na faida tugawane hamsini kwa hamsini"

"unasema?"

"ndiyo naitaji compuny hii iwe chini yetu"

"sijakuelewa ZUBER ni vipi tutafanikisha ili?"

"swali zuri PITER wewe ni mwanasheria wa compuny una nyaraka hati zote muhimu ni kitendo cha kuzibadilisha tu"

"tatizo itakuwa ni sahii yake"

"atatekwa na kulazimishwa kuweka sahii baada ya hapo tutamuua"

"sawa ZUBER nimekuelewa niachie nianze kazi...

JOHN VERGAN alifika nyumbani kwake na mlinzi akafungua geti VERGAN akaingiza gari taratibu.

mlinzi alimsalimia lakini VERGAN akuitikia, kichwa kilikuwa kikiwaka moto akaenda mpaka chumbani kwake na kujitupa

mara ghafla akapitiwa na usingizi wakati akiwa yupo usingizini akaota yupo na JINI HUSNA akiwa pembezoni mwa jabali palipokuwa pameota majabali makubwa wakiwa wameegemeana kimapenzi HUSNA akasema: kwa sauti ilojaa mahaba....

"dear nna zawadi yako!"

"zawad gan sweet?" VERGAN akaoji akiwa kaushika mkono wa dada yule mrembo

"funga macho yako"

VERGAN akafumba HUSNA akatoa mkufu wa dhahabu na kumvalisha VERGA

"Fungua!"

VERGAN alipofumbua macho yake akuamini akamkumbatia kwa nguvu HUSNA mkufu ule ulikuwa ukimeremeta huku ukiandika jina la VERGAN ulikuwa na picha ya HUSNA na VERGAN wakiwa wamekumbatiana,

Baada ya VERGAN kumkumbatia akamwachia ghafla akashangaa kumuona kabadilika kawa na sura mbaya ya kutisha meno yalochongoka pembe pembeni ya vichwa kucha ndefu VERGA akashindwa kuvumilia na kupiga kelele ghafla akazinduka.

"he! kumbe ilikuwa ni ndoto?"

VERGAN alitahayari alishindwa kuzuia mshangao dhahiri katika macho yake.

wakati akiwa anashangaa ,wakati akiwa bado kakaa kitako kitandani.

alipocheki pembeni ya kitanda AKAUONA ULE MKUFU!

aliruka kitandani na kutaka kukimbia

MLANGO UKAJIFUNGA

kizaa zaa kikaanza

kelele za msichana akicheka zikasikika.

"VERGAN kwa nini unielewi?!

kwa nini utaki kunipenda? kwa nini utaki kunizoea? ama uitaji kuwa nami? niambie VERGAN nijue,hata mimi na moyo VERGAN!"

ilisikika sauti ikisema na kimya kikafuata mlango ghafla ukafunguka.

VERGAN kama mweu akatoka mbio alikimbia hadi getini mlinzi wake ndiye aliyefanikiwa kumzuia

"bosi wangu utaumia! una matatizo gani bosi tell me why?"

"niache! niache! niache KITALU niache!"

"come down bosi come down punguza presha,relax,smile ,then tell me why ili niweze kukupa msaada"

" twende ukaone mkufu twende ni jini si ndoto ni kweli!"

VERGAN aliropoka,ni wazi alianza kuchanganyikiwa....

***************
VERGAN na mlinzi wake KITALU waliongozana hadi ndani VERGA akiwa na lengo la kumuonesha ule mkufu wa ajabu! mkufu wa ndotoni walipofika AWAKUKUTA KITU!,MKUFU AUKUWEPO,VERGAN akakunguta mashuka lakini bado mkufu aukuonekana.ikabidi kwa maneno kuntu,maneno ya hisia VERGA amsimulie mgambo wake yule!
"bosi wangu! jambo doncho sana ili!,ili ni jini mahaba na kuna ustadh! swadakta maalim! sheghe ni shidaaaa! hana uwezo wa kumwita! kumpumbaza! kumkamata na kumfinyanga hadi aitwe marehemu anaitwa maalim sheghe RAJAB!"
"unaweza kunipeleka saivi kwa maalim?"
"bila shaka kabosi kangu! lakini pale kagetini katakaa kanani?"
"uc of pale ntamtafuta mtu mwingine"
"akah! na mimi si ntakosa ka kazi bos?!"
"hapana we ntakupandisha cheo utaenda katika compuny yang na ela itapanda."
"sawa bosi ngoja nkajiandae ili tukaka angamize ako kajini mahaba!"
ile saa KITALU anageuka tu nyuma akakumbana na mkono dhabiti! mkono imara wa HUSNA! lakin VERGAN akumwona KITALU alihisi kukabwa ghafla akaanza kukooa damu alikuwa akionesha kidole shingoni alipokabwa mara akadondoka chini na kufa hapo hapo.HUSNA akiwa na uso wa hasira akaiangalia kwa chuki maiti ile akairuka na kuweka mikono juu akatoweka.VERGA alichanganyikiwa! kitalu hakuwa mzima na sasa ni marehemu! kivipi? bado lilikuwa swali lisilo na jibu

polisi walikuja na kumchukua VERGA na house garl wake JASMIN na mwili wa marehemu ukapelekwa hospitalini kwa uchunguzi zaidi.alama za mikono shingoni zilionekana dhahiri! hivyo madaktari wakaanza kudili nazo.

cha ajabu alama za mikononi za JOHN VERGAN ndo zilizo onekana shingoni mwa MLINZI MACHACHARI KITALU.mshatakiwa namba moja akawa JOHN akawekwa chini ya ulinzi! moyo ulimuuma maswali ya siyo na majibu yakatiririka kichwani kwake.familia yake baba mama zote walikuja kumtembelea wakamtoa khofu kwa kuweka mawakili hatari pesa si ilikwepo.tarehe ya kuanza kusikilizwa kwa kesi ikafika.baada ya kuamishwa katika mahaka
****************
ITAENDELEA

CHANZO : BURE SERIES
 
SEHEMU YA NNE

SERIKALI ikapandisha shaidi namba moja! ambaye alitambulika kama afande MARWA.
MWENDESHA MASHTAKA@"taja majina yako matatu"
SHAIDI NO 1@ "MARWA JAFETY JOHN"
MW/MASHTAK@ "Unaweza kutuambia kilichotokea siku ya tukio?"
SHAID NO 1 "Yap nilikuwa kituoni siku hiyo mara simu ikaita kupokea ni msichana aliyekuwa akilia alidai bosi wake alikuwa akimnyonga mlinzi wake ndipo nilipochukua afande wengine mpaka eneo la tukio tulipofika tulimkuta mtuhumiwa kashafanya mauaji ndo tukawaweka yeye na house garl chin ya ulinzi"

maelezo haya ya AFANDE marwa yalimshtua kila mtu akiwepo JOHN VERGAN ambaye yeye ndiyo aliyepiga simu polisi iweje aambiwe ni mfanyakazi wake? pia mawakili wake walitazamana kwa kutoamini wakisikiacho kesi kwa upande wao ilizidi kuwa ngumu na kwa upande wa house gar yule alishangaa kuambiwa eti alipiga simu wakati bosi wake ndo alipiga ilikuwaje? kuna nin? ilikuwa ni mkanganyiko katika mioyo yao katu awakujua kuwa:

wakati JOHN VERGAN anapiga simu kituoni sauti yake iliishia mule ndani lakin katika masikio ya afande MARWA ilisikika sauti ya binti akiongea kwa jazba,woga,huyu si mwingine ni JINI HUSNAT aliyeyameza maneno ya VERGAN na kuongea kama JASMIN.ndivyo ilivyokuwa.

MW/MASHTAKA "mshtakiwa una swali lolote kwa shaidi no 1"
VERGAN "ndyo mh! afande marwa mimi ndo nlikupigia simu iweje useme ni JASMINI kwa nini lakin inakuwa hivi?"
baada ya kuuliza swali VERGAN akaanza kulaumu ikabidi akatishwe na nafas kurudi upande wa mawakili

JOHN VERGAN anapiga simu kituoni sauti yake iliishia mule ndani lakin katika masikio ya afande MARWA ilisikika sauti ya binti akiongea kwa jazba,woga,huyu si mwingine ni JINI HUSNAT aliyeyameza maneno ya VERGAN na kuongea kama JASMIN.ndivyo ilivyokuwa.

MW/MASHTAKA "mshtakiwa una swali lolote kwa shaidi no 1"
VERGAN "ndyo mh! afande marwa mimi ndo nlikupigia simu iweje useme ni JASMINI kwa nini lakin inakuwa hivi?"
baada ya kuuliza swali VERGAN akaanza kulaumu ikabidi akatishwe na nafas kurudi upande wa mawakili
WAKILI "una muda gan katika jeshi?"
SHAIDI NO 1 "MIAKA MI 4"
WAKILI "una ushaidi gani kama aliyekupigia simu ni huyo mfanyakaz wa bosi wetu?"
shaidi no 1 (kwa hiyo unaisi mimi ntatoa ushaidi wa uongo siyo?"
MW/MASHTAKA "afande jibu maswali kama utakiwavyo"
afande@"ndyo mh"
Wakili "ushakula rushwa mara ngapi?"
shaidi no 1 "mimi ni mwadilifu kazini,na nafata wajibu wa kazi yangu"
wakili "ujajibu swali langu afande! sijakuuliza kama wewe ni mwadilif au vipi!"...,.

************

WAKILI@:Ujajibu swali langu afande! sijakuuliza kama wewe ni mwadilifu au vipi nimekuuliza umeshakula rushwa mara ngapi?
SHAIDI NO 1@:sijawahi kula rushwa.
WAKILI@:nikiielezea mahakama siku ya tukio MARWA na wenzako mlikula rushwa kumweka pabaya bosi wangu ntakuwa nakosea?
SHAIDI NO 1@:si! kweli
WAKILI@:Umesema umepigiwa simu na nani?
SHAIDI NO 1@:house garl wake.
WAKILI@:ukimwona waweza kumtambua?
SHAIDI NO 1@:Ndiyo
WAKILI@:yupo wapi?
SHAIDI NO 1@:yupo mahabusu kwa mahojiano zaid kwa sababu naye alikutwa eneo la tukio
WAKILI@:mlipofika eneo la tukio mlimkamata kama shaidi? au mtuhumiwa?
SHAIDI NO 1@🙁kwa swali la mtego afande akaanza kubabaika) "mtuhu..mi shaidi!..."
WAKILI@🙁mh hakimu! huyu afande hapa ni mnafki anadanganya mahakama inaonesha kuna mchezo hapa aiwezekani shaidi awekwe chini ya ulinzi! afande marwa embu nambie sheria ya haki za binadamu inayohusu mshtakiwa namba 15 hadi 17)
SHAIDI NO 1@"akabaki kimya yamkini akuitambua sheria hiyo! uso wake ulipanuka kwa hasira."
SHAIDI NO 1@ akafunga mjadala mh hakimu huyu afande hapa naomba afutwe kama shaidi katika kesi hii hata sheria za haki za binadamu ajui?,kwenye maelezo yake kababaika kujibu na siku zote shaidi awezi kuwa mtuhumiwa nimemaliza.
AFANDE MARWA akaenda kuketi akipambana na macho makali ya watazamaji na wasikilizaji moyon mwake akujua sababu ilomfanya ashindwe kujibu maswali yale.akujua kilichopo nyuma ya pazia.
msichana mrembo MOURINE aliketi nyuma katika bench la tatu kwa kazi maalumu! msichana huyu aloingiliwa na jini ZAIDATU alijua juu ya uwepo wa JINI HUSNAT kule.kwa vyovyote vile ilikuwa lazima afanye kazi kwa uangalifu HUSNA asijue uwepo wake kule.ILIKUWA NI LAZIMA AMKOMOE HUSNAT kwa VERGAN kuwa huru yeye ndo alompumbaza afande akababaika kujibu na kuwapa mwanzo mzuri mawakili wale profision kwa upande Wa JINI HUSNAT aliyeketi ktk pembe akuna mtu aliyemwona alikasirika sana kila alipojaribu kumpa ujasiri afande ili shindwa.....

***************

Baada ya shaidi namba moja afande kuondolewa katika kesi ile kwa hoja zake akapanda Shaidi namba mbili.huyu alikuwa ni daktar mtafiti aliegundua alama za mikonon mwa mwil wa mlinzi kuwa ni za JOHN VERGAN.Kwa kushabiana kwa vinasaba.wakati daktar yule akielezea yale HUSNA ambaye akuwa akionekana na mtu alikuwa makini kufatilia kwa ukaribu kesi ile hali ya uhatari ilisha jijenga katika kichwa chake.
WAKILI😡"una muda gani kazini?"
SHAIDI NO 2: "Miaka 35"
WAKILI😡 "Una miaka mingapi saivi?"
SHAIDI NO 2"Miaka 65"
WAKILI😡 "nAis wakati unafanya uchunguzi wa mwili wa MAREHEMU hukuwa na alama za vidole za mtuhumiwa je ni kitu gani kilichopelekea ukagundua alama zile ni za VERGAN."
DAKTARI akababaika kujibu swali lile si kwamba akuwa na jibu la hasha! bali mdomo ukawa mzito.woga,jasho likaanza kumtoka usoni,tayari JINI ZAIDATU alisha muotea bila kugunduliwa na jini HUSNAT tayar kesi kwa upande wa VERGAN ilianza kuwa na matumaini.baada ya daktari naye kupigwa chini ika amrishwa shaidi wa mwisho JASMINI akaletwe.mapumziko yakafatia.na baada ya dakika chache JASMINI naye akiwa na lengo la kumuokoa BOSI wake akapanda kizimbani akala kiapo.alipomaliza ghafla jini HUSNAT akamvaa mwanzo Alikuwa akiogopa kumwangalia bosi wake yule ila JASMINI huyu alimwangalia VERGAN kwa macho makali! hasira na chuki za waziwazr nywele za VERGAN zikasisimka moyo ukaanza kumwenda mbio kati ya watu wote walioudhuria kesi ile yeye pekee ndiyo aliyeweza kuyaona mabadiliko Ya JASMINI pengne na MOURINE wa bandia.alipozidi kuyaangalia macho ya jasmin akayakumbuka HUSNAT! ni macho ya jini HUSNAT ikawa si vigumu kwake kugundua mchezo unavyoenda ghafla akaisikia sauti ya jini yule katika ngoma ya masikio yake "NIMEPEENDA UGUNDUE ULILOGUNDUA! KESI NI NGUMU KWAKO ILI IWE LAINI NA USHINDE KUBALI UWE WANGU" kabla ajajibu sauti nyingine ktk sikio lingine ikamwambia
"usikubali nipo na wew UERGAN"
Wakati akiendelea kutafakri zile sauti ghafla..

*************

Maswali mengi sana yakarindima kwenye kichwa chake akuweza kuitambua ile sauti ya upande wa pili ya MOURINE ilimfikiaje! macho yake yakamlazimu ayagandishe kwa binti yule.aliyemwachia tabasamu afifu lililomuweka sawa kidogo!
"nini kinachoendelea hapa?" aliwaza bado sauti zilizidi msumbua katika kichwa chake ghafla akashtuliwa na saut ya mwendesha mashtaka!
MW/MASHTAKA😡 JOHN VERGAN una swali lolote kwa shaidi no 3
VERGAN😡(akababaika kidogo kujibu) "ndiyo!.....hapan"
jibu lile likaibua tabasamu kwa waudhuriaji wa kesi ile.
MW/MASHTAKA😡(akarudia swali lake)
VERGAN😡 Kwa woga akajibu HAPANA sina swali.
MW/MASHTAKA😡(shaidi namba tatu elezea kitu kilichotokea siku ya tukio.
JASMIN p.a.k JINI HUSNAT😡(kwa nin VERGAN umemuua MPZ wang kwanin?)
mahakama yote ikabaki kinywa wazi! JASMIN alikuwa akilia kitendo kilichoibua simanzi mahakaman pale.
MW/MASHTAK😡Unaweza kuelezea mahusiano kati yako na mtuhumiwa pamoja na marehemu?
JASMIN😡 marehemu alikuwa mpz wangu na mlinz katika nyumba ya bosi wangu ni mara nying sana VERGAN alinitaka kimapenz kw kuwa nampenda KITALU sikumkubalia mpaka siku alipotufuma mim na mlinzi tukiwa tumekumbatiana kwa kuwa alinipenda hasira zilimpanda akamvamia mpz wangu na kumkaba mpaka akamuua..,
mahakama yote ikatoa mguno wa fedheha,VERGAN muda wote alikuwa kajiinamia chini kama kifaranga kilicholoa na kutengwa na mama yake.lilikuwa ni pigo pia kwa upande wa mawakili wake.MOUREEN aliinamisha kichwa chake chini kukwepa kuonana macho kwa macho na JINI YULE.
MW/MASHTAK vergan unakubali unakataa?
katika sikio lake la kushoto aliamrishwa na sauti ya MOURINE kukataa lakin kila alipotaka kufungua mdomo wake alijihisi woga wa ajabu,mwili wote ulimtetemeka jasho akajikuta amekaa kimya kitendo kilichotafsiriwa kama dharau mahakaman pale.
WAKILI: "Unasema kitalu alikuwa mpz wako"
JASMIN "ndiyo!"
ghafla wakili naye akajikuta ana swali la kuuliza..kesi ikaairishwa kwa siku nyingine kwa hukumu.
**********
kutokana na sapport yenu nzur katika comment,like na shere sasa story hii kwa xku itawajia mara mbili asb na jion.songa nayoooo

ZUBERI MUSA mfanyakazi na rafiki yake mkubwa na JOHN VERGAN akiwa kapiga suti yake ilomkaa vyema ya kahawia,viatu aina ya moka alikuwa kakaa akipata bia yake taratibu.
wasichana baadhi warembo walijipitisha mbele yake kuitaji kumpa sapport ila kijana huyu akukubali akidai kuna mtu alikuwa akimsubiri.macho yake yakatua katika saa yake ilisomeka ni saa kumi na moja jioni macho yake yakamlazimu kuangalia mandhari ya eneo lile.macho yake yakatua getini BMW liliingia ZUBER akaisindikiza kwa macho mpaka parking aliposhuka kijana mmoja aliyenyoa kipara cheupeee kichwa kizima alikuwa kavaa suti nyeusi akaelekea sehemu alipoketi rafiki yake ZUBER.baada ya kusalimiana aliketi na kumwangalia rafiki yake yule ZUBER akakohoa kusafisha koo kisha akaendelea:
"ok lete mpango!"
"kila kitu safi nyaraka zote za compuny nshazibadilisha ni sahihi yake tu!" aliongea hivyo kipara kwa tabasamu afifu lililouchukiza uso wake! ZUBER akamjibu kwa tabasamu pia.
"mpango namba moja umeisha! sasa mpango namba mbili tutamuongeza mshirika mmoja naye ni secretary wake MOUREEN kakubali kuongea na wazazi wa mlinz yule na kuwapa chochote kitu ili kesi ife akitoka tu tupate nafasi ya kumlazimisha aweke saini akitii tumuuwe"
ZUBER aliongea kwa kujiamini kama JOHN VERGAN angefungwa kwa kosa lile la mauaji ni wazi wasingeipata sahii yake ivyo ilikuwa ni lazima wamtoe kwa vyovyote vile.

ZUBERI alimwita MOURINE na kuongea naye juu ya kumtoa bosi wao awakueleza lengo lao.katu awakujua kuwa MOURINE huyu si yule walomjua! huyu alikuwa na uwezo zaidi yao.ila kwa kuwa kila mmoja alikuwa anafanya kazi kivyake mourine alikubali kwa kuwa VERGAN kuwa huru ndo mafanikio yake kwa kile alichotumwa huku duniani.akawatoa shaka.na kuaidi kulifanyia kazi jambo ilo.

JOHN VERGAN alikuwa mahabusu ghafla kausingizi cha manyunyu manyunyu kikaanza na atimaye akamezwa na usingizi mzm

*****
ilikuwa ni nyumba moja ya kifahari,VERGAN alikuwa ameketi kitandani akisoma kitabu kizuri cha riwaya kiitwachu UCHUNGU WA SUKARI kilichotungwa na mwanadada ENEA FAIDY moyo wake ulikuwa ukimwenda mbio juu ya kisa kile kitamu na akutaman akiache kwa mbali alisikia sauti ya maji bafuni yakimwagika.akuwa na shaka kwa kujua habiby wake alikuwa akikoga.akaendelea kufungua kurasa zile akila uhondo wa simulizi ile.ghafla mlio wa maji bafuni ukakoma.yamkini mwogaji alimaliza kokoga na alikuwa akijifuta au akivaa ni kweli akukosea mlango wa chumba ukafunguliwa ukatangulia mguu mwororo ulokosa doa na mwili ulofunikwa na kaupande cha khanga ukafatia.HUSNAT akatoka.moyo wa VERGAN ukaanza kumwenda mbio.shakushangaza akuwa na uwoga kabisa bali hisia ndo zilizomtesa.akaweka kitabu chake chini.muda wote JINI HUSNAT alikuwa katika dresing table yake akijipara VERGAN akamfata na kumshika kiuno HUSNA akatoa kilio cha mahaba.kilichokuwa kama fimbo kali kwa rijali yote ilomchapa na kumchakaza.aliitaji kitu kingine kwa dada yule.Penzi aliitaji PENZI wakakokotana mpaka kitandani.kwa mara nyingine Tena vergan akalifaidi penzi tamu lililomburudisha na sasa walikuwa katika mapumziko
"VERGAN kwa nini unipendi?"
"nakupenda sana HUSNA wangu"
"uongo!" akampiga kibao cha kimaaba
"kweli my love"
"endelea kunikataa VERGAN mali zako uraiani zinauzwa.kubali kuwa wangu nikuokoe mpz!"
"hapana! hapana! hapana! siwezi kuwa na jini kamwe naomba utoke!"
lilikuwa ni jambo la kushtukiza pale JINI HUSNAT alipompa akili zake za kawaida akitegemea VERGAN angemwonea huruma aikuwa hivyo alimbadililikia akimfukuza hasira naye zikampanda tatzo lake HUSNA akuweza kuzi zuia hasira zake akabadilika na kuwa na meno makali yalochongoka kucha ndefu akamfata kwa hatua ndefu VERGAN kwa lengo la kumrarua
"mamaaaaa YESU CHRISTO NIOKOE...."
Kijana yule akapiga ukelele mkubwa na ghafla akashtuka
"kumbe ni ndoto"
akajisemea Eeh MUNGU WANGU NIOKOE NA JINI HUYU DHALIMU AYATESAYO MAISHA YANGU....

********
"VERGAN kwa nini unipendi?"
"nakupenda sana HUSNA wangu"
"uongo!" akampiga kibao cha kimaaba
"kweli my love"
"endelea kunikataa VERGAN mali zako uraiani zinauzwa.kubali kuwa wangu nikuokoe mpz!"
"hapana! hapana! hapana! siwezi kuwa na jini kamwe naomba utoke!"
lilikuwa ni jambo la kushtukiza pale JINI HUSNAT alipompa akili zake za kawaida akitegemea VERGAN angemwonea huruma aikuwa hivyo alimbadililikia akimfukuza hasira naye zikampanda tatzo lake HUSNA akuweza kuzi zuia hasira zake akabadilika na kuwa na meno makali yalochongoka kucha ndefu akamfata kwa hatua ndefu VERGAN kwa lengo la kumrarua
"mamaaaaa YESU CHRISTO NIOKOE...."
Kijana yule akapiga ukelele mkubwa na ghafla akashtuka
"kumbe ni ndoto"
akajisemea Eeh MUNGU WANGU NIOKOE NA JINI HUYU DHALIMU AYATESAYO MAISHA YANGU....

*****
MOUREEN au JINI ZAIDAT moyo wake ulikuwa na amani sana! mpaka muda huo JINI HUSNAT alikuwa ajatambua uwepo wake.lengo lake lilikuwa moja tu kuakikisha VERGAN anakufa! kitendo icho kingefanya kile kilichomleta huku duniani kiende vizur! je VERGAN atakufa kwa namna gani? jibu lilikuwa raisi tu atawatumia vijana wawili ZUBER na KIPARA wenye malengo kama yake.akiwa na kitita cha fedha aliingia katika nyumba chakavu ni nyumba ya wazazi wake na KITALU walokuwa wakiishi maisha ya shida sana.tegemeo lao kubwa lilikuwa ni kitalu kitendo cha kuuwawa kilikuwa ni pigo sana kwao.akawapa faraja baada ya kukaribishwa vizuri baada ya maongez ya hapa na pale akawapa mfuko ulojaa hela.familia ile ilijaa na furaha.dakika chache MOUREEN alikuwa katika ofisi ya hakimu wa kesi ile akatoa kilichostaili!,akika MOURINE aliivunja vunja ile kesi kwa kusambaza noti mpaka kwa wapelelezi wa kesi ile.pesa ni sabuni ya roho!

moyo wa VERGAN aukuwa na amani kabisa alikubali kuyazoea maisha ya rumande muda wote alikuwa na bible yake ndogo akiisoma ilo kwa upande wake kidogo lilimsaidia kwani jini HUSNAT akumsogelea.tumaini la kutoka mahabusu alikwepo ndan ya mahabusu huwa kuna serikali yao rais akiwa nyapala.kulikuwa na mapadri walofundisha mema na kukataza maovu PADRI BRAYTON ndiyo alikuwa rafiki yake mkubwa.wakati wakiwa wanaendelea kusoma neno ghafla lango kuu la chumba chao likafunguliwa afande akiwa na kirungu akamwita kwanza alishtuka moyo ukaanza kumwenda mbio alijua siku hiyo ndo siku ya hukumu akakumbuka kiapo alichokula JINI HUSNAT juu ya kumfunga maisha ikiwa atamkataa alishndwa kuyazuia machozi yasimtoke.akawa anaelekea yalipopakiwa makarandinga ya mahakamani kabla ya kushtukizwa na kibao kikali "unaelekea wapi wewe elekea kwa mkuu wa magereza" alishtuliwa na sauti ilojaa kitetemeshi cha dharau moyo ukaanza kumwenda mbio siku zote walioitwa kwa mkuu wa magereza ilikuwa ni kuamishwaa gereza akupenda ili gereza lile alisha lizoeya kitendo cha kuamishwa kingemuumiza san

*****
Kitendo cha kuitwa kwa mkuu wa gereza kwa vyovyote alijua lazima angeamishwa gereza....
wazo kwamba pengine anatoka alikuwa kabisa katika kichwa chake.aliingia katika ofisi ile na kupokelewa na tabasamu si tabasamu la kuogofya,chuki,masimango,kejeli.hapana nadharia hiyo aikuingia kabisa katika kichwa chake,tabasamu la faraja,amani,ndilo lililosomeka katika uso wa mkuu yule wa gereza.akampa ishara ya mkono aketi katika kiti VERGA akatii....
"najua unashangaa wewe leo mimi kukuita hapa,yamkini bado una uoga na khofu kwanza futa vyote...wapo wanaosema jela ni jeraha! umekaaa muda mchache sana kama miezi mitatu tu nadhani umejifunza mengi koh koh koh koh!" ghafla mkuu wa gereza yule akakohoa ishara ya kusafisha koo akaendelea! VERGA akimsikiliza kwa makini.....
"kesho ndo ilikuwa siku yako ya hukumu si ndiyo?"
"ndiyo mkuu"
"imebatilishwa siku yako ya hukumu ni leo."
moyo wa VERGAN ukaanza kumwenda mbio
"na hakimu ni mimi kwanzia sasa hupo huru"
"nini?" VERGAN alioji bila kuamini akuweza kuyazuia machozi ya furaha kumdondoka.akapiga magoti chini akimshukuru MUNGU ahadi ya jini HUSNAT ya kumfunga maisha ikijirudia.
"MUNGU ni muweza,MUNGU anaponya kavunja nguvu za pepo mchafu HUSNAT nani kama MUNGU? anajibu maombi anajibu maombi anajibu maombi twakuabudu bwana...." VERGAN akuweza kuizuia furaha yake akawa anaimba nyimbo za mapambio kwa furaha kuu.dakika chache alikuwa kashavaa nguo za uraiani akiliangalia kwa mara ya mwisho lango la gereza lile.alokaa kwa muda mchache.sasa alikuwa huru.

kilikuwa ni kikao cha watu wa tatu ZUBERI,KIPARA,na MOURINE,
"Kwa habari nilizopata Mtu wetu kesho atakuwa huru kazi nzur sana binti kilichobaki ni utekelezaji wetu wa kumsainisha na atimaye kumuua kikatili" aliongea ZUBER kitu kilicho mfuraisha jini yule.
"atauwawa nyumbani kwake tutamvamia na kumaliza kazi"
"nina wazo ZUBER"
"OK nakusikiliza"
"kwa nini tusikodi watu wakafanya hii kazi?"
"usiwe mwoga kipara hii ni kazi ya siri lazima tuifanye kisiri aitajiki mtu yoyote"

****
JAMBAZI si mwalifu aliyekubuhu mwenye roho mbaya hapana ata mim au wewe ukitaka kuwa jambaz unaweza ni kitendo cha kumvamia mtu na kumwibia kwa kuficha sura au kuwa na sura yako kabisa.ZUBERI na KIPARA wakiwa kila mmoja na kofia aina ya bushori miwani nyeusi na koti refu kimuonekano walikuwa ni kama majambazi walokubuhu mikononi walikuwa na bastola ndogo zenye kiwambo cha kuzuia sauti.awakupata shida getini kwa kuwa akukuwa na mlinzi wakapanda juu ya ukuta na kuzama ndani awakupata pia shida kukijua chumba cha mwitaji wao VERGAN....

VERGAN usingizi ulimpaa bado alikuwa na bible yake akisoma maneno matakatifu kwa minajili ya kumuweka mbali zaidi jini yule mkorofi.mara ghafla akasikia kishindo akakipuuza pengine akidhani ni cha jirani mawazo yake akayarudisha katika kitabu kile.ubaya zaidi akuufunga mlango bali aliurudishia ghafla akaona bomba la bastola buti na koti ndefu mshangao ukamvaa ila alisha chelewa marafiki zake wale walimvamia na kuanza kumpiga...wakamtoa kimya kimya mpaka katika moja ya gari zake na safari ya kuelekea kwenye maporomoko ya guanjeni ikaanza.sehemu hiyo ilikuwa ni sehemu maalumu ya kutupia maiti ni sehemu ambayo hata ukimtesa mtu akiutoa ukelele mkubwa kiasi gani unaishia katika maporomoka yale.

katu VERGAN akuacha kusali MUNGU afanye muujiza! ama kweli rafiki yako wa leo ndo hadui yako wa kesho.

mara tabasamu likajijenga katika uso wake! bado akuwa tayar ku sighn karatasi zile kumbukumb ya alicho ambiwa na JINI HUSNAT kikamjia akakumbuka manuizi HUSNA aliyemfundisha ayanuie pindi akimuitaji akayanuia hayo hayo chini kwa chini moyo wake wa usaliti kwa jini yule alompenda ukimwenda mbio.

hali ya jini HUSNAT aikuwa nzuri kabisa mwili wote ulivimba alikuwa kajilaza kitandani ni mtu wa kulia tu akiadhibiwa mijeled na mtu asiyemjua.kupotea kwenda kwao akuweza alikuwa ni mateka maututi katika dunia ya walimwengu alowapenda

sababu aliijua ni kitendo cha VERGAN kumsomea somea bible na kumkemea kemea kwa jina la YESU..........

******
Hapo ndipo kwa mara ya kwanza mtu yule aliyekuwa akimchapa mijeledi akakoma.bado majonz yalitawala katik moyo wake kwa mara ya kwanza akapakumbuka kwao.moyo aukuacha kumwenda mbio

"eeh MUNGU mfalme wa ulimwengu kwanin unaniweka katika tanuri la adhabu kiasi hiki naomba unsamehe MUNGU wangu kama kupenda kwangu ni makosa...." VERGAN alijitaidi kuomba huku bado akiendelea kujikanda kwa mate yake.sasa kwa mara ya kwanza alianza kumchukia VERGAN.lakini ata hivyo chuki ile haikudumu baada ya kusikia kilio cha ampendaye.machungu yote aliyasahau ghafla akajigeuza na kuwa bonge la nyoka.

VERGAN bado alizidi kumsihi JINI HUSNAT aje amsaidie.aliuona mwisho wake mbele ya macho yake.taratibu tumaini la uponyaji lika anza kufifia akaishika peni tayari kwa kusaini akikubali kuyakabidhisha maisha yake kwa muumba wake.

wazo lile,kitendo kile cha kusaini kilifutika katika kichwa chake baada ya kusikia harufu ya manukato ya amdhaniaye
moyo wa furaha ukatawala dakika chache mbele akazuka nyoka mkubwa aina ya chatu katika maporomoko yale
KIPARA na ZUBER wakaanza kukimbia wakimwacha VERGAN pale chini katika maumivi makali
kila wakimbiapo wanasikia kicheko kikali na HUSNAT anawatokea huku akiwacheka anawapiga shoti kwa hasira na kuwamaliza.anamfata VERGAN aliyoko kwenye hali mbaya anaanza kumlamba lamba kwa ulimi wake na kuyaponesha majeraha yale yalouandama mwili wake.anayamaliza na maumivu yote.
"NAKUPENDA HUSNAT"
Kwa mara ya kwanza kwa uso wa tabasamu VERGAN akamwambia mpz wake yule.HUSNA akuwa na cha kujibu ghafla machozi yakaanza kutiririka katika mashavu yake:
"kwa nini umentesa VERGAN ?
"nimekutesa kivipi mpz?"
JINI HUSNAT akusema kitu akatanua mkono wake na kumuonesha jins alivyokuwa akimkemea naye hali ilivyokuwa mbaya
ama kweli mapenz ni utoto eti wote wakawa wakilia akuna wa kumbembeleza mwenzake VERGAN akilia hasamehewe
"nimeshakusamehe mpz wangu!"
"kwa hiyo situnaenda kwangu?"
VERGAN alioji kwa kwa tabasamu pana.
"aswaaa! mume wangu ukitakacho wewe".....

*******
Ni usiku tulivu!,hali ya hewa ikiwa ya kuridhisha!,ukimya ukiwa umetawala ni sauti za kitanda "kwacha! kwacha! kwacha! kwacha!" ni miguno ya kimahaba baina ya nafsi mbili zenye asili tofauti zilizoridhiana kuwa pamoja zilisikika.
walikonga nyoyo zao! walifurahi,dakika chache badaye walikuwa bafuni wakiogeshana.uko ni sauti ya maji na vicheko vya kimahaba vilisikika cha ajabu sasa:
JOHN VERGAN hata walipokuwa wakienda raundi katika sex stayli alijiona ana nguvu mara mbili.alijiona mwanaume wa shoka.mwanzo alikuwa anakwea mti kwa shida sana na akifanikiwa kufika juu ana angua dafu moja kwa haraka sana mtarimbo unazima kuwaka tena! mpaka kesho yake.alijaribu kwa madokta wa madokta tiba akuipata zaidi ya kumeza midawa.ila kwa msichana huyu tangu mara ya kwanza alipomchukua kwa kumpa lifti alimfikisha alipoitaji mtarimbo ulikuwa imara zaidi ya kawaida kwa kijana shababy.ilo lilibaki siri yake na kumuongezea upendo kwa binti yule.
wote walikuwa hoi wakiwa wamekumbatiana kwa mbali kausingizi kalianza kuwapitia.kaki umeza vimawazo vyao vya hapa na pale kuhusu mustakabali wa penzi lao.ghafla JINI HUSNAT anamwamsha VERGAN kisiri! anamnyooshea kidole katika pembe ya chumba kile!
VERGAN anamwona jirani yake mama mwantumu anayemuheshimu na baadh ya watu anaowafahamu kama wa nne wakicheza tena uchi wa mnyama.VERGAN anashindwa kustahimili anapiga kelele.wachawi wale wanatoweka.HUSNA akampiga kakibao cha mgongoni cha kimahaba!
"d! kwanini umepiga kelele?"
"kwani wale ni kina nani?"
"si wachawi walikuwa wakikuwangia."
"mh! yule mama?"
"unajua mimi nawashangaa sana nyinyi binadamu?"
"kwa nini mpz!"
"unajua sisi kule kwetu ujinini wachawi wapo!"
"mmmh!"
"siyo mmmh lakin si wakijinga jinga kama wa uku kwenu wa kule kwetu kuna matabaka mawili kuna tabaka la himaya ya vibwengo au himaya nyeusi na himaya yetu hiitwayo himaya ya jini MUKRAIYA.wachawi wa himaya ya jini WEUSI uvamia kwetu katika misheni mbalimbali katika maabara kuiba ugunduzi flani ulogunduliwa.
"kah!".

ITAENDELEA


CHANZO : BURE SERIES
 
SEHEMU YA TANO

"siyo mmmh lakin si wakijinga jinga kama wa uku kwenu wa kule kwetu kuna matabaka mawili kuna tabaka la himaya ya vibwengo au himaya nyeusi na himaya yetu hiitwayo himaya ya jini MUKRAIYA.wachawi wa himaya ya jini WEUSI uvamia kwetu katika misheni mbalimbali katika maabara kuiba ugunduzi flani ulogunduliwa.
"kah!".
.
**********
Majini hao nyie muwaitwao vibwengo wanaoishi katika himaya yenye giza jeusi utuma wachawi wao kuja kwetu wachawi wao uwanga kwa kuiba ugunduzi wa kisayansi tiba mbalimbali tulizogundua.ndo uchawi wa kwetu huo uchawi wa kuzidiana maharifa.kama viumbe weupe wa bara ulaya wafanyavyo tofauti na nyinyi...mrudishanao nyuma.
"basi mke wangu tulale...tutaendelea na story kesho."
wakakatisha mazungumzo wakakumbatiana na kuusaka usingizi ulowapitia kwa pamoja.

kwanza alianza kwa kupapasa mbele ya mikono yake akiazimia kumpapasa mtu! aka ambulia patupu...bado alikuwa amefumba macho akayalazimisha kufunguka nayo yakagoma.akashtuka kwa kujilazimisha.akata hayari milango ilikuwa imefungwa HUSNA akuwepo."ndo tatizo la kuishi na majini humu ndani wanaondoka bila taharifa."
alilaani VERGAN akajibwaga katika kitanda chake kabla mvurumuko wa simu yake ya kiganjani aijaita.naam akaikwapua na bila kuangalia aliyepiga akaweka maskion
"unasema maiti wamekutwa katika maporomoko?"
"ooh MY GOD ZUBER na kipara?"
"sawa! sawa naja saiv"

MOURINE moyo ulimwenda mbio,hasira chuki kwa VERGAN zikaongezeka! mbinu zake zote mbili zilishindikanika kwanza kumshawishi MOURINE halisi kuwa na VERGAN kimapenz ili HUSNAT asipate nafasi hiyo ilishindikanika pili kumwangamizi VERGAN pia ilishindikanika na tatu kuwatenganisha wawili wale pia ilikuwa ngumu akamkumbuka heshima ambayo angeipata kwao kama angefanikisha ili.wazo ili likapingana na lile akabaki katika mawazo yalo changanya ubongo wake.mwisho akapata jibu ni kucheza na akili za VERGAN kama JINI HUSNAT.wazo hilo akaliafiki.akatabasamu.majini kama majini wana muda wao na wana tofautiana ki uwezo.tayari alishaisoma ratiba ya JINI HUSNAT juu ya safari zake katika dunia.akautumia udhaifu huo kujifanya ni JINI HUSNAT...Kete yake ya kwanza aliirusha wakati VERGAN akipata chakula cha mchana na marafiki zake.MOURINE akiwa na sura ya JINI HUSNAT kAtika meza ya pembeni mwanaume shabibu alikaa pembeni yake wakilishana kimapenzi.mikao ya kimah

***********
Moyo wa VERGAN ukapasuka paaa! akutaka kabisa kuya amini macho yake! bumbuwazi likautawala uso wake akaweka kijiko cha chakula chini.akasimama wafanyakaz wake alokuwa anakula nao wakabaki wanamshangaa bosi wao bila kumwelewa.ilo yeye akulijali alitaka kuyadhibitishia macho yake kwa kile akionacho akazidi kujongea eneo lile alokwepo mpenz wake feki na hawara wake.jibu alilolipata likadhibitisha fikra zake baada ya macho yake na ya JINI HUSNAT kugongana.mwanadada yule akapata mshtuko ambao ni wa kufoji ulo tafsiriwa vingine na JOHN mshtuko ule wa JINI ZAIDATU au mourine au husnat wa bandia haukudumu akawa kawaida.JOHN akawafikia Wawili wale akiwa na uso wa hasira na ghadhabu
"unafanya nini hapa? na huyu ni nani?" VEGAN akauliza
"HUSNAT huyu ni nani?" kijana yule alokuwa na MOURINE akazidi kupigilia msumari wa moto katikati ya moyo wa VERGAN kwa kulitaja jina la HUSNA maksudi "sijui beby! ntamjuaje?" Mourine alijibu huku akiwa amemlalia yule jamaa kifuani.
"HUSNA! mi naondoka nashkuru sana...."
"babu weee tupishe katika starehe zetu!"
"husna! husna wakunifanyia hivi!"
"nakuomba tokaaaaa"
jini yule alipiga ukelele huku katika macho ya VERGAN akionekana kiumbe wa ajabu kitendo kilicho mfanya aanze kukimbia na kuparamia viti.akadondoka baadhi ya watu walimcheka wengine wakimsikitikia kwani kile alichokiona wenzake awakukiona akajipakia ndani ya gari lake na kuliondoa kwa speed huku akisindikizwa na vicheko....wafanyakazi wake wakabaki katika hali ya simtofahamu.MOURINE alifrah baada ya kumaliza kula akaelekea chooni na kutoweka akitokea kazini kama MOURINE

kama ni kazi akuweza kuendelea kuzifanya moyo ulimuuma alijuta kumpa nafasi jini yule alomsaliti ukiona mtu mzima analia basi ujue kuna jambo JOHN VERGAN alilia mapenzi yalimliza.akachukua mkonga wa simu na kupiga namba kadhaa "naomba nletee bia!"
ili kupunguza mawazo akanywa bia na kulewa chakari kila MOURINE alipoingia kumpelekea chupa alizidi kumuona yule binti ni mrembo akaitaji kingine......

******

Hisia kali za mapenzi ziliuvuta moyo wa VERGAN! na kuitaji kingine kwa Moureen.aliitaji penzi lake...

Moureen naye alizidisha hisia zile za kijana wa watu! alitaka kujua hasimu wake yule "JINI HUSNAT" alifaidika na nini kwa binadamu yule...kile alichokipata jin mwenzake naye aliitaji kukipata.

je kingearibu kazi yake?
kazi ya hatari lakini yenye heshima katika maisha yake?
kazi ilomtoa ujinini na kumleta duniani kuifanya kwa umakini ulotukuka?

akatabasamu baada ya kugundua kwamba ata kama angempa penz binadamu yule asingeiaribu kaz yake!
kwanza akuwa na mpz hata ujinini kwao useme kwamba angekuwa kamsaliti...
wakati akiwaza ayo akasikia akiitwa.akujiuliza akachukua chupa ya bia na kuingia nayo.akamsogelea bosi wake na kumwekea mikono katika miguu yake huku akiwa kachuchumaa
"bosi una matatizo gani leo? mbona si kawaida yako?"
"maisha yenyewe mafupi nachen mi nile ujana,kujirusha kila wikendi nakula ujana!..."
baada ya kujibu VERGAN akaanza kuimba.huku akiupeleka mdomo wake katika mdomo wa Moureen.mdada yule akaupokea dakika chache badaye wakazama katika mapenzi kule kule ofisini..,.
-....-....-.....-
Moureen alinogewa na penzi la VERGAN alijilaumu moyoni mwake kwa kitendo cha kutaka kumuua kijana mtamu namna ile...alionja asali alitaka achongeshe mzinga....alijua kwa vyovyote vile kijana yule ni haki yake kutokana na sababu alizozijua yeye zilizomkosesha JINI HUSNAT nafasi ya kuwa na kijana yule.kwa fikra zake yakinifu lakini.alitamani kumuua HUSNAT ila ilo lilipingana na kazi yake.akala kiapo kitakatifu! kiapo cha kumtawala mwanaume yule....katika himaya ya mahaba yake....... Kwa upande wa VERGAN kama maranda yateketeavyo katika moto moyo wake uliteketea kwa binti MOUREEN,ni binti alompenda ata kabla ajakutana na HUSNA akajipa tumaini.penzi lake lilikuwa tamu zaidi ya ata la HUSNA...ghafla moyo wake ukanyongonyea baada ya kukumbuka machungu ya usaliti alosalitiwa na jini yule./.sidhani kama atakuja tena kwangu/...
Zuberi Musa Maruma's photo.

*********

UPANDE WA PILI WA SHILINGI

NJE YA TUFE LA DUNIA

Kilikuwa ni kiumbe kilichokaa juu ya mnyama mfano wa farasi,farasi yule alokuwa na mabawa pia mwenye speed zaidi ya upepo,kiumbe yule alokb juu ya mnyama mkononi alishika upanga ulowaka waka nywele zake ndefu zilipepea kukinziana na upepo wa eneo lile.awakuwa kwenye kasi ya kawaida! huyo kiumbe alikuwa ni JINI HUSNAT katika moja ya safari zake zakuelekea katika sayari ya marz walokuwepo viumbe wenye asili kama yao lakini wenye nguvu zaidi yao.lengo la kwenda kule ni kuitaji idhini ya kumpa nguvu za kijini mpz wake VERGAN ili akienda nae ujinini asipate tabu.moyo ulimuuma kuondoka bila kumuaga mpz wak yule lakini akuwa na budi ilikuwa ni safari ngumu ambayo ilimlazimu kupoteza mawasiliano na duniani na ujinini.nafas hiyo ndiyo MOURINE aloitumia kumuadaa kijana yule na kumuweka katika himaya yake.

usiku na mchana ndani ya wiki moja akiwa katika faras wake alikata mbuga mara chache akiingia katika ardhi ilotokota moto yenye shaba na joto kali ilimlazimu wapae hewani.jini husnat alikuwa ni kiumbe mwenye hasira za karibu kwa viumbe walojitokeza mbele ya macho yake kwa lengo la kuizuia safar yake aliviteketeza kwa upanga wake damu yao akiifanya ndo chakula katika safari ile alotegemea kuchukua wiki moja.atimaye ndani ya siku tatu na nusu aliifikia sayar ile na kupokelewa kwa shangwe na viumbe wale.akafikishwa mpaka kwa babu zake.
baada ya salamu za hapa na pale story na vionjo vya vyakula akaeleza shida yake.babu yake alimsikitikia sana
"mziwanda wangu nshakukataza mara ngapi kuwa na binadamu?"
"siwezi muu nampenda sana yule nsaidie babu nkamwongezee nguvu nataka nkamtambulishe nyumbani!"
"achana na binadamu olewa na jini mwenzako!"
"hapana babu muu cwezi nampenda mbona wewe ulimuoa binadamu?"
ghafla babu muu akanyongonyea ni kweli yeye kabla awaja amia huku aliwah kumuoa binadamu enzi za ujana wake miaka elfu na kitu ambaye alishakufa siku nyingi sana.ndo akamuoa jini mwenzake ambaye ndo bibi yake HUSN

*******
Babu muu alikumbuka mbali sana! ila kwa mjukuu wake huyu alimsikitikia! sana.akainua kiganja cha mkono wake
"hivi unajua kinachoendelea duniani saivi kwa mpz wako?"
jini HUSNAT akatingisha kichwa kukataa kutokujua kilichoendelea duniani akiwa na shauku la kujua kulikoni macho akiyakaza katika kiganja cha babu yule.ghafla kiganja kile kikaanza kumuonesha VERGAN akiwa na MOUREEN katika matokeo mbalimbali kama wapenzi,moyo wa HUSNA ulimpasuka.na bila kuaga aliondoka kwa speed kali aki hema kwa hasira baadh ya majini walijaribu kumzuia bila mafanikio hasira zilimzidi akuitaji tena kuongezewa nguvu alichoitaji ni kufika duniani na kumwangamiza tu Mourine.

ITAENDELEA

CHANZO : BURE SERIES
 
SEHEMU YA SITA


DUNIANI

Kama mapenzi ni ukichaa wao sasa walikuwa ni machizi katika ofis ya secretary VERGAN aliketi akimchombeza mpenz wake yule.ghafla upepo mkali ulivuma na vitu vikaanza kurushwa rushwa madirisha yakajifunga na milango pia...tayari MOUREEN alishajua huo ni ujio wa HUSNAT ivyo akawa tayari kwa kukimbia alipoufikia mlango ukajifunga na kutupwa mpaka katika meza ile....akanyanyuliwa kidogo na kimbunga kilichoingia mule ndani kimaajabu na kubwagwa chini jini ZAIDATU akukubali kwa spidi kali akajinyanyua mkononi akiwa na upanga.VERGAN akashtushwa kwa ilo lakini akukuwa na muda wa kutafakari yalokuwa yakitokea jini HUSNAT Alikuwa katikati ya kimbunga kile akiunguruma kwa hasira.waka angaliana ana kwa ana na zaidatu.
"naomba niambie wewe ni jini wa wapi? na kwa nini uingie kwenye himaya yangu?"
HUSNA alimuuliza jini mwenzake uku akiwa kamgandisha na upanga wake....
"sema kabla sijakutenganisha kichwa!" HUSNA alizidi kusisitiza
"mimi natoka katika himaya yetu ya MUKRAIYA"
"Nini?" HUSNA akuamini kama jini yule anatoka nyumbani kwao.
"nawe umetumwa?" akaendelea kumuuliza huku akiwa kamkaba
"nd..i..io"
"unasema? ina maana umetumwa na mshenzi ZULUWALADI?"
"NDiyooo usiniuwe shoga..."
"utansamehe shetani mkubwa wewe!"
akampulizia moto uloanza kumteketeza kisha wote 3 WAKATOWEKA.....

HUSNAT Alikuwa katikati ya kimbunga kile akiunguruma kwa hasira.waka angaliana ana kwa ana na zaidatu.
"naomba niambie wewe ni jini wa wapi? na kwa nini uingie kwenye himaya yangu?"
HUSNA alimuuliza jini mwenzake uku akiwa kamgandisha na upanga wake....
"sema kabla sijakutenganisha kichwa!" HUSNA alizidi kusisitiza
"mimi natoka katika himaya yetu ya MUKRAIYA"
"Nini?" HUSNA akuamini kama jini yule anatoka nyumbani kwao.
"nawe umetumwa?" akaendelea kumuuliza huku akiwa kamkaba
"nd..i..io"
"unasema? ina maana umetumwa na mshenzi ZULUWALADI?"
"NDiyooo usiniuwe shoga..."
"utansamehe shetani mkubwa wewe!"
akampulizia moto uloanza kumteketeza kisha wote 3 WAKATOWEKA.....

*********
CHINI YA BAHARI

HIMAYA YA JINI MUKRAIYA

Kulikuwa na mabishano makali! kati ya mtoto kipenzi! mtoto pekee wa jini mkuu MUKRAIYAH aliyeitwa ZULUWALAD na baba yake jini mukraiyah
"baba siwezi kuishi bila yeye baba lazima nimfate duniani nampenda sana JINI HUSNAT..." aliongea ZULUWALAD kwa hisia machozi yakitoka kila kingo za macho yake baba yake ambaye ndo mfalme akaufungua mdomo wake kwa sauti ndogo ya kushawishi
"mwanangu! nishakwambia ilo swala tuachie sisi mimi kama baba yako na mama yako malkia SUMAIYAH tuta akikisha HUSNAT anakuwa wako!"
"aswaaa mme wangu! na jambo zuri zaidi kijakazi tulomtuma dunia jini ZAIDATU akamwangamize yule binadamu wake tumewasiliana naye anaendelea na kazi vizuri na ameshamteka kimapenz kijana yule.sasa akasema bora awe naye kwa kuwa HUSNA atakuwa kasalitiwa lazima arudi huku awe na mwenetu."
ZULUWALAD kusikia hivyo aka achia kicheko ishara ya furaha.
"na je ikiwa mipango yote ikagoma pengine ZAIDAT aka uwawa itakuwaje?" ZULU akaoji...
"ZAIDAT ni msichana tunayemwamini na kama ikitokea akashindwa angetoa taharifa lakin mama yako kasema amewasiliana naye na mambo yapo fresh...."
wakati MFALME MUKRAIYA akiendelea kuongea ghafla kijakazi mleta taharifa akaingia huku akiwa ana hema.akafungua mdomo kusema maneno yalovunja mioyo ya wanafamilia wote
"mfalme! habar nlotumwa nkufikishie ni kwamba JINI HUSNAT na binadamu wake pamoja na mwili uso na uhai wa jini ZAIDATU wamerudi himayani"
"nini?" watatu wale wakauliza kwa pamoja wakitegemea jibu lingebadilishwa tofauti na mategemeo yao walipewa majibu yaleyale.
"naitaji walinzi wawili muende popote mtakapo waona waletwe mbele ya macho yangu haraka!"
"sawa mfalme." kijana yule akatoweka.na kuwa acha wahusika wakiwa katika dhamira ya majonzi makuu.
-.....-......-......-
katika nyumba hii kulitawala majonzi! aikuwa ni nyumba ya kifahari ila ni nyumba ya kawaida mama mwenye nyumba ile kwa mara ya pili sasa akiongeza sauti yake kidogo akauliza swali lile lile

**********
mama HUSNAT akiwa na uso wa majonzi alimwangalia mme wake na kurudia swali lake lile kwa mara ya pili "mme wangu siku zinazidi kukatika bila mwanetu HUSNA kurudi nyumbani toka akimbilie duniani! unafanya jitihada gan tumpate mwanet....."
"shataaaaaap!" akakatishwa na sauti kali iloambatana na radi! eneo lote likazizima.mama HUSNA akazid kunyongonyea akimwacha mwanaume yule kuendelea kufoka.kibabe
"nimesha sema HUSNAT si mwanangu kakataa kuolewa na jini mwenzake? tena mtoto wa mfalme MUKRAIYA linaenda kupendana na lijibinadamu sijui! sasa kwanzia sasa simtambui na sitaki kusikia habari za HUSNA katika kizazi changu! ndo nimesem....."
kabla ajamalizia JINI HUSNAT,VERGAN,na jini ZAIDATU akiwa mweusi tii kutokana na kombora alilopigwa wakatokea maeneo yale.VERGAN alikuwa ana fahamu,JINI HUSNAT hasira zilikuwa zimempanda,akiwa kaushikilia upanga wake ulowakawaka mkononi akikoroma kama simba,urembo wote ulitoweka alikuwa akitisha,meno yalochongoka,kucha ndefu zenye ncha mwili wake ulijengeka kimazoezi.hakuwa yule binti mrembo mwenye uzuri wa kiindi alowatoa udenda wanaume wamwangaliaye! huyu alikuwa ni HUSNAT mwingine.akainama ishara ya kutoa heshima wakati huo huo akimtupia jicho la kumtaadharisha baba yake juu ya alichokuwa akifikiria.mzee yule akanywea alimjua vizur mwanae akiwa katka hali ile
"baba,mama huyu anithi,fedhuli jini ZULUWALAD anantafuta nini lakini? anatuma vibaraka zake kunchezea nao wanaingia hadi kwenye moyo wangu....."
hasira za uchungu zikamzidi akaanza kulia akiendelea kumwadhibu maiti ya MOURINE kwa kuicharanga charanga na kucha zake kama vile mwili ule una uhai.
"nipo tayari nifukuzwe IMAYANI lakini si kumpoteza VERGAN hata babu muu nimemwambia nampenda sana huyu kiumbe akuna wa kututenganisha nay....."
"NYAMAZZZAAAAA!!!"
Baba HUSNA akapayuka wote wakakaa kimya kwa dakika chache kupunguza hasira katika mioyo yao mikono ya HUSNA na mdomo wake ulikuwa ukitetema kwa hasira upanga wake ukiwa mkononi
tayari kwa chochote mdaa wowote.

********
"NYAMAZAAA!!!"
Wote wakakaa kimya kila mtu akihema kwa hasira! hasira kuu!,mdomo wa jini HUSNAT ulimtetema kwa hasira zilizokidhiri! upanga unaowaka waka ukiwa mkononi! kabla baba akaendelea kuongea vibaraka watatu walotumwa na mfalme MUKRAIYA wakatokea......
kwa uwepesi wa ajabu JINI HUSNAT akaurusha upanga wake kule kwa adui alokuwa anamfata VERGAN na wakati huo huo naye akiruka kwa yule mtu wa pili alokuwa akimwendea akampokea kwa ugoko wa sehemu za siri kibaraka yule akatoa kilio cha maumivu kilichopokewa na yule kibaraka mwingine alotembelewa na upanga ulokifyeka kichwa chake.kichwa kile kikadondoka chini na upanga ukarudi mkononi mwa JINI HUSNAT kwa maajabu kichwa kile kilichokuwa pale chini mara kikapata uhai na kupaa kumfata yule alokatwa alokuwa chini akigugumia kwa maumivu.kichwa kile kikarudi katika muunganiko wake pale shingoni.na ghafla kijana yule akawa kama awali.haya yote yalitendeka kwa wepesi wa ajabu ndani ya sekunde za kibinadamu.yule kibaraka aliyepigwa sehemu za siri huku akiwa na tabasamu la dharau usoni akamnyooshea HUSNA mkono short za umeme zilizoambatana na makombora vikaanza kutoka! na kumwendea HUSNAT aliyekuwa na kazi ya kuzikinga kwa mikono yake.baada ya jambo ilo kushindikanika vibaraka wote watatu wakaunganisha kwa maajabu nguvu pamoja na kuanza kutupa makombora ambayo JINI HUSNAT alishindwa kuyazuia yakamlevya na kumdondosha.akapoteza fahamu hakika yalikuwa ni majonzi katika familia ya jini husnat aliye na uchungu na mwana ni mama ni kweli.mama HUSNA alilia lakini aikusaidia miili ile mitatu ikatoweka ikielelea nyumbani kwa mfalme MUKRAIYAH

RAHA ya MAPENZI ni pale upendo unapopatikana pande mbili
ZULUWALAD mtoto wa jini mkuu alitokea kumpenda sana JINI HUSNAT ila moyo wake hukuwa na nafasi kwa binti yule alotoka kwenye familia ya umasikini wa kutupwa.ZULUWALAD alikuwa ni kijana mzuri ambaye alijaliwa umbo mukhtari kwa kila kiumbe kimwangaliacho wajihi wa umbo lake lilimpelelea
wanawake mbalimbali(majini) kumpend

*******

Raha ya mapenzi ni pale upendo unapokuwa pande mbili,ZULUWALAD mtoto wa jini mkuu MUKRAIYAH alitokea kumpenda sana JINI HUSNAT ila mrembo yule katu akuwa na upendo kwa prinsi yule.
JINI HUSNAT alitoka katika familia yenye umasikini wa kutupwa.
zuluwalad alikuwa ni kijana mzuri! ambaye alijaliwa umbo muhtari! kwa kila kiumbe kimwangaliacho wajihi wa umbo lake matata! lilipelekea wanawake mbalimbali kumpenda ila moyo wake ulitweka na HUSNA tu! jini yule wa kiume akuruhusiwa kutoka nje ya himaya ya baba yake kuofia kudhuriwa na maadui,na hata kama pale ikitokea akitembea baadh ya maeneo ndani ya himaya ile alikuwa katika ulinzi mkali!.kitendo icho kilimkosesha amani! ila alikula nadhiri ya kumpata JINI HUSNAT kwa namna yeyote ile ndipo alipomwita jini ZAIDATU msichana wao wa kazi aliyeaminiwa kazi ya kwenda duniani na kuchunguza nyendo za jini husnat! zaidatu akawasili duniani na kuutumia mwili wa MOURINE na kuangukia kwenye penzi la binadamu yule kabla ajafumwa na jini husnat na kuambulia kuangamizwa kikatili! na msichana yule mpole mwenye hasira za karibu(JINI HUSNAT)

Ni wakati kikao kile cha watatu wale ambao ni MFALME MUKRAIYA,MALKIA SUMAIYAH,na MTOTO WAO ZULUWALAD kikiendelea ghafla vibaraka wale watatu ambao ni DENASI.OBISHI na ZINDUNA wakatokea! hapo hapo jini husnat,vergan na mourine au jini zaidatu nao wakatokea! vergan na jin husna wakiwa wamefungwa kamba madhubuti mikononi na miguuni! Zuluwalad kwa mshtuko!! na mshangao!!! machozi yakimtoka akamrukia husna na kumwagia mvua ya mabusu zulu kwa husna alikuwa ni kichaa.hama kweli mapenz ni uchizi kwa zuluwalad ili lilidhibitika wazaz wake walimwangalia kwa huruma
"Husnat amka mpz wangu...amka husna,HUSNAAAAAA!"
ZULUWALAD akaita kwa ukelele mkali ardhi yote ikatetema,nuru ikatoweka....
"nani kamuua mpz wangu?!"
zuluwalad akauliza mda huo huo akanyoosha mkono wake upanga ukatua akaushikilia vizuri na kujongea kwa vibaraka wale watatu walokuwa wakitetemeka.kwa khofu mioyo yao ikiwapeleka mpwe

******

Mioyo yao ikaanza kwenda mpwetapweta! "nauliza tena nani kamuua mpz wangu? nliwatuma mkamuue?!"
bado ZULU aliuliza hasira zikiwa zimekijaza kifua chake macho akayanatisha kwa ZINDUNA.ambaye huku akitetemeka akajitutumua na kuufungua mdomo wake "yaah mtukufu wa himaya hii tusamehe sisi vijakaz wako husna ajafa! ajafa prinsi kazimia tu!"
"la! kama ni kweli msemacho mfungueni haraka mumpeleka chumba cha matibabu! akifa mpz wangu mtaisoma namba! akuna hata mmoja ntakayemwacha mzima"
vijakazi wale wakainama ishara ya heshima na haraka wakambeba husna na kutoweka naye.wakati wote mfalme MUKRAIYAH na malkia sumaiyah awakuwa na cha kusema walimpenda sana mtoto wao.baada ya zuluwalad naye kutoweka khusni labda alielekea hospitalini au laa! katika eneo lile wakabaki mme na mke yani mfalme na malkia wake wakiangaliana.yamkini mfalme alikuwa mbali kimawazo akashtuka na kuhema kwa nguvu! malkia wake sumaiya akimwangalia ishara ya kumuuliza kiendeleacho?! macho yake yakatua katika miili ilobaki pale ndipo akaukumbuka wadhifa wake! kama kichwa cha familia! mke wake alisubiria aambiwe na mme wake kipi kifanyike kwa sauti ya upole jini MUKRAIYAH akamwambia mke wake....

ITAENDELEA

CHANZO : BURE SERIES
 
SEHEMU YA SABA

katika eneo lile wakabaki mme na mke yani mfalme na malkia wake wakiangaliana.yamkini mfalme alikuwa mbali kimawazo akashtuka na kuhema kwa nguvu! malkia wake sumaiya akimwangalia ishara ya kumuuliza kiendeleacho?! macho yake yakatua katika miili ilobaki pale ndipo akaukumbuka wadhifa wake! kama kichwa cha familia! mke wake alisubiria aambiwe na mme wake kipi kifanyike kwa sauti ya upole jini MUKRAIYAH akamwambia mke wake....
"mke wangu ita vijimweni au vijakazi kama si watumwa!"
"rabeyka mme wangu!" sumaiyah akaitika mukraiyah akaendelea
"wambebe JINI ZAIDATU arudishwe kwao akazikwe ki heshima mi ntaongea sababu ya kifo chake!" akaweka kituoa tena ili maneno yake yapatwe kusikilizwa kwa makini na akusudiwaye
"swadakta mme wangu!" sumaiyah akaitika! mumewe akaendelea
"huyu binadamu afungiwe gereza la mashetani bundi vichwa vikubwa wamtese wasimuuwe mpaka mwanetu atoe idhini auwawe au arudishwe duniani yeye ndo chanzo ya hivi vyote!"
"sawa mme wangu!"
"fanya kama nilivyokwambia wacha mi nikapumzike sijisikii vizuri"
baada ya mfalme MUKRAIYAH kutoa kazi akatoweka! SUMAIYAH akapiga kofi moja wadada wazuri wakatokea
"ubebeni huo mwili upelekeni unapostaili ipeni familia pole waambie mfalme atazungumza juu ya kifo chake!..."

******
JINI SUMAIYAH akapiga tena kofi wakatokea viumbe wa kutisha sana,viumbe hao walokuwa na pembe vichwani mwao na miba miba katika miili yao,maskio makubwa na chongo! katika macho yao,kila mmoja alikuwa na jicho moja katikati ya paji la uso,jicho lililokuwa na mwanga mkali! miguu yao ilikuwa na kwato kama za mbuzi meno yao yalikuwa marefu yalochongoka na kucha ndefu zenye ncha kali! mikono ya kila mmoja ilibeba rungu lililozungukwa na miiba akika walitisha jina lao hao viumbe waliitwa guantanamo jina hili ndilo lililotumika katika gereza kubwa la mateso nchini marekani asili yake lilitokana na mateso ya watu hawa.asili ya majini wenyewe waliogopa kupelekwa guant je kwa binadamu itakuwaje?
midomoni mwao walifoka moshi! wakatoa ishara adhimu ya salamu!
"yah malkayi kuntum dainna kanna" (ewe malkia tumeitika wito) waliongea kwa lugha asrafu ya kijini!
"naimma lau binaghadamu zantaa guantanamu mulkah mlayna aswaakrau bil kanafat dau" (mchukueni binadamu mpelekeni guanatanamo mpeni mateso ya uhai)
bila kujibu kitu wakamvamia JOHN vergan uchu ukionekana katika mioyo yao wakatoweka nae.
-....-.....-....-
NJE YA WODI

JINI ZULUWALAD akuweza kukaa kukakalika,mara akae,mara asimame,mara atembee,mara achuchumae,mara aufate mlango nakutaka kuingia subra ikionekana kumpiga mkono mara arudi! ili mradi utulivu ulikosekana moyoni mwake! mara mlango ukafunguliwa daktara kwa mwendo wa haraka akachepuka.zulu akamzuia kwa kumkwida kola la koti lake la kidaktarari daktari akapigwa na butwaaa!
"naambie mpz wangu anaendeleaje?" kiubabe zaidi zulu akaoji akiusoma woga wa waziwazi kwa daktari yule
"noup prinsi mkeo anaendelea vizuri unaweza kwenda kumuona sasa"
ZULU akaachia tabasamu la matumaini,akamuachia daktar yule nadhifu aliyejiweka vizuri kula yake na kwelekea alipokuwa anaelekea
jini zulu akaingia wodini alipolazwa mpz wake katu akuweza kuyazuia machozi kumtoka🙁MACHOZI YA DAMU)
MAPENZI ni mateso ni wazi zulu yalimtesa! akapiga magoti

Jini ZULUWALAD akapiga magoti! alishindwa kuyazuia machozi kumtoka,machozi yaliyokinifu udhaifu wake kwa binti yule,machozi ya damu ishara ya maumivu katika moyo wake akaifumbata mikono yake miwili katika mikono ya kipenzi cha moyo wake jini HUSNAT akatoa sauti ndogo,sauti ya upole,sauti ya unyenyekevu sauti ya kubembeleza kwenda kwa binti yule kiadhi ambao hata robo awakulingana.
"pole sana husnat wangu! malkia wa moyo wangu nisamehe mimi....!"
kabla ajaendelea akakatishwa na sauti aloisikia kwa mbali,sauti ambayo ilikuwa ni kama ala laini ya mziki wa taratibu ubembelezao katika masikio yake.sauti hii leo ilikuwa ni kaa la moto lililopigwa katikati ya moyo wake na kuacha jeraha lisilofutika ni pale husnat alipomjibu:
"naomba niache ZULUWALAD sikupendi!,niache kwa nini walazimisha mapenzi? niache kwanza VERGAN wangu yuko wapi?"
mapenzi ni maumivu pindi hisia mbili zikishindwa kushabihana zulu alijihisi kachomwa na mkuki wenye ncha kali katikati ya moyo wake.yule aliyempenda akumpenda!,na wale asiyewapenda walijipendekeza kwake mapenzi ndivyo yalivyo: akuweza kuizuia mvua ya machozi kumwagika.kwa majini lilikuwa ni kosa kwa mtoto wa mfalme kutoa chozi mbele ya mwanamke mapenzi yana nguvu aya angalii wasifu,nyadhifa wala umaridadi wa mtu taratibu kijana yule kwa unyonge akajinyanyua na kuondoka eneo lile moyo ukimuuma.....ila hasira kwa binadamu kizuizi kwa husnat kikaongezeka akaweka nadhiri ya kumwangamiza vergan ili husnat akaki kuwa wake....wake peke yake.
-....-....-....-
GUANTANAMO
Vergan akiwa kafungwa ndani ya chumba hiki fahamu zikamrejea! alishtushwa na sehemu aliyokuwepo macho yaka ambaa kutazama mandhari ya kuogofya alokutana nayo.giza katika chumba kile kikayazoea macho yake.akaitaji angalau mwanga afifu.pua zilichoka harufu ya mwozo wa asichokijua,masikio yalisikia mwitiko wa viumbe kama nyuki au nzi akuweza kugundua ni viumbe gani!
"BINADAMU KARIBU KATIKA UTAWALA MPYA"
Ghafala akashtushwa na sauti kali kama radi iloambatana na tetemek

********

sauti ile ikasababisha tetemeko la ardhi! ardhi ikamegeka na kuacha kaupenyo kalichombana VERGAN maumivu makali yakatambaa katika mwili wake! vicheko mbalimbali vikiyasumbua masikio yake! wakati akaendelea kubanwa na vicheko vya dhihaka vikimcheka katika masikio yake akahisi maumivu makali ya kichwa mtu akipiga ngoma katika kichwa chake.hakika jumla ya maumivu aliyoyapata akuwah kufikiri kama yapo katika dunia hii.mdomo ulikuwa kama umebanwa na supaglu katu akuweza kuufumbua kuwasilisha kilio chake kwa maombi! mawazo yalitekwa na kile afanyiwacho.baada ya dakika kadhaa za mateso yale.vyote vikakoma.ghafla mwanga mwekundu ukatawala! mh! salale kutawala kwa mwanga ule lilikuwa ni jambo lingine la mateso kwake kwani wadudu wale alowafananisha na nzi au nyuki wakamvamia walikuwa mfano wa nge wapeperukao walimngata kila mahali usoni,tumboni...vergan akaanza kuembea kwa kutivuta kupepesuka huku akiwa bado kajikinga usoni na wadudu wale wa ajabu! juu ya paa damu zilidondoka na kumwagikia,akujua zinatokana na nini aliendelea kujisogeza mbele ndani ya chumba kile bila mwelekeo maalumu akuona mbele kwa kuziba macho yake ghafla akapamia kitu.wadudu wale wakatoteka!
"mbona tunagongana kaka?"
akashtushwa na sauti! akapata shauku la kutaka kumjua mmiliki wa sauti ile akatoa mikono usoni MUNGU WANGU alichokutana nacho kilimfosi kuzimia lakini akuzimia kichwa chenye chongo katika kisogo,pembe mbili katika kichwa kile jicho moja lililoleta nuru ile nyekundu katika chumba kile meno marefu ulimi kama wa kinyonga haloutoa toa nje kucha ndefu katika mkono mmoja alokuwa nao mkono huo ulozungukwa na miiba na kushkilia kitu mfano wa mnyororo wa baiskeli ulowakawaka alikuwa na mguu mmoja wenye kucha ndefu! pamoja na vyote mwili wake ulikuwa umeoza ukitembelewa na mafinyofinyo! mdomoni kila ulimi ulipotoka nje alifoka moshi! wakati VERGAN akiendelea kumtadhmini kiumbe yule ambaye akujua kama ni jini,shetani,au pepo kiumbe yule akaanza kumsogelea kwa kurukaruka

"nadhani! (nadhani! nadhani!) ujanijua! etie (nijua! nijua etiee)" kiumbe kile kiliongea kwa sauti ya mwangwi huku kikiushikilia mnyororo wake vizuri
"obishi ndo jina langu! kiumbe katili ewe binadamu unajua kupendwa etie?"
vergan akujibu kitu alitetemeka! akuweza kusogea eneo lile alilokwepo.alikuwa kama kagandishwa na gundi.ghafla obishi akageuka na kuwa nyoka mkubwa aina ya chatu akimfata kwa spidi vergan alijaribu kupiga kelele sauti aikutoka,akuwezaa hata kujitingisha nyoka yule akamfikia na kujiviringisha kwake akaanza kumbana maumivu makali yakasambaa katika mwili wake ghafla akamdunga sumu kali ikaanza kutambaa katika mwili wa kijana yule mguu taratibu ukaanza kuwa mweusi! nuru usoni ikaanza kutoweka! giza kutawala na atimaye akapoteza fahamu! obishi nyoka! akamwelekeza mdomoni vergan na hatimaye akamdumbukiza katika mdomo wake mkubwa na kummeza!.

JINI HUSNAT alikonda kwa mawazo! hakupata taharifa yoyote juu ya aliyopo mpz wake! aliwekewa ulinzi maalumu
shamra shamra na maandalizi ya harusi ya mtoto wa mfalme ZULUWALAD yalipamba moto! na hatimaye kwa kasi ya ajabu HUSNAT akawa gumzo kwa kila kiumbe.mama yake akuacha kumtembelea na kumweleza juu ya mateso ayapatayo VERGAN
"sijui kama atapona mpz wangu mamaa chanzo ni mimi!"
"usiseme hivyo mwanangu utazoea tu! ishu ni tumuombee MUNGU asiteswe na OBISHI CHATU maana akimmeza ndo atutomwona tena."
neno ilo likazidi kumuumiza HUSNA machozi yakatawala katika kingo za macho yake akapanua mkono wake akanuia maneno kadhaa taswira ya guantanamo ikajijenga katika kiganja cha mkono wake.akashtuka baada ya kumuona vergan akiwa kabanwa na chatu obishi na atimaye kummeza.husnat akaangua kilio alijua uo ndo mwisho wa vergan! alilia alimlilia mpz wake! mtu au kiumbe kilichomezwa na chatu yule uwa akikurudi! ilo lilitambulika na wanajini wote.ivyo husnat alikuwa kampoteza rasmi vergan wake! aliomboleza akaweka nadhiri ya kulipiza kisasi! kwa kuanza na obishi...kiumbe kisicho onekana kilichommeza mpz wake..

******
Hakika uchungu wa mapenz umpata apendaye! uchungu huo ulimuathiri sana HUSNAT! kitendo cha kugundua kuwa kamezwa na obishi asiyeonekana kilimfadhaisha sana! alilia! lakin kilio icho akikufuta majonzi yalomuathiri! ZULUWALAD alijitaidi kuwa naye karibu nakumfariji! kiafya hali yake ilitengemaa.
"sasa ni wakati muafaka wa kufanya nnachotakiwa kufanya ntakuwa mnyonge mpaka lini!?"
aliwaza jini husnat.tayar alishapata jibu! akatabasamu na tumaini jipya likajengeka usoni mwake!
"lazima nikuangamize obishi!"
akaweka kiapo kwa mara nyingine tena.....
-....-....-....-....-
kesho yake aliamka mwingi wa furaha ata ZULU alipokuja kumtembelea.alimpokea kwa bashasha kumbatio na mabusu mfululizo mwili wa kijana yule wa kijini ukasisimka AKUAMINI
"Maandalizi ya harusi yetu yanaendeleaje mpz?"
lilikuwa ni swali lililomwacha njia panda zulu.alitetemeka kwa kutokuamini kabla ajajibu akapeleka kidole chake jichoni ilhali akihisi pengine alikuwa ndotoni.ulikuwa ni ukweli mtupu akuweza kukizuia kicheko.kicheko cha furaha.hatimaye zulu anaenda kuwa mke wake kamili lilibaki kuwa bumbuwazi lililobumbukia katika fikra zake
"nop wa moyo wangu maandaliz yanaendelea vzr!"
"waoooh nataman siku zikimbie nami niwe mke wa mtu malkia mtarajiwa wa himaya ya zuluwalad nakupenda mume wang mtaraji...."
aliongea husnat kichwa chake akiwa kakilaza katika miguu ya zulu

upande wa pili jini OBISHI alipomaliza kummeza VERGAN akarudi katika umbo lake la kijini! ni wazi alikuwa kashamuamisha vergan toka GUANTANAMO mpaka kuzimu! kambi kuu ya mashetani makao makuu ya mateso kwa viumbe viovu.

ITAENDELEA

CHANZO : BURE SERIES
 
SEHEMU YA NANE


KUZIMU
Alishtuka! toka katika usingizi wa mauti akuweza kujitambua kama yu mzima au maiti! akaangaza macho yake eneo alilokuwepo asalalee akatahamaki! kumbe alikuwa amezingirwa na viumbe wa ajabu viumbe walokuwa na mafuvu tu na mapembe vimiguu njiti! mifupa! vipingili ya mifupa vilionekana midomoni mwao walikuwa na damu wakambeba juu juu huku wakipiga kelele akujua wanampeleka wapi!

viumbe wale toxic wasio na nyama! wakiwa wamembeba vergan juu juu.kijana yule alilia kilio kilichoonekana kuwa kero kwa toxic wale! nao wakawa wakipiga kelele zilizomeza kelele za kwake! kwakuwa alibebwa juu juu akujua anapopitishwa ila kule alipokuwa anapelekwa alihisi joto likiwa linaongezeka kila walipopiga hatua kusogea mbele ilifikia khali akahisi kama anachomwa kwa joto lile yan ni kama jua kali lakini akukuwa na jua! maajabu! ghafla akabagwa chini puuu! MUNGU wangu! moto mkali ndio ulokuwa mbele yake.moto wa njano...viumbe wale waliruka ruka kufurahia wakionacho ndani ya moto ule kulikuwa na mijitu yenye mguu mmoja jicho moja mkono mmoja ikiwa imevaa minguo mirefu myekundu.mkononi imeshika mijeledi ya moto ikiwa bize na kuwachapa viumbe.yah! viumbe kama yeye watu! walokuwa wakilia...naye alikuwa anaelekea huko.naye vergan alikuwa anaelekea motoni!...ina mahana...no i cant beleve it..machozi yakamtoka akamkumbuka baba yake mzee chilo akamkumbuka mama yake bi mwenda.walikuwa wanamtegemea sana! mawazo hayo yakakatishwa baada ya kubebwa juu juu na toxic tayari kutupiwa katika moto wa jahanamu.huku viumbe watesao wakimsubiria kwa hamu......
-....-.....-......-
Shamra shamra vifijo nderemo zilitawala! bwana alikuwa amepata bibi! bibi alikuwa amepata bwana! wanawake wazuri! ninaposema wazuri nama anisha wazuri walikwepo kuudhuria ndoa hii.wao waliyoihita takatifu.jini husnat alikuwa kapendeza! mrembo alorembeka,...ilikuwa ni ndoa ya historia ujinini wageni walikuwa wengi wakishughudia tukio ilo adhimu! ghafla tabasamu la jini husnat likatoweka! bila shaka alikumbuka kitu! bila tafkhiri alimkumbuka kivutio cha moyo wake JOHN VERGAN!
"ina mahana! kwele leo...! no hapana siwezi..." aliwaza akipingana na akili yake
"siwezi! siwezi! siwezi kumsaliti VERGAN wangu! liwalo na liwe." mawazo yalibadilika aliamua na akiamua ameamua! utofauti wake haraka sana uligunduliwa na mumewe mtarajia zuluwalad
"una nini mke wangu mbona umekosa raha?"

Akutaka kumjibu kitu mwanaume yule kila alipozidi kumwangalia hasira zilizidi mara mbili!

"kama ngwai acha iwe ngwai mi naondoka!" akajiwazia na muda huo huo akanyanyua mguu wake kabla ajapiga hatua akasikia sauti ikimnongoneza tena kwa ukali! nsauti aliyeieshimu!
"unataka kufanya nin HUSNAT? hakuna kiumbe kilichowah kuleta aibu katika koo yetu iweje wewe binti izayya usiye na adabu wala heshima mpumbavu wewe!"
sauti ile ilimnyongonyesha! akapigwa na butwaa.ilikuwa ni sauti ya babu yake MUU,mzee aliyoko katika sayari ya marz.ikabidi afute ujeuri wake! kwani bado aliitaji msaada mkubwa sana kwa MUU hususani cha kuongezewa nguvu kitendo cha kutomtii ni wazi angejivika majivu ya moto katika uso wake.kuiparamia vita asiyo na uwezo nayo.akanongona
"nsamehe babu mapenz! yanauchakaza moyo wangu!"
"najua uwazacho mjukuu wangu izzadan fil kudain fanya kila kitu kwa mpango."
"sawa babu nakupenda babu yangu"
"thawa babu nakupenda bab yangu ndo utake kutuaibisha?"
"hapana muu wangu si yameisha?"
"kama yameisha basi mgeukie mume wako kwa tabasamu muktahiya mkumbatie kimahaba binadamu wanasema mpeti peti...."
"mh babu!"
"fanya hivyo..."
wakati jini husnat akiwa anawasiliana ki digitali na babu yake muu akuna alojua kinachoendelea wengi walimwona akiwa kimya ilhali pengine walichukulia anasikiliza mawaidha au wosia wa afungishaye ndoa kipindi babu yake akimwambia amkumbatie mwanaume wake naye mfungisha ndoa ndiyo alosema maneno yale yakapokelew vema na masikio ya jini yule akamvamia mume wake na kumkumbatia kwa mahabat mazito fikra kichwani kwake akizijenga kuwa kamkumbatia mume wake VERGAN.ndoa ikapita husnat akawa mke halali wa ZULUWALAD kilichofatia ni kula kunywa na kusaza.mke na mume wakaruhusiwa wakapumzike.....

TOXIC wakamnyanyua juujuu VERGAN wakaanza kuesabu ile ndo wanataka kumtupa wakapokelewa na sauti ya walomwita mungu wao.pengine ni mungu wa nafsi zao na mungu wa nafsi zote chafu! aliyeuaribu ulimwengu kwa kumuadaa eva/hawa kulila tunda
***
Sauti tukufu masikioni mwao,sauti ya shetani mkuu aliyelaaniwa akalaanika LUSIFAR.
"TOXIC mnataka mfanyeje? mwacheni huyo binadamu ajafa duniani."
toxic wote wakaduwaa! wakaangaliana kwa mshangao.
"kama ajafa amefikaje humu?" toxic mmoja akaoji!
"ni stori ndefu ila haya ni makosa ya obishi! akaletwe obishi ateswe kafanya kosa kubwa sana huyo binadamu mleteni kwangu kwani anakipawa naitaji tufanye naye agano sawa?" losifar alizidi kuagiza!
"sawa mungu wa miungu!" viumbe vile vilizidi kumkufuru MUNGU muumba kwa kumlinganisha.ni kosa kubwa sana walofanya ambalo binafsi wao awakulijua
dakika chache walikuwa katika jumba la kifalme jumba lililotengenezwa na madini pekee.akika vergan akuwahi kuona nyumba nzur kama hiyo.naam akafikishwa mbele ya shetani mkuu lusifar.ndugu wasomaji kuna vitu viwili tofauti ambavyo watu wengi awajavijua kuna shetani na wafuasi wake ikiwepo mapepo vinavyoishi KUZIMU na duniani pia uishi katika vyoo,katika miti,misituni n.k mashetani,na mapepo vyote ni viumbe viovu na lengo lao ni kuiadaa dunia na kuakikisha wanapata wafuasi wa kutosha watakaoingia nao katika moto wa jehannamu.moto mkali uloandaliwa na MUNGU muumba ardhi na mbingu,moto huo ni tofauti na moto ule tulouona wa kuzimu uloandaliwa na lusifar akimuiga MUNGU kwa kuwaadhibu watu wanaoenda kinyume na yeye.na MAJINI ni viumbe wengine waishao chini ya bahari! viumbe hawa ni tofauti na mashetani kabisa wao kuna wema wanaomtwii MUNGU na wako waovu wema wataiona pepo na waovu watauona moto.majini wanapenda na wanamapungufu yao.walichotuzidi sisi ni uwezo wao walojaliwa na MUNGU ingawa kuna binadamu wenye uwezo zaidi yao wachache wakiwemo waganga,masheghe,masharif,mapadri,wachungaji n.k

"Tumegundua una kipaji! cha biashara na ushawishi kwa watu ivyo una bahati kubwa sana kufika huku na kuokoka sisi tutakurudisha duniani ukiwa tajiri mkubwa ila kubali kujiunga na dini yetu ya WAJENZI HURU (FREE MASON) ukitakadili mi ndo MUNGU je upo tayari?"
lusifar akamwacha vegan ajibu..

******

JOHN VERGAN bado alikuwa katika bumbuwazi la wazi wazi wajenzi huru yeye alisadiki kuwasikia tu! tena katika midomo ya watu! akupata kuisi siku moja angeitajika naye awe mfuasi huru.ALITAITIKA! akataitika! baada ya lusifa kumuona yupo kimya akaendelea....
"tunakupa mda masaa 48 utafakari ili! ndani ya masaa hayo tutakutembeza katika maeneo mbalimbali humu kuzimu uone sawa?"
vergan akajikuta anatingishwa kichwa kuafiki!
"huyu anaitwa fidodido nadhani mara nyinyi sana mnamtumia kama katuni huko duniani kwenu kiumbe hiki kipo na leo ndo kitakutembeza maeneo mbalimbali katika ulimwengu wangu huu...."
fidodido akaibuka alikuwa ni kiumbe mwenye nywele saba! usoni alivaa miwani ya shaba! akaachia tabasamu pana!
"nifate!"
akamwambia VERGAN ambaye naye alimtwii bila shurti akuwa na kipingamizi chochote
lilikuwa eneo lililokuwa na joto la kupindukia! joto ilo lilitokana na mioto mikali ya rangi tofauti tofauti.
moto wa kwanza kuutembelea ulikuwa ni ule alonusurika kutupwa.ghafla akawa na shauku! shauku kuu la kujua baadhi ya mambo akashindwa kuuzuia mdomo wake kutokuuliza.akauliza swali.swali lililotegemewa na fido kuulizwa!
"hawa binadamu wamekosa nini mpaka wanateswa hivi?"
fido! akatabasamu,kinywa kilikuwa wazi akukuwa na jino hata moja! si jino tu hata ulimi akuumbiwa nao huyu kiumbe! maajabu! sijui aliwezaje kuongea.....
"viumbe hawa ni watakatifu! walokataa kujiunga na dini takatifu ya frimason baada ya kuonekana wana vigezo! wengi wao ni mapadri! masheghe na baadh ya binadamu wamuogopaye MUUMBA..."
mwili wa vergan ukatetemeka woga ukamtawala yamkini naye baada ya siku mbili kama angekaza msimamo wake naye angekuwa miongoni mwao.
"kwanini MUNGU amewaacha viumbe wake wateseke namna hii kwa nin? ajawapa nusra? ya wokovu!" swali hili likakivamia kichwa chake kama wazo kuu.wazo ili likanyakwa na fido naye akalijibu swadakta!
"wengi waliomo humu wananguvu za MUUMBA sasa walipokuwa duniani walikuwa wakiwasema vibaya friimason lusifar aliwatumia watu"

*******

@ "wengi wa walioko huku duniani walikuwa waki ikashifu dini ya freemason!,wakiandaa mikanda ya video na kutupinga vikali japo tuliwatuma wajumbe kuwaonya awakusikia! walitegemea nguv za MUUMBA! na MUUMBA ni mwingi wa mitihani hii ni moja wapo ya mtihani wake kwao! kuingia peponi (paradiso) si mchezo sheghe wangu lazima ukutani na vikwazo vikali kule uwezi ingia hivi hivi...."
VERGAN akataharuki maneno ya fido yakamuingia vyema naye alimtambua MUNGU? kah! wakatoka eneo lile ambalo alipata kuwaona watu alowafahamu walokuwa wakiitangaza vibaya dini hiyo duniani katika membari za misikiti na mahekalu ya makanisa.ilosemekana wamekufa wengine kwa magonjwa wengine ajali n.k

moto mwingine waloutembelea ulikuwa ni wa rangi nyekundu huu aliushangaa sana.alipata kuwaona wasanii maarufu wa filamu na muziki waloiwakilisha vyema nchi yake kimataifa!
"hawa nao?"
"hawa nao walikula agano mfano yule msanii wa muvi alivuma sanaa akajulikana lakini alipoambiwa amtoe mama yake sadaka akakataa ndipo tukamchukua na kumleta humu kwa jeuri yake! yule mwingine aliitaji miaka ishirini ya mafanikio na kula bata kama muitavyo duniani baada ya miaka yake ya awali 20 kuisha inayobakia anakuja malizia huku ivyo ndo ilivyo"
MAKUBWA! tafakuru la mawazo ya mshangao yakajijenga katika pande la uso wake! wasanii wakubwa karibia wote alowajua walikwemo kule kumbe awakufa kwa mapenzi ya MUNGU? ALLAH! okoa kizazi chako.
wakapiga hatua watu walikuwa uchi wazee vikongwe kwa vijana
"kah na hawa? fido"
tayari vergan alishamzoea kiumbe yule fidodido
"hawa ni wanga wamezoea kula nyama za wenzao wachawi wenzao zamu yao imefika awana cha kutoa wengine asahasa vile vibibi vimetoa watoto wao wote muda wao nao ukafika! wengine ndo walotolewa kafara ndo kana ivyo dogo"

ITAENDELEA


CHANZO : BURE SERIES
 
SEHEMU YA TISA

MAKUBWA! tafakuru la mawazo ya mshangao yakajijenga katika pande la uso wake! wasanii wakubwa karibia wote alowajua walikwemo kule kumbe awakufa kwa mapenzi ya MUNGU? ALLAH! okoa kizazi chako.
wakapiga hatua watu walikuwa uchi wazee vikongwe kwa vijana
"kah na hawa? fido"
tayari vergan alishamzoea kiumbe yule fidodido
"hawa ni wanga wamezoea kula nyama za wenzao wachawi wenzao zamu yao imefika awana cha kutoa wengine asahasa vile vibibi vimetoa watoto wao wote muda wao nao ukafika! wengine ndo walotolewa kafara ndo kana ivyo dogo"
sasa VERGAN alikuwa kachoka mwili na roho aliitaji kupumzika.fidodido akalitambua hilo.tutazunguka tena badaye saivi ukaoge upate mlo upumzike..umechoka sasa
"naam swadakta"
akajibu vergan kwa tabasamu pana.Itaendelea usiku.....

******
wakajongea kwa mwendo wa taratibu kuondoka katika eneo lile,eneo la mateso kwa viumbe jamii yake viumbe vilivyosadikika vimekufa kwa mapenz ya MUNGU!
Wakaelekea katika lango kuu la chuma lililonakshiwa kwa dhahabu tupu walipolifikia lango lile likajifungua lenyewe wakapita likajifunga ndani walikutana na mazingira tofauti na walipotokea! kwanzia khali ya hewa,mandhari,
"bado tupo kuzimu kweli?"
swali likamponyoka kuuliza,swali ambalo akuliandaa kabisa katika serikali ya kichwa chake! fido akatabasamu akujibu swali ilo wakaelekea katika nyumba moja ya ghorofa isiyo na mwisho kuelekea juu wakaingia katika lifti fido akabonyeza namba kadhaa za kirumi lifti ikaanza kupanda juu dakika chache ikafika ilipoitajika mlango ukafunguka! MAAJABU! wakatokea katika ukumbi mkubwa ulotawala watu wa asili tofauti tofauti waarabu,wazungu,wataliano wakicheza miziki ipigwao duniani,miziki ya watu maharufu ambao baadh yao walikuwa wakichomeka! kitendo cha kuingia tu msichana mrembo alovaa kimini,matiti yote yalikuwa nje akamfata vergan!
"nipo kwa ajili yako je unani itaji?"
vergan akamtupia jicho fido! fido yeye alitabasamu tu!
"chukua mzigo huo"
nafsi ilimsihi.macho yake yakadondokea kidoleni! PETE,
JINI HUSNAT,kwa mara ya kwanza toka amezwe na OBISHI na kusafirishwa kuletwa katika ulimwengu wa maaswi KUZIMU akamkumbuka jini yule! faraja ikatoweka moyoni mwake,mshangao ukageuka na kuwa simanzi! dada yule akamlalia kifuani mkono wake akiuingiza katika sehemu nyeti zilizokwisha simama.mazingira ya ndani mule ayakuvutia kabisa ilikuwa baadh wanacheza mziki,wengine wanafanya mapenz adharani akuna alokuwa na habari na mwenzake!
"samahani dada naomba niache!"
dada yule akapigwa na butwaa akamuacha,
"tuondoke maeneo haya fido."
fido akatii wakaifata ngazi na kupanda kuelekea juu katika ukumbi ambao watu walikuwa wamepumzika.wakatafuta sehemu wakakaa
"najua kinachokuumiza best! ni juu ya jini wako siyo?"
VERGAN akapigwa na butwaa.

"pEndo la moyo wako! ila pole vergan HUSNAT sasa ni mke wa mtu?"
"what? hapana fidodido unataka kunambia nin? siyo husnat wangu! aiwezekani! haiwezekani aiwezekan fido husnat akubali kuolewa! vip kiapo tulichokula wakati tukiwa dunian kabla ajanipa hii pete? eti leo aolewe kama uwez kaa na mim katika ukanda huu wa kuzimu ruksa kuondoka na kuniacha mwenyew..."
"common vergan listen my frandy sit down kwanza punguza munkari nipe maskio yako upasw kuamaki mpak watu wanatwangalia? unageuka burudani kwa wapumzikao!"
"aijalishi fido! ila ukwel uwez nambia husnat...yah kipenz changu jini husnat kaolewa"
"VERGAN!..." fido akaita! vergan akamtumbulia macho ishara ya kumsikiliza!
"uwezi pindisha ukweli kuwa uwongo nevar happen! pokea ukwel japo mchungu! husnat ajakusaliti kaolewa kwa sababu maalumu!"
"sababu maalumu? ipi hiyo?"
"ni juu ya kisas kwa OBISHI! yule nyoka alokumeza!" kwa mara ya kwanza kumbukumbu za vergan zikaanza kutiririka kama maji yatiririkayo kutoka bombani.akakumbuka akiwa kakamatwa kisawasawa na nyoka yule mpaka akapoteza fahamu! baada ya hapo ikawaje? akukumbuka! naam fido akayasoma mawazo yale akamjibu!
"akakumeza na kukusafirisha mpaka huku kuzimu akakutema nje ya lango la ujinini ukapokelewa na toxic walojua tayar u maiti ulokufa duniani wakawa tayar kukuwaisha katika moto ndipo father mkuu alipokuokoa"
vergan akawa kashaelewa kila kitu! ila fido akazidi kumwelewesha! "ujinini kule majini wanajua ukimezwa na nyoka yule ni lazima uwe umekufa! hivyo hata husnat wako anajua obishi kausika na mauaji yako na obishi aonekani kwa nguv za kawaida! lengo la husnat kuolewa ni aongezewe nguvu kama malkia wa zuluwalad nguv zitakazo mwezesha kukutana na obishi ana kwa ana na kumwangamiza papo hapo"
"ooohpsss!!!"
vergan akaachia mwayo mkubwa! alichoka!
"naitaji kuongea na husna kumtaarifu kuwa bado nipo hai!"
"wazo zuri JOHN but utamchanganya hali ya ujinini bado si shwari yupo katika uangalizi wa babu yake muu ajuaye kila awazacho take time".....

******

MAUMIVU ya kusalitiwa tena mshtuko wa kushtukiziwa unauma inakuwa ni sawa na kuchomwa na kitu chenye ncha kali katikati ya moyo! moyo wa VERGAN uliraruliwa na fido! akutaka kusikia la muwadhin wala la mnadi swala! yeye alichoitaji ni kuwasiliana na HUSNAT tu! alishindwa kabisa kuyazuia maji mepesi yalotoka katika kingo za macho yake na kulowanisha mashavu yake.vergan alilia.alililia penzi la jini! akaukumbuka utamu aloupata! wakati wakiwa pamoja,utani walofanyiana! kilio kile kikabadilika na kuzaa kwikwi! ghafla akanyanyuka fido akajaribu kumzuia lakini alishachelewa akauendea mlango ulokuwa mbele ya macho yake mlango ukafunguka JOHN akapita mlango ukajifunga.ndani akapokelewa na chumba kipana chenye kila aina ya uzuri ndan yake! akaenda kujibwaga katika kitanda.akaiangalia ile pete kwa hasira akaivua! pete ikagoma "HUSNA, HUSNA!,HUSNAT nakuita ewe kiumbe msaliti amka kwa nin umenfanyia hivyo nimekukosea nini? umeolewa etieee! na jini mwenzako si ndiyo? nakuitaji mbele ya macho yangu husna njoooo njoooo njoooo nakusubir HUSNA"
GHAFLA mtetemeko ukaanza,ulianza taratibu ukamtupa huku na kule ukampigiza katika ukuta
"HUSNAAAAAAAA"
Akapiga ukelele,akijaribu kuzuia kupandishwa juu akujua anapopelekwa! mikono akainyanyua juu,sauti ya vicheko vikimkejeli katika masikio yake.akujua tayari MUU alishafanya yake.yeye ndo alikuwa kikwazo.aliitaji amuondoe haraka kuzimu kuiokoa ndoa ya mjukuu wake HUSNAT na sasa alikuwa angani akisafiri kwa spidi kali kuelekea katika sayari ya marz.

HIMAYA YA JINI ZULUWALAD

Ulikuwa ndo usiku wa kwanza, kwa wachumba hawa kuwa pamoja,husnat alikuwa mwingi wa furaha alimwangalia mume wake kwa jicho lililolegea ashki za kufanya tendo la ndoa likampanda ZULU akamvamia husna,naye bibie akampa ushirikiano wakawa wamekumbatiana kabla awajandondoshana katika kitanda kipana."HUSNA kwa nini umensaliti!? kosa gani hasa nlokufanyia vipi ahadi tuloahidiana HUSNA HUSNA HUSNAAAAA"
Ghafla sauti ya vergan ikayavamia masikio yake.
*********
Sauti ile ya malalamiko iliingia mpaka katikat ya moyo wake!,kwa kasi ya ajabu akajirusha kutoka kitandani mpaka katikati ya pembe,alishaiona hatari ilokuwa mbele ya mpz wake! jini zulu akiwa na mshangao akajiandaa kumfata HUSNAT,kumzuia,jini yule akamwona mumewe kama kikwazo kwake! akamwangalia kwa macho ya hasira na kumnyooshea mkono wake! shoti kali za umeme zikamtoka na kumvamia ZULU akadondoka na kutulia tuli
"HUSNAT umeua?"
aliisikia sauti ya babu yake muu! akaipuuza! muu kosa alilofanya nikuelekezea nguvu zake zote kwa VERGAN bila kukumbuka hatari ilokuwepo pale HUSNAT atakaposikia sauti ya kipenz chake na hata pale alipokumbuka alikuwa tayari kashachelewa.zuu aligeuka maiti! KIZAAZAA,....

JINI HUSNAT akiwa juu ya farasi wake aendaye kwa kasi! aelea hewani mkononi kashika upanga unaomeremeta bado ghadhabu zilimuandama,hasira hizo zilimkosesha umakini na kujikuta akiwa katikati ya walinzi wa himaya yao.vita vikali vikatokea! jini husnat mbele ya majemedari makamanda watano akashindwa kujitetea nguvu zikamwisha.atimaye akasamli amri! akaweka katika nyavu tayari alikuwa ni muuaji akuthaminika tena katika himaya ya ujinini tena

vivyo hivyo hata kwa JOHN VERGAN babu muu baada ya kuona mjukuu wake tayar kakamatwa akuwa na sababu tena ya kumshikilia binadamu yule! majemedari wale wakamtia mkonon vergan na kumuambatanisha na jini husnat kuwarudisha ujinini kwa HUKUMU

Hakika taharifa aloipata jini mkuu MUKRAIYAH juu ya kuuwawa kwa mwanaye kikatili na JINI HUSNAT kilimfadhaisha sana
"naitaji wawe mbele yangu hapa sasa ivi?"
MUKRAIYAH akatoa amri,makamanda wale wakatoweka! malkia sumaiya kila mara alipoteza fahamu kwa mfadhaiko aloupata,wanajamii wa himaya ya ZULUWALADI na MUKRAHIYA wote walisikitika,zulu alikuwa ni jini mpole,msheshi mwenye kusaidia wenye matatizo mbalimbali,kila mtu alikuwa na hasira na JINI HUSNAT na VERGAN.ni wazi wangetafunwa wazimawazima.amani katika himaya ya zulu ilitoweka.majini waso na subira waliwavamia wazazi wa HUSNA

*****

Majini wale wenye wahka uvumilivu uliwashinda! wakawateka wazazi wa HUSNAT na kuwaweka pamoja wakawafunga na minyororo! katikati ya tanuri la moto! awakuwa na kosa nani alilitambua ilo? walizomewa wakapigwa mawe! majini walikuwa ni wengi katika uwanja mkubwa wakishuhudia kusambaratishwa kwa familia ya jini HUSNAT.

dakika chache badae jini HUSNAT na VERGAN waliwasilishwa wakiwa katika nyavu zenye matundu madogo madogo,kelele,na hasira zikazuka! uwanja ule mkubwa ulozungukwa na viumbe vilivyotisha,vikatili,vilianza kwa kuwanyanganya nguvu zote za asili! kwa wausika wote isipokuwa vergan yeye akuwa na nguvu za kijini.sasa awakuwa na uwezo wowote wa kujikinga na dhahama ilokuwa ikiwanyemelea kwa kasi ya ajabu WALIKUWA HATARINI.

Alikuwa ni jini mwenye sura mbaya pengine kuliko kiumbe chochote katika asili ile ya ujinini pembe mbili zenye ncha kali,mweusi tii zaidi ya mkaa macho yake yalowaka zaidi ya tochi,maskio kama ya ngurue kitovu kilichochongoka meno marefu kucha zake ndefu na miguuni alikuwa na kwato alikuwa na manyoya mengi katika mwili wake mkononi alishika upanga mkali ulowakawaka,alikuwa ni JINI MAUTI jini mwenye idhini ya kutoa uhai wa kiumbe chenye asili kama yake,jini asiye na huruma mkorofi na mwenye uchu katika kuuondoa uhai wa kiumbe hai chenye asili kama yake.yeye ndo alokabidhiwa rungu la kuwatoa uhai familia hiyo na kuifuta katika ramani ya ujinini akasimama na kuusogelea mwili wa baba yake HUSNAT na kunyanyua panga lake majini wote wakapiga kelele kushangilia.husnat na wenzake wakafunga macho walipofumbua waliachia kilio kikali cha uchungu!
mwili wa baba yake ulikuwa chini huku mkononi jini mtoa roho yule akiwa kashikilia kichwa cha baba yake akikitafuna kwa uchu! moyo ulimuuma akashindwa kuyazuia machozi kumdondoka.hata vergan huruma ilimjaa katikati ya kifua chake.wote walilia.ilikuwa ni furaha kwa majini wote walojaa katika kiwanja kile.baada ya kumaliza kuutafuna mwili ule jini maiti akausogelea mwili wa mama yake kipenzi....

Jini mauti yule akiwa kaushikilia upanga wake akaendelea kujongea taratibu mahali alipofumbwa mama yake HUSNA,uchu wa kula nyama za mama yule ukiwa umemvaa akaunyanyua upanga juu tayari kuushusha katikati ya shingo ya mama yule.

wakati jini maiti akijongea viumbe vyote vilikuwa makini kushughudia kinachoenda kutokea! ghafla jemedari wa ulinzi akaenda kumnongoneza kitu mfalme MUKRAHIYA,mfalme akashtuka akanyoosha mkono juu kuzuia kuuwawa kwa mama yule "kuna jambo la dharura limetokea ulinz uimarishwe tunavamia walinzi kaeni tayari kwa chochote!" mfalme alitoa taharifa ulinzi ukaimarishwa eneo lile ghafla mvua ya moto ikaanza kunyesha! watu wakatupwa huku na huko ardhi ikamomonyoka na kuwabeba baadh ya viumbe waloathiriwa na tetemeko lile! mvua ile ya moto yenye damu ndani yake ikazidi maradufu!...ghafla ikagoma,hali ya utulivu ikarejea.mvua ile waloweza kuizuia baada ya kuacha iliacha maafa makubwa ya raia.chanzo chake akikujulikana.wakati utafiti wa maafa yake ukiendelea ghafla kikazuka kimbuka kikali! kimbunga kilicho kuwa na nguvu ambayo si ya kawaida,jini mukraiyah akakinyooshea kimbunga kile fimbo yake huku akizungumza lugha asiyoielewa kimbunga kile kikajiunda umbo la kiumbe! mbabu mwenye ndevu nyeupe.babu muu.mwokozi alobakia katika familia ya jini HUSNAT!
"Amuwezi teketeza kizazi changu nami nkakaa kmya MUKRAHIYA!"
"ha! ha! ha! we shetwan mwenye nguvu za kuiba ulokimbia kujificha marz! leo umerudi nakwangamiza kwa mikono yangu!"
"uwezi ibilisi! nakwangamiza kwa mateso makali!"
alijitapa muu! na hapo hapo akaachia kombora la ghafla,Mukrahiya aliyoliona vyema akalikwepa na kuachia lake ambalo lilimpata vyema MUU! akapepesuka,kitendo kilichopelekea mukrahiya kutabasamu kwa dharau.muu akatema moto ulomezwa na mukrahiya mukrahiya akaivuta fimbo yake na kumchapa nayo muu.muu akaachia yowe la uchungu,nguvu zake zilikuwa ni ndogo sana kulinganishwa na MUKRAHIYA. akamchapa alivyotaka.muu akalegea mukrahiya akamsogelea tayari kwa kummaliza.............

*********

Akiwa kashika fimbo yake ya kifalme ambayo sasa iligeuka na kuwa upanga kwa mwendo wa taratibu bila haraka akajongea kusogea eneo alilokuwepo MUU.Mdomoni akiachia tabasamu la dharau.MUU alimwangalia kwa macho ya huruma yamkini akiwasilisha ujumbe aurumiwe! ila MUKRAHIYA alipuuza! watu walipiga kelele ishara ya kushangilia! jini mukrahiya alimfikia muu na kunyanyua upanga wake juu alipoushusha uliondoka na uhai wa jini yule alobaki tumaini! katika kizazi kile kidogo! akainyonya damu yake kwa kuifyonza! huku akiungamua utamu kwa kukitingisha kichwa chake taratibu!
"hudumu utawala wa mukrahiya"
"hudumu,udumu,udumu milele na milele!"
"sasa wakati naendelea kula nyama tamu ya huyu swaiba wangu MUU sasa ni mrudishie uwanja jini maiti aendelee kunyofoa uwah wa viumbe hawa! jini HUSNAT awe wa mwisho akishuhudia vifo vya vipenz vyake."
JINI mukrahiya alitoa maelezo yakinifu yalopokewa kwa vifijo.jini maiti akajongea eneo la tukio na kuondoka na uhai wa mama yake HUSNAT mwili wake akaukata kata mapanga na kuupiga shoti kwa nia ya kuugeuza mlo mara eneo lile likatawaliwa na harufu ya nyama ya kuchoma akawa anakata mapande ya minofu na kuwatupia walokuwa wanashughudia tukio lile nao wakawa wakiigombania nyama ile! huku kinywaji ikiwa ni damu mbichi ya maiti zile.Sasa HUSNAT akulia tena,machozi yalikata,uchungu uliushambulia moyo wake mdogo! babu yake MUU,baba yake,mama yake wote walikuwa maiti kwa ajili yake! kwa ajili ya penzi la binadamu ambaye naye anaelekea kufa! akamwangalia VERGAN ambaye aliona mtetemeko wa wazi.alikuwa akitetemeka huku akiwa kaachia haja zote kubwa na ndogo.kilio cha kwikwi kikisikika kwake.
"chanzo cha matatizo yote ni huyo binadamu atauwawa kwa kukatwa kiungo kimoja kimoja! yeye ndo kaja kuuchafua mji huu.kama si yeye HUSNAT asingemuua mwanangu nawachukia binadamu jini maiti anza kukata kidole kimoja kimoja ukimaliza vyote kata mguu paja kiuno na kichwa."
JINI MUKRAHIYA akiwa anamwangalia VERGAN kwa jicho kali akatoa maelekezo.....

*********

Majini wale wenye hasira! bado waliendelea kupaza sauti! kuarakishwa kwa hukumu ya kifo kwa wapenzi wale wawili! JINI HUSNAT na JOHN VERGAN!,wahka!,jazba vilimpanda jini maiti yule alihisi kitendo cha kumkata kiungo kimoja kimoja binadamu yule angechelewa kuitafuna nyama yake ilokuwa ikipendwa sana na viumbe wale.akaunyanyua upanga wake na kumsogelea VERGA,muda wote husna alikuwa akilia huku akiomba msamaha akijutia kwa alichokitenda.alijiesabia tayari yeye ni mfu mwenye mda mchache wa maumivu! alifumba macho pindi jini maiti aliponyanyua upanga juu ili asishughudie kichwa cha mpenzi wake kikitenganishwa na kiwiliwili.
JINI MAITI kwa nguvu zake zote akaushusha upanga kuelekea shingoni kwa vergan....ghafla akalakiwa na sura yake mwenyewe! yani sura ya vergan ilitoweka na sura ya jini maiti ikaonekana.yani akawa anajiona.HATARI! akaisi kitendo cha kujikata angejiua mwenyewe AKASITISHA ZOEZI LILE huku akiwa kahamaki kwa mshangao wa alichokiona,bumbuwazi likauvaa uso wake macho yake akayapeleka kwa jini HUSNAT alokuwa kaiweka mikono yake miwili usoni kutokushughudia tendo lile.liumizalo moyo.shingo yake akairudisha kwa VERGAN alikuwa ni vergan naye akishangaa kutokujua kulikoni! jini maiti akazidi kupigwa na butwaa! jini HUSNAT alifumbua macho akitegemea kuiona maiti ya mpz wake naye akapigwa na butwaa baada ya kumuona jini maiti akiwa kamtumbulia vergan macho ya mshangao! si jini husnat pekee alokumbwa na mfadhaiko ule hata umati ule ulibaki ukimshangaa jini yule mwenye roho mbaya kwa kitendo cha kusitisha zoezi lile,minongono ya chini kwa chini ikaanza! jini maiti kwa mara nyingine akaunyanyua upanga wake alipotaka kuushusha hali ikawa ni ileile....VERGAN alibadilika na kuivaa sura yake
"ni ni ni kinachoendelea hapa?" jini maiti akajiuliza akakata shauri liwalo na liwe kama ni kujiuwa na iwe.akafumba macho yake makali kama taa na kuushusha kwa nguvu upanga ule kuelekea kichwani kwa VERGAN...,.kwa nia dhabiti ya kuuondoa uhai wake bila kujali maajab

*******

JINI maiti akakata shauri liwalo na liwe! akayafumba macho yake makali na kuushusha kwa nguvu upanga ule...akakata hewani.wakati kabla ajafumba macho alilenga sawia shingo ya kijana yule akafumbua macho yake! asalaleee! watuhumiwa wake awakwepo! mashuhuda wote midomo wazi,tayari jini HUSNAT na VERGAN walishatoweka katika mazingira ya kutatanisha!!!
NGUVU gani zinazotumika hapa? zilizojuu ya nguvu zao? akuna alojua! kimuyemuye kikazuka! tafakuru makelele yakazuka! yamkini akuna aliyetambua nani yupo nyuma ya mchezo ule! walipoangalia kuzimu apakuusika,sasa tatizo? mganga mkuu wa himaya ile akaitwa akapanda kilingeni kwa mbwembwe alikuwa ni jitu nene jeupe lenye kichwa cha ngurue tumbo kubwa manyoya ya kutosha kucha ndefu na meno yalochongoka nje! baada ya kufanya vimbwanga akatoka na jibu lililo waacha hoi majini wote
"WAPO DUNIANI! BINADAMU WABAYA WAMENUNUA VITA!"
"tutapambana nao kufa na kupona hawana nguvu kutushinda sisi"
"hidumu himaya hii"
"hidumu! hidumu! hidumuuu!"
vijakazi walinzi watatu wakatumwa duniani.mchezo ndo ulikuwa unaanza.....
-....-....-....-
NDANI YA ULIMWENGU WA DUNIA

Ilikuwa ni nyumba moja ya kifahari sebuleni mwa nyumba hiyo waliketi watu watatu! mzee wa makamo ambaye kichwa chake kilitawaliwa na mvi zilizo meremeta,usoni alivaa miwani na mwilini alivaa nguo za gharama,huyu aliitwa MZEE VERGAN CHILO maarafu kama mzee CHILO baba yake VERGAN,pembeni yake aliketi mwanamama wa makamo alovaa gauni la kitenge lililonakshiwa na mapambo ya kuvutia alikuwa ni mama alojaliwa macho mazuri na unene ulopitiliza huyu alikuwa ni MAMA VERGAN,na watatu alikuwa ni msichana mrembo mwenye umbo namba nane macho malegevu,dimpoz katika mashavu yake huyu alikuwa ni JASMINI mfanyakazi wa ndani nyumbani kwa JOHN VERGAN.Wazazi hao walikuwa wakimsikiliza kwa makini binti yule mzee CHILO akauliza swali kwa mshtuko
"umesema wiki nzima VERGAN ajaja nyumbani?"
JASMIN huku akiwa anatetemeka akatingishwa kichwa ishara ya kukubali...

********
Mzee CHILO na mke wake wakatazamana kwa mshangao!!
"mke wangu ulishaongea na huyo mtoto siku za karibuni?"
mama VERGAN akatingisha kichwa ishara ya kutokubaliana na jambo ilo,chilo akachukua simu yake na kuitafuta namba ya VERGAN akaipiga lakini namba ile aikuwa ikipatikana!
"rudi nyumbani mamaa ntalifatilia hilo!" mzee yule akamweleza mfanyakazi aliyejinyanyua kwa uchovu na kuaga! akiacha hali ya sintofahamu katika familia ile yenye uwezo kiuchumi
"au atakuwa kasafiri?"
Mzee CHILO alitoa sauti ndogo kama anaongea mwenyewe lakini ukweli alikuwa anaongea na mke wake
"sidhani mme wangu! asafiri bila taarifa?"
"itabidi niende kazini kwake ntajua pa kuanzia kumtafuta huyu mtoto kabla atujatoa taharifa polisi"
mzee CHILO akaitimisha kwa kujinyanyua katika sofa lile alilokuwa kakalia mke wake akaachia muayo mkubwa ambao aukujulikana kama ni wa uchovu,usingizi,ama mashaka....
.......................
kwa jina alitambulika kama ALEX ila wengi walimtambua kama MWANDISHI,kutokana na tabia yake ya umbea,unoko,unafki na uchunguzi akiwa ni mmoja wapo wa wafanyakazi walotegemewa katika kampuni alomiliki VERGAN,akipendwa na viongozi wa juu kutokana na kuwasilisha umbeya alougundua chini kwa wafanyakazi wenzake!,na pia alipendwa na wafanyakazi wenzake kwa kuwaletea umbea utokao juu.huyu ndo alikuwa mwandishi kijana mrefu kiasi,maji ya kunde mwenye tabasamu la ucheshi muda wote!
mwandishi Alikuwa ndo wakwanza kuwa na wasiwasi juu ya upoteaji wa VERGAN lakini ilibaki siri ya moyo wake! ALISHUGHUDIA kila kitu akiwa katika uchunguzi wake! jicho lake likiwa katika tundu la funguo mlangoni aliuona ugomvi wa JINI HUSNAT,VERGAN,na MOURINE mpaka MOURINE aliposhambuliwa shoti na WAKATOWEKA.hakika kitendo cha kuona kilimchanganya sana.maajabu ni kwamba akuweza kufungua mdomo wake kusema.japo hamu ya kutoa habari ile ambayo ingempa uma harufu alikuwa nayo lakini alishindwa kusema.alikuwa kama kagandishiwa gundi mdomoni KWA NINI? sababu aikujulikana mwandishi akakosa amani..

Ilikuwa ni kampuni kubwa katikati ya jiji ilomilikiwa na kijana mdogo JOHN VERGAN,jengo ilo lilikuwa ni kivutio kwa wapita njia,jengo ilo la kisasa lilibeba ghorofa nne za vioo kwenda juu lilikuwa ni moja wapo ya majengo maarufu jijini pale
mzee wa makamo alishuka ndani ya gari yake ya kisasa aina ya TOYOTA VEROSA,alikuwa ni mzee chilo,baba yake vergan akachepuka kwa mchepuko wa hatua zake fupi fupi ila za haraka haraka kuelekea ndani ya jengo lile "RECEPTION" ulisomeka mlango ulokuwa mbele ya macho yake ambao palikuwa na uwazi pasina mlango wa kuingilia akazama ndani alipopokelewa na wafanyakazi nadhifu ambao kila mmoja wao alikuwa bize katika kompyuta yake na ma faili katika meza zao
"shikamoo mzee!"
mwandishi akatoa salamu huku akiamisha macho yake toka katika kompyuta kujua kulikoni? alihisi kitu
"si kawaida huyu mzee aje kututembelea! kuna kitu lazima niwe makini nisipitwe!" aliji tahadharifa
"marhaba! JANETH naweza nikamuona meneja?" baba yake VERGAN akajibu salamu wakati huo huo akimfata msichana ambaye alionekana ndo secretari.msichana yule akatabasamu akaukwapua mkonga wa simu na kuuweka masikioni akabonyeza tarakimu kadhaa MWANDISHI alikuwa makini asipitwe.kwake lilikuwa ni kosa kubwa
"haloow bosi! mzee anaitaji kukuona!....sawa mzee ingia!"
mzee CHILO akaiparamia ngazi kuelekea juu! mwandishi naye akajinyanyua na kumfata kinyume nyume wafanyakazi wala hawakumshangaa walishamzoea walisubiri habari mpya mzee chilo akafika katika mlango uloandikwa maneno "mkurugenzi" akabisha hodi mara moja kabla ajakitekenyua kitasa cha mlango ule kikamtii akazama ndani.mwandishi akaishia mlangoni akapiga chabo kujua kinachoendelea ndani! ndani mzee CHILO alimkuta mzee wa makamo kidogo JENGUA wakakumbatiana kwa furaha! huyu alikuwa ndo msaidizi wa VERGAN baada ya makaribishano CHILO akaeleza shida,dhumuni la kwenda pale ni juu ya kupotea kwa mwanaye mmiliki wa kampuni ile JOHN VERGAN
mwandishi akashtuka pale mlangoni na kuweka mkono..

********

mwandishi akashtuka!,akaweka mkono mdomoni kwa mshtuko aloupata kumbukumbu zikarejea wakati JINI HUSNAT na MOURINE(JINI ZAYDATU) wakirushiana shoti na wote watatu wakatoweka sasa ni wiki mbili zimekatika bila kuonekana kwa bosi wao VERGAN! kwa unyonge mikono kaiweka nyuma akarudi eneo alipotokea "mapokezi!" akapokewa kwa bashasha na wafanyakazi wenzake!
"mwandishi baba kaja na shida gani?" mfanyakaz mmoja alimchokonoa akikaa kiumbea
"sijui sijawa kivuli chake" mwandishi alijibu kwa mkato na kuendelea na kazi! umbea ulimwisha.ilimlazimu afunge domo lake akujua kwa nin

kule ndani mzee jengua alishangaa kupotea kwa mkurugenz wake VERGAN katika mazingira ya kutatanisha! akukuwa na habari ambayo ingewafumbua macho.ikabidi mzee CHILO aage kwa minajili ya kwenda kituoni.akaruhusiwa bila kipingamizi.akatoka,akawaaga mapokezi! muda wote mwandishi alitaka kufumbua mdomo wake lakini alijikuta akishindwa mpaka mzee CHILO akaondoka katika eneo lile.
............
alishangaa siku iyo mawazo kumtawala na kuyakosea majibu! ili kuyapoteza mawazo hayo ni lazima akapate bia mbili tatu! mwandishi SIRI ilimtesa aliitaji kuwa huru mwingi wa furaha kwa kuitoa siri hiyo! ila kwa nini kila nikitaka kusema nashindwa? akawaza akigubia bia ile kwa fujo! ghafla pombe zikamkaa kichwani wazo ambalo alikuwa mwanzo likajijenga! akatabasamu ni wazo ambalo lingemwingizia hela! wazo hilo lililomtesa kwa muda mrefu tangu alipolishughudia kwa macho yake mawili likageuka dili.dili ambalo kama angelicheza vizuri angekula ela nyingi,..akili ya pombe sasa zilimletea faida.akashika simu yake na kupiga namba kadhaa
"naongea na mama VERGAN?"
"ndiyo mimi ni mwandishi ALEX....ndiyo baba alikuja kazini nkashindwa kumwambia kutokana na itikadi zake za kidini ila naitaji tuonane uwe peke yako nikueleze mahali mwanao alipo! kweli mama sikutanii ila uniandalie ela kidogo! nyumbani? amna mtu? poa naja saivi mama"
baada ya kumaliza kuongea na simu akaikata na kujinyanyua kiuchov huku akiwa anapepesuk

ITAENDELEA


CHANZO : BURE SERIES
 
SEHEMU YA KUMI ................ MWISHO


MAKUBWA! tafakuru la mawazo ya mshangao yakajijenga katika pande la uso wake! wasanii wakubwa karibia wote alowajua walikwemo kule kumbe awakufa kwa mapenzi ya MUNGU? ALLAH! okoa kizazi chako.
wakapiga hatua watu walikuwa uchi wazee vikongwe kwa vijana
"kah na hawa? fido"
tayari vergan alishamzoea kiumbe yule fidodido
"hawa ni wanga wamezoea kula nyama za wenzao wachawi wenzao zamu yao imefika awana cha kutoa wengine asahasa vile vibibi vimetoa watoto wao wote muda wao nao ukafika! wengine ndo walotolewa kafara ndo kana ivyo dogo"
sasa VERGAN alikuwa kachoka mwili na roho aliitaji kupumzika.fidodido akalitambua hilo.tutazunguka tena badaye saivi ukaoge upate mlo upumzike..umechoka sasa
"naam swadakta"
akajibu vergan kwa tabasamu pana.Itaendelea usiku.....

******
wakajongea kwa mwendo wa taratibu kuondoka katika eneo lile,eneo la mateso kwa viumbe jamii yake viumbe vilivyosadikika vimekufa kwa mapenz ya MUNGU!
Wakaelekea katika lango kuu la chuma lililonakshiwa kwa dhahabu tupu walipolifikia lango lile likajifungua lenyewe wakapita likajifunga ndani walikutana na mazingira tofauti na walipotokea! kwanzia khali ya hewa,mandhari,
"bado tupo kuzimu kweli?"
swali likamponyoka kuuliza,swali ambalo akuliandaa kabisa katika serikali ya kichwa chake! fido akatabasamu akujibu swali ilo wakaelekea katika nyumba moja ya ghorofa isiyo na mwisho kuelekea juu wakaingia katika lifti fido akabonyeza namba kadhaa za kirumi lifti ikaanza kupanda juu dakika chache ikafika ilipoitajika mlango ukafunguka! MAAJABU! wakatokea katika ukumbi mkubwa ulotawala watu wa asili tofauti tofauti waarabu,wazungu,wataliano wakicheza miziki ipigwao duniani,miziki ya watu maharufu ambao baadh yao walikuwa wakichomeka! kitendo cha kuingia tu msichana mrembo alovaa kimini,matiti yote yalikuwa nje akamfata vergan!
"nipo kwa ajili yako je unani itaji?"
vergan akamtupia jicho fido! fido yeye alitabasamu tu!
"chukua mzigo huo"
nafsi ilimsihi.macho yake yakadondokea kidoleni! PETE,
JINI HUSNAT,kwa mara ya kwanza toka amezwe na OBISHI na kusafirishwa kuletwa katika ulimwengu wa maaswi KUZIMU akamkumbuka jini yule! faraja ikatoweka moyoni mwake,mshangao ukageuka na kuwa simanzi! dada yule akamlalia kifuani mkono wake akiuingiza katika sehemu nyeti zilizokwisha simama.mazingira ya ndani mule ayakuvutia kabisa ilikuwa baadh wanacheza mziki,wengine wanafanya mapenz adharani akuna alokuwa na habari na mwenzake!
"samahani dada naomba niache!"
dada yule akapigwa na butwaa akamuacha,
"tuondoke maeneo haya fido."
fido akatii wakaifata ngazi na kupanda kuelekea juu katika ukumbi ambao watu walikuwa wamepumzika.wakatafuta sehemu wakakaa
"najua kinachokuumiza best! ni juu ya jini wako siyo?"
VERGAN akapigwa na butwaa.

"pEndo la moyo wako! ila pole vergan HUSNAT sasa ni mke wa mtu?"
"what? hapana fidodido unataka kunambia nin? siyo husnat wangu! aiwezekani! haiwezekani aiwezekan fido husnat akubali kuolewa! vip kiapo tulichokula wakati tukiwa dunian kabla ajanipa hii pete? eti leo aolewe kama uwez kaa na mim katika ukanda huu wa kuzimu ruksa kuondoka na kuniacha mwenyew..."
"common vergan listen my frandy sit down kwanza punguza munkari nipe maskio yako upasw kuamaki mpak watu wanatwangalia? unageuka burudani kwa wapumzikao!"
"aijalishi fido! ila ukwel uwez nambia husnat...yah kipenz changu jini husnat kaolewa"
"VERGAN!..." fido akaita! vergan akamtumbulia macho ishara ya kumsikiliza!
"uwezi pindisha ukweli kuwa uwongo nevar happen! pokea ukwel japo mchungu! husnat ajakusaliti kaolewa kwa sababu maalumu!"
"sababu maalumu? ipi hiyo?"
"ni juu ya kisas kwa OBISHI! yule nyoka alokumeza!" kwa mara ya kwanza kumbukumbu za vergan zikaanza kutiririka kama maji yatiririkayo kutoka bombani.akakumbuka akiwa kakamatwa kisawasawa na nyoka yule mpaka akapoteza fahamu! baada ya hapo ikawaje? akukumbuka! naam fido akayasoma mawazo yale akamjibu!
"akakumeza na kukusafirisha mpaka huku kuzimu akakutema nje ya lango la ujinini ukapokelewa na toxic walojua tayar u maiti ulokufa duniani wakawa tayar kukuwaisha katika moto ndipo father mkuu alipokuokoa"
vergan akawa kashaelewa kila kitu! ila fido akazidi kumwelewesha! "ujinini kule majini wanajua ukimezwa na nyoka yule ni lazima uwe umekufa! hivyo hata husnat wako anajua obishi kausika na mauaji yako na obishi aonekani kwa nguv za kawaida! lengo la husnat kuolewa ni aongezewe nguvu kama malkia wa zuluwalad nguv zitakazo mwezesha kukutana na obishi ana kwa ana na kumwangamiza papo hapo"
"ooohpsss!!!"
vergan akaachia mwayo mkubwa! alichoka!
"naitaji kuongea na husna kumtaarifu kuwa bado nipo hai!"
"wazo zuri JOHN but utamchanganya hali ya ujinini bado si shwari yupo katika uangalizi wa babu yake muu ajuaye kila awazacho take time".....

******

MAUMIVU ya kusalitiwa tena mshtuko wa kushtukiziwa unauma inakuwa ni sawa na kuchomwa na kitu chenye ncha kali katikati ya moyo! moyo wa VERGAN uliraruliwa na fido! akutaka kusikia la muwadhin wala la mnadi swala! yeye alichoitaji ni kuwasiliana na HUSNAT tu! alishindwa kabisa kuyazuia maji mepesi yalotoka katika kingo za macho yake na kulowanisha mashavu yake.vergan alilia.alililia penzi la jini! akaukumbuka utamu aloupata! wakati wakiwa pamoja,utani walofanyiana! kilio kile kikabadilika na kuzaa kwikwi! ghafla akanyanyuka fido akajaribu kumzuia lakini alishachelewa akauendea mlango ulokuwa mbele ya macho yake mlango ukafunguka JOHN akapita mlango ukajifunga.ndani akapokelewa na chumba kipana chenye kila aina ya uzuri ndan yake! akaenda kujibwaga katika kitanda.akaiangalia ile pete kwa hasira akaivua! pete ikagoma "HUSNA, HUSNA!,HUSNAT nakuita ewe kiumbe msaliti amka kwa nin umenfanyia hivyo nimekukosea nini? umeolewa etieee! na jini mwenzako si ndiyo? nakuitaji mbele ya macho yangu husna njoooo njoooo njoooo nakusubir HUSNA"
GHAFLA mtetemeko ukaanza,ulianza taratibu ukamtupa huku na kule ukampigiza katika ukuta
"HUSNAAAAAAAA"
Akapiga ukelele,akijaribu kuzuia kupandishwa juu akujua anapopelekwa! mikono akainyanyua juu,sauti ya vicheko vikimkejeli katika masikio yake.akujua tayari MUU alishafanya yake.yeye ndo alikuwa kikwazo.aliitaji amuondoe haraka kuzimu kuiokoa ndoa ya mjukuu wake HUSNAT na sasa alikuwa angani akisafiri kwa spidi kali kuelekea katika sayari ya marz.

HIMAYA YA JINI ZULUWALAD

Ulikuwa ndo usiku wa kwanza, kwa wachumba hawa kuwa pamoja,husnat alikuwa mwingi wa furaha alimwangalia mume wake kwa jicho lililolegea ashki za kufanya tendo la ndoa likampanda ZULU akamvamia husna,naye bibie akampa ushirikiano wakawa wamekumbatiana kabla awajandondoshana katika kitanda kipana."HUSNA kwa nini umensaliti!? kosa gani hasa nlokufanyia vipi ahadi tuloahidiana HUSNA HUSNA HUSNAAAAA"
Ghafla sauti ya vergan ikayavamia masikio yake.
*********
Sauti ile ya malalamiko iliingia mpaka katikat ya moyo wake!,kwa kasi ya ajabu akajirusha kutoka kitandani mpaka katikati ya pembe,alishaiona hatari ilokuwa mbele ya mpz wake! jini zulu akiwa na mshangao akajiandaa kumfata HUSNAT,kumzuia,jini yule akamwona mumewe kama kikwazo kwake! akamwangalia kwa macho ya hasira na kumnyooshea mkono wake! shoti kali za umeme zikamtoka na kumvamia ZULU akadondoka na kutulia tuli
"HUSNAT umeua?"
aliisikia sauti ya babu yake muu! akaipuuza! muu kosa alilofanya nikuelekezea nguvu zake zote kwa VERGAN bila kukumbuka hatari ilokuwepo pale HUSNAT atakaposikia sauti ya kipenz chake na hata pale alipokumbuka alikuwa tayari kashachelewa.zuu aligeuka maiti! KIZAAZAA,....

JINI HUSNAT akiwa juu ya farasi wake aendaye kwa kasi! aelea hewani mkononi kashika upanga unaomeremeta bado ghadhabu zilimuandama,hasira hizo zilimkosesha umakini na kujikuta akiwa katikati ya walinzi wa himaya yao.vita vikali vikatokea! jini husnat mbele ya majemedari makamanda watano akashindwa kujitetea nguvu zikamwisha.atimaye akasamli amri! akaweka katika nyavu tayari alikuwa ni muuaji akuthaminika tena katika himaya ya ujinini tena

vivyo hivyo hata kwa JOHN VERGAN babu muu baada ya kuona mjukuu wake tayar kakamatwa akuwa na sababu tena ya kumshikilia binadamu yule! majemedari wale wakamtia mkonon vergan na kumuambatanisha na jini husnat kuwarudisha ujinini kwa HUKUMU

Hakika taharifa aloipata jini mkuu MUKRAIYAH juu ya kuuwawa kwa mwanaye kikatili na JINI HUSNAT kilimfadhaisha sana
"naitaji wawe mbele yangu hapa sasa ivi?"
MUKRAIYAH akatoa amri,makamanda wale wakatoweka! malkia sumaiya kila mara alipoteza fahamu kwa mfadhaiko aloupata,wanajamii wa himaya ya ZULUWALADI na MUKRAHIYA wote walisikitika,zulu alikuwa ni jini mpole,msheshi mwenye kusaidia wenye matatizo mbalimbali,kila mtu alikuwa na hasira na JINI HUSNAT na VERGAN.ni wazi wangetafunwa wazimawazima.amani katika himaya ya zulu ilitoweka.majini waso na subira waliwavamia wazazi wa HUSNA

*****

Majini wale wenye wahka uvumilivu uliwashinda! wakawateka wazazi wa HUSNAT na kuwaweka pamoja wakawafunga na minyororo! katikati ya tanuri la moto! awakuwa na kosa nani alilitambua ilo? walizomewa wakapigwa mawe! majini walikuwa ni wengi katika uwanja mkubwa wakishuhudia kusambaratishwa kwa familia ya jini HUSNAT.

dakika chache badae jini HUSNAT na VERGAN waliwasilishwa wakiwa katika nyavu zenye matundu madogo madogo,kelele,na hasira zikazuka! uwanja ule mkubwa ulozungukwa na viumbe vilivyotisha,vikatili,vilianza kwa kuwanyanganya nguvu zote za asili! kwa wausika wote isipokuwa vergan yeye akuwa na nguvu za kijini.sasa awakuwa na uwezo wowote wa kujikinga na dhahama ilokuwa ikiwanyemelea kwa kasi ya ajabu WALIKUWA HATARINI.

Alikuwa ni jini mwenye sura mbaya pengine kuliko kiumbe chochote katika asili ile ya ujinini pembe mbili zenye ncha kali,mweusi tii zaidi ya mkaa macho yake yalowaka zaidi ya tochi,maskio kama ya ngurue kitovu kilichochongoka meno marefu kucha zake ndefu na miguuni alikuwa na kwato alikuwa na manyoya mengi katika mwili wake mkononi alishika upanga mkali ulowakawaka,alikuwa ni JINI MAUTI jini mwenye idhini ya kutoa uhai wa kiumbe chenye asili kama yake,jini asiye na huruma mkorofi na mwenye uchu katika kuuondoa uhai wa kiumbe hai chenye asili kama yake.yeye ndo alokabidhiwa rungu la kuwatoa uhai familia hiyo na kuifuta katika ramani ya ujinini akasimama na kuusogelea mwili wa baba yake HUSNAT na kunyanyua panga lake majini wote wakapiga kelele kushangilia.husnat na wenzake wakafunga macho walipofumbua waliachia kilio kikali cha uchungu!
mwili wa baba yake ulikuwa chini huku mkononi jini mtoa roho yule akiwa kashikilia kichwa cha baba yake akikitafuna kwa uchu! moyo ulimuuma akashindwa kuyazuia machozi kumdondoka.hata vergan huruma ilimjaa katikati ya kifua chake.wote walilia.ilikuwa ni furaha kwa majini wote walojaa katika kiwanja kile.baada ya kumaliza kuutafuna mwili ule jini maiti akausogelea mwili wa mama yake kipenzi....

Jini mauti yule akiwa kaushikilia upanga wake akaendelea kujongea taratibu mahali alipofumbwa mama yake HUSNA,uchu wa kula nyama za mama yule ukiwa umemvaa akaunyanyua upanga juu tayari kuushusha katikati ya shingo ya mama yule.

wakati jini maiti akijongea viumbe vyote vilikuwa makini kushughudia kinachoenda kutokea! ghafla jemedari wa ulinzi akaenda kumnongoneza kitu mfalme MUKRAHIYA,mfalme akashtuka akanyoosha mkono juu kuzuia kuuwawa kwa mama yule "kuna jambo la dharura limetokea ulinz uimarishwe tunavamia walinzi kaeni tayari kwa chochote!" mfalme alitoa taharifa ulinzi ukaimarishwa eneo lile ghafla mvua ya moto ikaanza kunyesha! watu wakatupwa huku na huko ardhi ikamomonyoka na kuwabeba baadh ya viumbe waloathiriwa na tetemeko lile! mvua ile ya moto yenye damu ndani yake ikazidi maradufu!...ghafla ikagoma,hali ya utulivu ikarejea.mvua ile waloweza kuizuia baada ya kuacha iliacha maafa makubwa ya raia.chanzo chake akikujulikana.wakati utafiti wa maafa yake ukiendelea ghafla kikazuka kimbuka kikali! kimbunga kilicho kuwa na nguvu ambayo si ya kawaida,jini mukraiyah akakinyooshea kimbunga kile fimbo yake huku akizungumza lugha asiyoielewa kimbunga kile kikajiunda umbo la kiumbe! mbabu mwenye ndevu nyeupe.babu muu.mwokozi alobakia katika familia ya jini HUSNAT!
"Amuwezi teketeza kizazi changu nami nkakaa kmya MUKRAHIYA!"
"ha! ha! ha! we shetwan mwenye nguvu za kuiba ulokimbia kujificha marz! leo umerudi nakwangamiza kwa mikono yangu!"
"uwezi ibilisi! nakwangamiza kwa mateso makali!"
alijitapa muu! na hapo hapo akaachia kombora la ghafla,Mukrahiya aliyoliona vyema akalikwepa na kuachia lake ambalo lilimpata vyema MUU! akapepesuka,kitendo kilichopelekea mukrahiya kutabasamu kwa dharau.muu akatema moto ulomezwa na mukrahiya mukrahiya akaivuta fimbo yake na kumchapa nayo muu.muu akaachia yowe la uchungu,nguvu zake zilikuwa ni ndogo sana kulinganishwa na MUKRAHIYA. akamchapa alivyotaka.muu akalegea mukrahiya akamsogelea tayari kwa kummaliza.............

*********

Akiwa kashika fimbo yake ya kifalme ambayo sasa iligeuka na kuwa upanga kwa mwendo wa taratibu bila haraka akajongea kusogea eneo alilokuwepo MUU.Mdomoni akiachia tabasamu la dharau.MUU alimwangalia kwa macho ya huruma yamkini akiwasilisha ujumbe aurumiwe! ila MUKRAHIYA alipuuza! watu walipiga kelele ishara ya kushangilia! jini mukrahiya alimfikia muu na kunyanyua upanga wake juu alipoushusha uliondoka na uhai wa jini yule alobaki tumaini! katika kizazi kile kidogo! akainyonya damu yake kwa kuifyonza! huku akiungamua utamu kwa kukitingisha kichwa chake taratibu!
"hudumu utawala wa mukrahiya"
"hudumu,udumu,udumu milele na milele!"
"sasa wakati naendelea kula nyama tamu ya huyu swaiba wangu MUU sasa ni mrudishie uwanja jini maiti aendelee kunyofoa uwah wa viumbe hawa! jini HUSNAT awe wa mwisho akishuhudia vifo vya vipenz vyake."
JINI mukrahiya alitoa maelezo yakinifu yalopokewa kwa vifijo.jini maiti akajongea eneo la tukio na kuondoka na uhai wa mama yake HUSNAT mwili wake akaukata kata mapanga na kuupiga shoti kwa nia ya kuugeuza mlo mara eneo lile likatawaliwa na harufu ya nyama ya kuchoma akawa anakata mapande ya minofu na kuwatupia walokuwa wanashughudia tukio lile nao wakawa wakiigombania nyama ile! huku kinywaji ikiwa ni damu mbichi ya maiti zile.Sasa HUSNAT akulia tena,machozi yalikata,uchungu uliushambulia moyo wake mdogo! babu yake MUU,baba yake,mama yake wote walikuwa maiti kwa ajili yake! kwa ajili ya penzi la binadamu ambaye naye anaelekea kufa! akamwangalia VERGAN ambaye aliona mtetemeko wa wazi.alikuwa akitetemeka huku akiwa kaachia haja zote kubwa na ndogo.kilio cha kwikwi kikisikika kwake.
"chanzo cha matatizo yote ni huyo binadamu atauwawa kwa kukatwa kiungo kimoja kimoja! yeye ndo kaja kuuchafua mji huu.kama si yeye HUSNAT asingemuua mwanangu nawachukia binadamu jini maiti anza kukata kidole kimoja kimoja ukimaliza vyote kata mguu paja kiuno na kichwa."
JINI MUKRAHIYA akiwa anamwangalia VERGAN kwa jicho kali akatoa maelekezo.....

*********

Majini wale wenye hasira! bado waliendelea kupaza sauti! kuarakishwa kwa hukumu ya kifo kwa wapenzi wale wawili! JINI HUSNAT na JOHN VERGAN!,wahka!,jazba vilimpanda jini maiti yule alihisi kitendo cha kumkata kiungo kimoja kimoja binadamu yule angechelewa kuitafuna nyama yake ilokuwa ikipendwa sana na viumbe wale.akaunyanyua upanga wake na kumsogelea VERGA,muda wote husna alikuwa akilia huku akiomba msamaha akijutia kwa alichokitenda.alijiesabia tayari yeye ni mfu mwenye mda mchache wa maumivu! alifumba macho pindi jini maiti aliponyanyua upanga juu ili asishughudie kichwa cha mpenzi wake kikitenganishwa na kiwiliwili.
JINI MAITI kwa nguvu zake zote akaushusha upanga kuelekea shingoni kwa vergan....ghafla akalakiwa na sura yake mwenyewe! yani sura ya vergan ilitoweka na sura ya jini maiti ikaonekana.yani akawa anajiona.HATARI! akaisi kitendo cha kujikata angejiua mwenyewe AKASITISHA ZOEZI LILE huku akiwa kahamaki kwa mshangao wa alichokiona,bumbuwazi likauvaa uso wake macho yake akayapeleka kwa jini HUSNAT alokuwa kaiweka mikono yake miwili usoni kutokushughudia tendo lile.liumizalo moyo.shingo yake akairudisha kwa VERGAN alikuwa ni vergan naye akishangaa kutokujua kulikoni! jini maiti akazidi kupigwa na butwaa! jini HUSNAT alifumbua macho akitegemea kuiona maiti ya mpz wake naye akapigwa na butwaa baada ya kumuona jini maiti akiwa kamtumbulia vergan macho ya mshangao! si jini husnat pekee alokumbwa na mfadhaiko ule hata umati ule ulibaki ukimshangaa jini yule mwenye roho mbaya kwa kitendo cha kusitisha zoezi lile,minongono ya chini kwa chini ikaanza! jini maiti kwa mara nyingine akaunyanyua upanga wake alipotaka kuushusha hali ikawa ni ileile....VERGAN alibadilika na kuivaa sura yake
"ni ni ni kinachoendelea hapa?" jini maiti akajiuliza akakata shauri liwalo na liwe kama ni kujiuwa na iwe.akafumba macho yake makali kama taa na kuushusha kwa nguvu upanga ule kuelekea kichwani kwa VERGAN...,.kwa nia dhabiti ya kuuondoa uhai wake bila kujali maajab

*******

JINI maiti akakata shauri liwalo na liwe! akayafumba macho yake makali na kuushusha kwa nguvu upanga ule...akakata hewani.wakati kabla ajafumba macho alilenga sawia shingo ya kijana yule akafumbua macho yake! asalaleee! watuhumiwa wake awakwepo! mashuhuda wote midomo wazi,tayari jini HUSNAT na VERGAN walishatoweka katika mazingira ya kutatanisha!!!
NGUVU gani zinazotumika hapa? zilizojuu ya nguvu zao? akuna alojua! kimuyemuye kikazuka! tafakuru makelele yakazuka! yamkini akuna aliyetambua nani yupo nyuma ya mchezo ule! walipoangalia kuzimu apakuusika,sasa tatizo? mganga mkuu wa himaya ile akaitwa akapanda kilingeni kwa mbwembwe alikuwa ni jitu nene jeupe lenye kichwa cha ngurue tumbo kubwa manyoya ya kutosha kucha ndefu na meno yalochongoka nje! baada ya kufanya vimbwanga akatoka na jibu lililo waacha hoi majini wote
"WAPO DUNIANI! BINADAMU WABAYA WAMENUNUA VITA!"
"tutapambana nao kufa na kupona hawana nguvu kutushinda sisi"
"hidumu himaya hii"
"hidumu! hidumu! hidumuuu!"
vijakazi walinzi watatu wakatumwa duniani.mchezo ndo ulikuwa unaanza.....
-....-....-....-
NDANI YA ULIMWENGU WA DUNIA

Ilikuwa ni nyumba moja ya kifahari sebuleni mwa nyumba hiyo waliketi watu watatu! mzee wa makamo ambaye kichwa chake kilitawaliwa na mvi zilizo meremeta,usoni alivaa miwani na mwilini alivaa nguo za gharama,huyu aliitwa MZEE VERGAN CHILO maarafu kama mzee CHILO baba yake VERGAN,pembeni yake aliketi mwanamama wa makamo alovaa gauni la kitenge lililonakshiwa na mapambo ya kuvutia alikuwa ni mama alojaliwa macho mazuri na unene ulopitiliza huyu alikuwa ni MAMA VERGAN,na watatu alikuwa ni msichana mrembo mwenye umbo namba nane macho malegevu,dimpoz katika mashavu yake huyu alikuwa ni JASMINI mfanyakazi wa ndani nyumbani kwa JOHN VERGAN.Wazazi hao walikuwa wakimsikiliza kwa makini binti yule mzee CHILO akauliza swali kwa mshtuko
"umesema wiki nzima VERGAN ajaja nyumbani?"
JASMIN huku akiwa anatetemeka akatingishwa kichwa ishara ya kukubali...

********
Mzee CHILO na mke wake wakatazamana kwa mshangao!!
"mke wangu ulishaongea na huyo mtoto siku za karibuni?"
mama VERGAN akatingisha kichwa ishara ya kutokubaliana na jambo ilo,chilo akachukua simu yake na kuitafuta namba ya VERGAN akaipiga lakini namba ile aikuwa ikipatikana!
"rudi nyumbani mamaa ntalifatilia hilo!" mzee yule akamweleza mfanyakazi aliyejinyanyua kwa uchovu na kuaga! akiacha hali ya sintofahamu katika familia ile yenye uwezo kiuchumi
"au atakuwa kasafiri?"
Mzee CHILO alitoa sauti ndogo kama anaongea mwenyewe lakini ukweli alikuwa anaongea na mke wake
"sidhani mme wangu! asafiri bila taarifa?"
"itabidi niende kazini kwake ntajua pa kuanzia kumtafuta huyu mtoto kabla atujatoa taharifa polisi"
mzee CHILO akaitimisha kwa kujinyanyua katika sofa lile alilokuwa kakalia mke wake akaachia muayo mkubwa ambao aukujulikana kama ni wa uchovu,usingizi,ama mashaka....
.......................
kwa jina alitambulika kama ALEX ila wengi walimtambua kama MWANDISHI,kutokana na tabia yake ya umbea,unoko,unafki na uchunguzi akiwa ni mmoja wapo wa wafanyakazi walotegemewa katika kampuni alomiliki VERGAN,akipendwa na viongozi wa juu kutokana na kuwasilisha umbeya alougundua chini kwa wafanyakazi wenzake!,na pia alipendwa na wafanyakazi wenzake kwa kuwaletea umbea utokao juu.huyu ndo alikuwa mwandishi kijana mrefu kiasi,maji ya kunde mwenye tabasamu la ucheshi muda wote!
mwandishi Alikuwa ndo wakwanza kuwa na wasiwasi juu ya upoteaji wa VERGAN lakini ilibaki siri ya moyo wake! ALISHUGHUDIA kila kitu akiwa katika uchunguzi wake! jicho lake likiwa katika tundu la funguo mlangoni aliuona ugomvi wa JINI HUSNAT,VERGAN,na MOURINE mpaka MOURINE aliposhambuliwa shoti na WAKATOWEKA.hakika kitendo cha kuona kilimchanganya sana.maajabu ni kwamba akuweza kufungua mdomo wake kusema.japo hamu ya kutoa habari ile ambayo ingempa uma harufu alikuwa nayo lakini alishindwa kusema.alikuwa kama kagandishiwa gundi mdomoni KWA NINI? sababu aikujulikana mwandishi akakosa amani..

Ilikuwa ni kampuni kubwa katikati ya jiji ilomilikiwa na kijana mdogo JOHN VERGAN,jengo ilo lilikuwa ni kivutio kwa wapita njia,jengo ilo la kisasa lilibeba ghorofa nne za vioo kwenda juu lilikuwa ni moja wapo ya majengo maarufu jijini pale
mzee wa makamo alishuka ndani ya gari yake ya kisasa aina ya TOYOTA VEROSA,alikuwa ni mzee chilo,baba yake vergan akachepuka kwa mchepuko wa hatua zake fupi fupi ila za haraka haraka kuelekea ndani ya jengo lile "RECEPTION" ulisomeka mlango ulokuwa mbele ya macho yake ambao palikuwa na uwazi pasina mlango wa kuingilia akazama ndani alipopokelewa na wafanyakazi nadhifu ambao kila mmoja wao alikuwa bize katika kompyuta yake na ma faili katika meza zao
"shikamoo mzee!"
mwandishi akatoa salamu huku akiamisha macho yake toka katika kompyuta kujua kulikoni? alihisi kitu
"si kawaida huyu mzee aje kututembelea! kuna kitu lazima niwe makini nisipitwe!" aliji tahadharifa
"marhaba! JANETH naweza nikamuona meneja?" baba yake VERGAN akajibu salamu wakati huo huo akimfata msichana ambaye alionekana ndo secretari.msichana yule akatabasamu akaukwapua mkonga wa simu na kuuweka masikioni akabonyeza tarakimu kadhaa MWANDISHI alikuwa makini asipitwe.kwake lilikuwa ni kosa kubwa
"haloow bosi! mzee anaitaji kukuona!....sawa mzee ingia!"
mzee CHILO akaiparamia ngazi kuelekea juu! mwandishi naye akajinyanyua na kumfata kinyume nyume wafanyakazi wala hawakumshangaa walishamzoea walisubiri habari mpya mzee chilo akafika katika mlango uloandikwa maneno "mkurugenzi" akabisha hodi mara moja kabla ajakitekenyua kitasa cha mlango ule kikamtii akazama ndani.mwandishi akaishia mlangoni akapiga chabo kujua kinachoendelea ndani! ndani mzee CHILO alimkuta mzee wa makamo kidogo JENGUA wakakumbatiana kwa furaha! huyu alikuwa ndo msaidizi wa VERGAN baada ya makaribishano CHILO akaeleza shida,dhumuni la kwenda pale ni juu ya kupotea kwa mwanaye mmiliki wa kampuni ile JOHN VERGAN
mwandishi akashtuka pale mlangoni na kuweka mkono..

********

mwandishi akashtuka!,akaweka mkono mdomoni kwa mshtuko aloupata kumbukumbu zikarejea wakati JINI HUSNAT na MOURINE(JINI ZAYDATU) wakirushiana shoti na wote watatu wakatoweka sasa ni wiki mbili zimekatika bila kuonekana kwa bosi wao VERGAN! kwa unyonge mikono kaiweka nyuma akarudi eneo alipotokea "mapokezi!" akapokewa kwa bashasha na wafanyakazi wenzake!
"mwandishi baba kaja na shida gani?" mfanyakaz mmoja alimchokonoa akikaa kiumbea
"sijui sijawa kivuli chake" mwandishi alijibu kwa mkato na kuendelea na kazi! umbea ulimwisha.ilimlazimu afunge domo lake akujua kwa nin

kule ndani mzee jengua alishangaa kupotea kwa mkurugenz wake VERGAN katika mazingira ya kutatanisha! akukuwa na habari ambayo ingewafumbua macho.ikabidi mzee CHILO aage kwa minajili ya kwenda kituoni.akaruhusiwa bila kipingamizi.akatoka,akawaaga mapokezi! muda wote mwandishi alitaka kufumbua mdomo wake lakini alijikuta akishindwa mpaka mzee CHILO akaondoka katika eneo lile.
............
alishangaa siku iyo mawazo kumtawala na kuyakosea majibu! ili kuyapoteza mawazo hayo ni lazima akapate bia mbili tatu! mwandishi SIRI ilimtesa aliitaji kuwa huru mwingi wa furaha kwa kuitoa siri hiyo! ila kwa nini kila nikitaka kusema nashindwa? akawaza akigubia bia ile kwa fujo! ghafla pombe zikamkaa kichwani wazo ambalo alikuwa mwanzo likajijenga! akatabasamu ni wazo ambalo lingemwingizia hela! wazo hilo lililomtesa kwa muda mrefu tangu alipolishughudia kwa macho yake mawili likageuka dili.dili ambalo kama angelicheza vizuri angekula ela nyingi,..akili ya pombe sasa zilimletea faida.akashika simu yake na kupiga namba kadhaa
"naongea na mama VERGAN?"
"ndiyo mimi ni mwandishi ALEX....ndiyo baba alikuja kazini nkashindwa kumwambia kutokana na itikadi zake za kidini ila naitaji tuonane uwe peke yako nikueleze mahali mwanao alipo! kweli mama sikutanii ila uniandalie ela kidogo! nyumbani? amna mtu? poa naja saivi mama"
baada ya kumaliza kuongea na simu akaikata na kujinyanyua kiuchov huku akiwa anapepesuk

******
Akiwa anapepesuka MWANDISHI alianza kujongea kutoka eneo lile la club muda mwingi akikosa muhimili na kudondokea meza na viti maeneo yale! akujali alinyanyuka na kuliendea gari lake.akaingia ndani na kuliondoa.....
maajabu!! usingeweza kuamini yule mlevi ambaye dakika chache alikuwa akipamiana na viti ndo aliyomo ndani ya gari ilo.mwandishi alikuwa makini barabarani japo aliwaza kilevi!
"ili ni dili la fedha! kwa kuwa ni swala nyeti...ni dili ambalo ntashrikiana na familia hii mpaka nijue mwisho alafu habar hii sitomuadithia mtu ntaipeleka kwenye magazeti ambapo ntalpwa kiwango kikubwa cha ela! aya macho yanaenda kuntajirisha." aliwaza huku akiingia mtaa walokuwa wakiishi wazazi wa bosi wao.akaelekea mpaka kwenye nyumba ya kifahari mlinzi akafungua geti mwandishi akaingiza gari lake mpaka ndani.akashuka huku akipepesuka akaelekea sehemu alimostaili kuelekea.....
...........
alipigwa na butwaa alomkuta ndani akutegemea kumkuta.moyo ukaanza kumwenda mbio na pombe taratibu zikaanza kuyeyuka.ni baada ya kumkuta mzee chilo baba yake VERGAN ambaye kiukweli alimuogopa
"karibu sana mwandishi sijui uletewe kinywaji gani?"
"maji tu yanatosha" alijibu ki khofu huku mwili wote ukimloa jasho kwa anguko la tetemeko.mwandish Alex alitetemeka hadi meno mama VERGAN akaliona ilo ili kumtoa khofu akamwambia
"mwandishi usijali kama ni pesa utapata na usimwogope mzee naye yupo pamoja nami tueleze mwanetu yupo wapi au katekwa na nani na wanaitaji nini?" moyo wa Mwandishi kidogo ukaridhika baada ya kutolewa khofu akaanza kuongea kwa kujiamini
"wazee wangu hii ni siri nyeti siri ambayo baada ya kuitoa yaweza chukua uhai wangu je ntaiachaje familia yangu? bila milioni 50 kuingizwa kwenye akaunti yangu sifumbui mdomo"
"unasema?" mzee CHILO akauliza kwa hasira
"milioni 50 nieleze ninachojua juu ya bosi hata nikifa familia yangu isipate tabu"
"milioni 50 eeh subiria nkakuletee....." mzee chilo akaingia ndani na kuchukua simu na kupiga kituo cha polisi
aliyepokea simu kituoni akaidi robo saa kuwa maeneo yale.
............
afande au waweza kumwita SAJENTI KIKOTI akiwa kituoni,alikuwa kavaa nguo za kiraia,wakati akiwa kituoni hapo mara simu yake ya mkononi ikaita akaangalia mpigaji akaachia tabasamu dogo na kuaidi kufika eneo la tukio robo saa.akainuka na kuchukua maafande wawili na kuingia katika difenda!
........
wakati mwandishi akiwa anasubiria milioni 50 zake aliamua kukunja nne kabisa,mawazo yake yalikuwa mbali sana kifikra! maendeleo aliyoyawaza yalikuwa ni zaidi ya fedha alizoitaji! aliwaza kutengeneza bonge la nyumba maeneo ya wanaoishi matajiri ufukweni mwa bahari!,magari ya kisasa,ajenge maoteli ya nyota kah! kwa milioni 50? na vimilioni 5 vyake benki! akaachia tabasamu afifu alilolizima ghafla baada ya kuingia maaskari moyo wake ukapasuka paaaaa! tayari hatari ilishawaka katika fikra zake.
"afande huyu kijana anajua kila kitu anaitaji milioni 50 eti ndo atueleze"
"what?"
kikoti alistaajabu akaendelea
"afande marwa piga pingu ilo likaeleze kila kitu kituoni sijapata kuona jambaz jinga namna hii"
machozi yakatiririka katika mashavu yake! akajiona mjinga kuwaza ujinga.akabebwa mzobe zobe mpaka kituoni aliposhushwa na kuanziwa mahojiano muda huo huo
"unaitwa nani"
"alex"
"majina yako matatu" kikoti alizidi kumuoji
"ALEX BANDAMA KINAINAI"
"kah" afande alistaajabu!
"unafanya kazi wapi?"
"vergan compuny!" kah kwa hiyo ndo umeshiriki kumteka bosi wenu? (hapana afande mi sijashiriki!) haya tueleze waloshiriki upate kuwa huru! (siwajui) alijibu MWANDISHI huku akilia...afande kikoti akusema kitu akaondoka aliporudi alikuwa na mkebe akaufungua kulikuwa na plaizi mikasi spoku na vifaa ambavyo akuweza kuvitambua kwa haraka! (ntaanza kwa kukuchomoa kucha moja moja mpaka utakapoeleza wanaousika kwa kupotea kwa vergan) MWANDISHI mdogo ulimtetemeka akutaka kuwa katika maumivu akaamua kuueleza ukweli! ukweli ambao katu aukuwaingia maafande akilini! (anayeusika katika upotevu wa vergan jini)

***********
Mwandishi hakuwa tayari kungofolewa kucha zake akaamua kusema ukweli! ukweli ambao aukuwaingia akilini kabisa polisi wale!
"vergan kachukuliwa na jini?"
"what?" kikoti na maafande wengine wakatazamana.kilichofatia ni kumvurumishia kipigo mangumi mateke,bila kujali damu ilokuwa ikimtoka! ila msimamo wake ukabaki palepale....serikali haikuamini mambo hayo ivyo kulionekana kuna kitu anaficha!
............
"nimeshakwambia mme wangu! yule si mtoto mdogo kusema maneno yale lazima twende kwa mganga tuka angalie huku polisi wakiendelea na msako"
MAMA VERGAN alikuwa ni miongoni mwa wazazi waliosikilizwa na wanaume zao,yani wao ndo walikuwa kichwa cha nyumba.mzee CHILO kila alichoambiwa na mke wake akuweza kuweka mkatao ilikuwa lazima akubali leo hii alimfikishia habari mke wake juu ya yanayoendelea kituoni kule,mke wake akamjia juu na kumlazimisha waende kwa mganga.chilo akukataa wakafunga safari na kuelekea kwa mganga maarufu sana kwa majini
................
KWA MGANGA
Ilikuwa ni nyumba nzuri ambayo usingeweza kuamini kama kuna mganga wa asili ndani ya nyumba hiyo ilikuwa ni nyumba ya kisasa yenye bati la vigae geti nje na hata mlinzi alikwepo.walipaki gari lao sehemu palipostaili wakatoka walipokelewa na watu wengi walokuwa wakisubiria huduma.walienda kizamu zamu mpaka zamu yao ikafika wakaingia: ilikuwa ni chumba kidogo ambacho mlangoni kwa ndani kilichomekwa fuvu la kichwa.aijulikani ni la kiumbe gani chini kulitundikwa jamvi na mganga yule aliketi akiwa kavaa nguo nyekundu pia chumba kile kilipigwa rangi nyekundu mpaka mapazia yalikuwa mekundu! "ibana iyanyeeee,ivyuna kyaleeee aaaah haaaaa haaaaa"
"ndiwaona mwaja(nawaona mnakuja)"
"ivua rwandu(vueni viatu)"
Mkalimani akawa anafanya kazi ya kuwatafsiria! mganga akachukua mbegu flani akazinuizia akazipiga chini mbegu zile zikatoweka akatoa kicheko na kuanza kuimba
rudi inyumenyume🙁rudini kinyume nyume)" wakatii wakaketi chini mganga akapandisha maruani akaongea vitu visivyoeleweka mkalimani akatafsiri

********

Mganga akaachia cheko tena! na kuongea lugha isiyoeleweka!
"babu tumekuja na sh..."
mama VERGAN kabla ajamalizia tumekuja na shida akakatizwa."najua! najua! hahahaaaa najua kilichowaleta! ni vita kali binadamu mna roho mbaya sana!" wote wakashtuka!
"mimi ndo mganga NDUMBWENDUMBWELE najua mmekuja kwa shida ya kupotea kwa mwanenu VERGAN"
Mzee chilo na mke wake wakaangaliana kwa mustaajabu mkuu
"ndiy,..o....ba.bu"
"sema tawile!" mkalimani akamsahihisha
"tawile" wote wakajibu
"mumefanya vibaya sana! mwandishi kawaokoa kwa kuwaeleza ukweli mahali alipo mtoto wenu maisha yake yalikuwa hatarini kama jini yule angekuwa huru ivyo yapaswa mumuachie huru kwa kuwa kama si yeye msingepata akili ya kuja huku mumpe hela anayotaka kama mnayo...."
"tawile babu" wakaitika pamoja huku mzee chilo akiwaza yake kichwani.
"huyu mzee nuksi ndo maana mi siwaaminigi milioni 50..."
"usiniwazie vibaya mzee leo utatuamini tazama tv asilia tazama uone mahali alipo mwanenu tazamaaaaaaa"
Mzee CHILO alista ajabu kwa mawili kwanza uwezo wa yule mzee kusoma mawazo.akakaza macho yake katika kitambaa cheupe kutazama.
ghafla kama sinema katika kitambaa kile kukatokea picha.picha ilo onekana MKUTANO ULE wa hukumu ya jini HUSNAT na VERGAN
"mnaona? ila mmewai mimi ni mganga ndumbwendumbwele na uwezo wa kuwazuia na kuwaleta duniani hahahahaha ndumbwendumbwele! ashindw na kitu ni Uwezo MUNGU alonipa"
wakati kule jini maiti akinyanyua upanga wake huku NDUMBWENDUMBWELE alifanya mazingaumbwe sura ya jini maiti ikaivaa sura ya VERGAN.jini maiti akajiona na kusitisha zoezi lake
"ha ha ha ha ha mmewah mwanenu mngempoteza."
wazazi wale wawili walichoka.mganga akaanza kuimba akamchukua paka mweusi aloletewa na mfanyakaz wake akamchinja akamfyonza damu.ghafla akatoweka.alipo rudi wakarudi watatu JINI HUSNAT,VERGAN na NDUMBWE NDUMBWELE.PATASHIKA
"hawa wanapendana yapaswa waishi pamoja humu duniani kwa sababu huyu msichana atakiwi kwao tena.hahahaha" mganga yule aliongea huku akijitaidi kuwapatia ufa

********

Mganga alokuwa kiboko ya majini ukanda wote wa africa mashariki NDUMBWENDUMBWELE aliendelea na jitihada za kujaribu kurudisha fahamu za wateja wake ambao ni JINI HUSNAT na VERGAN kwa kuwamwagia maji ya bahari! ila hakukuwa na mabadiliko yeyote akagundua kitu ambacho akupenda akigundue lakini ndo ivyo alishakigundua KAZI ILIKUWA NI NGUMU ZAIDI YA ALIVYOTEGEMEA ilibidi/ilimlazimu hatumie "plan b" plani ambayo ilikuwa ni hatari kwa maisha yao kiujumla! njia ya kwenda kuwazamisha kabisa baharini! njia ambayo pia ingezirudisha nguvu za HUSNAT ambazo zingekuwa ni hatari! baada ya kuwaeleza hivyo wazazi wa VERGAN wakakubali waungane pamoja usiku huo kwenda baharini walimpenda sana mtoto wao WANGEJUA?!
.............
KATIKATI YA USIKU
UFUKWENI MWA BAHARI:
Hali ya hewa ilikuwa niya utulivu!,upepo mwanana ulipepea na kuleta ka upepo ka tamu kwa kubarizi!,mawimbi ya maji yalipiga taratibu na kuongeza ualisia wa ufukwe huo.eneo ilo la ufukwe katika usiku huo mnene lilitawaliwa na giza,giza ilo lilifanya kutisha kwa mandhari ya eneo hilo ila mtisho huo aukuwatisha viumbe saba walokuwa pembezoni mwa bahari wakifanya kilichowaleta.katika eneo hilo akukuwa na kiumbe kingine zaidi yao si wavuvi wala wanyama!,si ndege wala wadudu viumbe wale wote walijifunga kaniki nyeusi tiii! na walijichora usoni na mikaa walikuwa ni mganga

ndumbwendumbwele,alokuwa na hirizi kubwa ilokuwa ikipumua kifuani kwake akiivaa kama cheni shingoni,kichwani alijifunga kitambaa chekundu mkononi alishika usinga,pembeni yake walikwepo vijana wawili ambao mmoja alimshika njiwa mweusi tiii asiye na doa,mwingine alimshika paka mweusi mwenye macho ya njano alokuwa akilia muda wote.mama VERGAN alikuwa kashika kibuyu na kisu kikali na panga,mume wake alikuwa kashika nazi!,na mayai jini HUSNAT na VERGAN wenyewe awakushika kitu walibaki wamenata vilevile kama masanamu wakishangaa eneo moja palepale ufukweni vijana wale wakamchinja yule paka na damu yake wakaimimina katika kile kibuyu alichokishika mam

*********

Wakamchinja paka yule ambapo damu yake waliimimina katika kile kibuyu alichoshika mama vergan.walipomaliza wakamchinja na yule njiwa damu yake wakaichanganya na ya paka katika kile kibuyu wote wakachovya kidogo na kujipaka usoni,wakanywa na nyingine wakamwaga eneo la ardhi,baada ya kumaliza mganga NDUMBWENDUMBWELE akachukua maziwa na kufanya vilevile! wakanywa machache mengine akayamwaga palepale alipoimwaga damu.akachukua kisu na kujikata damu akaimiminia sehemu moja wote wakafatisha kwa zamu baada ya kumaliza kila mmoja kutoa damu yake kila mmoja akaonja ilobakia wakaimwaga palepale kama una moyo mwepesi usingeweza kunywa vile! ila wote walikuwa tayari! tayari kwa chochote MAAJABU!
cha ajabu zaidi pale walipojikata awakusikia maumivu yoyote wala jeraha! kaaah! huyo ndo alikuwa NDUMBWENDUMBWELE kiboko ya majini! baada ya kumwaga damu ile chini palepale alipomwaga damu,maziwa ghafla vikatoweka FADHAIKO
mganga akaachia cheko moja ishara ya ushindi
"ha! ha! ha! mizimu imekubali sadaka yetu sasa ni zamu ya kuwazamisha majini yani kama kuwabatiza jini HUSNAT akigusa maji ya kwao tu atarudiwa na fahamu! zake pamoja na nguvu zake alizonyanganywa na mfalme wake MUKRAHIYA ila VERGAN mpaka azamishwe kabisa katikati ya kina kirefu ivyo tutaanza na HUSNAT kama likitokea la kutokea awe msaada kwetu!"
"tawile babu" wote wakaitikia.
"mtanifata nyumanyuma"
aliongea mganga NDUMBWE akimvuta jini husnat!,jini yule akagoma! KIZAAZAA!
akamlazimisha lakini husnat hakuwa tayari! ni ishara mbaya,ni ishara ambayo kama angeijua asingemlazimisha ila usilolijua ni sawa na usiku wa giza.machoni mwa jini yule machozi yakaanza kumtiririka! machozi ya damu MAAJABU!
Tayari alishaiona hatari ilokuwa mbele yao.laiti kama wangegusa maji yale.mganga akujua yeye baada ya kuona husna anakataa! akachukua dawa flani na kumwagia husna KOSA!
husna akawa kama tahira akamtii mganga akamfata nyuma wakayasogelea maji katu mganga akujua hatari ilokuwa mbele yake na laiti kama angeijua!

********

Katu mganga akujua hatari ilokuwa mbele yao na laiti kama angelijua! wangelifata kile HUSNAT alichotaka lakini kila kiumbe MUNGU alikibarikia uwezo wake binafsi! wakasogea taratibu eneo lile la maji ile wanataka kuyakanyaga maji ukatokea mlipuko ulowarusha wote nyuma kwa ghafla muda huo huo hali ya hewa ikaanza kubadilika! ghafla! viumbe viwili virefu visivyo onekana mwisho wao miguuni wakiwa na kwato vikatoke KIMBEMBE!
Mganga ndumbwendumbwele akasimama akiwa tayari kwa lolote! viumbe vile taratibu vikaanza kufupika! vilikuwa ni viumbe vilivyotisha kichwani walikuwa na pembe mbili zilizochongoka!,kila kiumbe kilijaliwa jicho moja kubwa katikati ya paji la uso,jicho jekunduuu,lililowakawaka na lililotisha kwa aliangaliaye! walikuwa na meno mawili marefu yalochomoza nje ya kingo ya midomo yao,katika paji la uso juu ya jicho walikuwa na herufi 666,mikononi walikuwa na kucha ndefu zilizochongoka!,walicheka! kicheko icho kikawa ni maumivu kwa binadamu wale kasoro mganga na HUSNAT kwa sauti ya kukwaruza na yenye kitetemeshi wakasema:
"binadamu! mumeingia katika vita binadamu!!!" kila walipo ongea sauti ilijirudia mara mbili kama mwangwi.
"nyinyi ni nani na mnataka nini kwangu?" mganga NDUMBWE aliuliza kwa ukali!.upande wa kwa wazazi wa VERGAN walikuwa wakitetemeka kwa moyo wa kibinadamu awakupaswa wakione walichokiona!,walilala palepale chini waliporushwa bila kujitingisha wakitetemeka! ilikuwa ni kama wameambiwa walale vile.jini husnat alibaki ameduwaa!!! akujua kilichokuwa kinaendelea na mwenzake VERGAN wenyewe walikuwa nje ya ufahamu!,watumishi wawili walibaki wakitetemeka wakimwangalia kwa huruma bosi wao mganga NDUMBWE
"upaswi kutujua tunaitaji viumbe vyetu!" viumbe wale walizidi kuongea kwa sauti ya kitetemeshi!,sauti yenye mkwaruzo kama wa radi!.mganga NDUMBWE akaachia cheko! cheko la dharau! cheko la majidahi,cheko la kiburi na akafatiwa na maneno ambayo yaliwatiya hasira wale viumbe!
"nyie viumbe mlolaanika,viumbe wachafu...."

*******

"Nyie viumbe wachafu! mlolaaniwa mkalaanika naomba mfutike katika mbon4 ya macho yangu kabla sijawaangamiza!"
Viumbe vile vikazidi kukasirika midomo yao kwenye mashavu kukajaa! yamkini kulikuwa na kitu WAKAKITEMA kwa pamoja! lilikuwa ni kombora la moto ambalo liliungana pamoja na kumwendea kwa kasi mganga yule mganga akaliangalia kombora lile kwa dharau na kulionyeshea usinga wake! kombora lile likatoweka!...naye akaunyoosha mkono wake ukaanza kutema cheche mfululizo kama risasi zichomokapo katika bomba la bastola lenye bomba tatu! ukienda kwa kasi upande waliopo viumbe wale! lilikuwa ni tukio la ghafla! kimuyemuye kikazuka! madubwasha yale walijitaidi kujikinga bila mafanikio hatimaye wakatoweka! wakimwacha mganga akiwa kachoka kwa ile vita kali
"mumeona mimi hawaniwezi! mumeona mimi ni kiboko yao! mizimu ya kusini mashariki,kaskazini,magharibi yote ipo upande wangu hawaniwezi...."
mganga akaendelea kujisifu
"muchanganyiko wa damu mulokunywa imewasaidia!....mizimu imetulinda sasa tunaweza kuendelea kuwarudishia ufahamu...." aliongea mganga huku akimwangalia jini HUSNAT
"mamaa twende mama hatari ulokuwa unaiogopa imepita mamaa...."
HUSNA akamtupia tabasamu!,mwanya wake mdogo ukaonekana katika meno yake meupe! tabasamu lile ilikuwa ni tafsiri nzuri kwa mganga NDUMBWE NDUMBWELE,sasa Vergan na wazazi wake walibaki nchi kavu,woga mkuu ukiwatawala,kimbelembele cha kumfata mganga nyuma nyuma kilifutika kwenye maji waliigia wa nne mganga,JINI HUSNAT,na wasaidizi wake wawili!
kitendo cha jini yule kukanyaga maji yale ya bahari macho yake aliya angaza angani shoti zikitoka! NGUVU ZAKE ZILIKUWA ZINARUDI,nguvu zake za kijini bado mganga na wafuasi wake waliendelea kuimba,ghafla JINI HUSNAT machozi mfululizo yakaanza kumtoka machozi ya damu!!!
ilikuwa ni ishara ya maumivu tele katika moyo wake mdomo ukaanza kumtetemeka kwa hasira! mabega yakaanza kupanda juu,kilio hafifu kikasikika jini husnat alikuwa akilia,akiwalilia ndugu zake....kisasii

*******

Ilikuwa ni furaha kwa mganga NDUMBWENDUMBWELE
kufanikisha kwa kazi yake!,sasa kazi ilobakia ilikuwa ni ndogo tu kumrudishia ufahamu VERGAN,na kumtuliza husnat hasira zake,asilolijua mganga yule ni kwamba hasira za vergan haziwezi kuzuiliwa pasina kulipiza kisasi,kisasi kwa himaya yake ilousika na mauaji ya wazazi wake.kisasi kilichokuwa katikati ya moyo wake,mganga akambembeleza sana jini husnat watoke baada ya kumbembeleza sana jini husnat akatii!,wazazi wa VERGAN walimshangaa husnat baada ya kupata nguvu zake....
"asalam aleykum warahmatulah taghala wa barakat"
jini husnat aliamkia kwa kirefu huku macho yake yakiwa kwa VERGAN
"walekumussalam" wakaitika! jini husnat alikuwa ni binti mwenye heshima wazazi wa vergan walivutiwa na binti huyu! baada ya salamu mganga aliitaji kumchukua Vergan na kwenda kumzamisha baharini! lakini husnat alimkataza akamwaidi kumponya yeye mwenyewe akamwekea mkono kichwani na kumsomea baadhi ya aya za QURUAN kitabu kitakatifu! vergan akarudiwa na fahamu zake! WAKAKUMBATIANA kwa furaha!!!
wote kwa pamoja wakiwa na furaha katikati ya usiku huo wakarudi nyumbani kwa mganga wakiwa wamepona!!!
...............
MASAA MAWILI MBELE KATIKA USIKU HUO HUWO

Nyumba ya kifahari ya mganga ilikuwa ni kubwa ivyo VERGAN na mpenzi wake walipewa chumba chao na chilo na mke wake naye walipewa chumba chao,ilikuwa ni wakati wa wapenzi hawa kukumbushana enzi zao kila mmoja alikuwa na hamu na mwenzake,wakazama katika mahaba mazito...,mahaba yalopelekea kutungwa kwa mimba bila wenyewe kwa muda huo kuelewa.mwisho wa mahaba yale kutokana na uchovu VERGAN alilala usingizi mzito,hali ilikuwa ni tofauti kwa JINI HUSNAT,usingizi aukutaka kumchukua mawazo ya hasira,chuki na kisasi vikimtawala akaamka kwa lengo kuu.....
lengo la kurudi kwao ujinini usiku huo huo kwa kazi moja tu ya KULIPIZA KISASI!
hasira zake kwa sasa azikuzuilika! wakati akijiandaa kutoweka ghafla likatokea asilotegemea,lililovunja mawazo yake yote na kumuweka katika

**********

Wakati jini HUSNAT akijiandaa kwa tendo lile la kutoweka! ghafla akatokea mvulana mzuri,mvulana wa kiarabu alovaa kanzu nzuri ambayo hata HUSNA mwenyewe alibaki akiikodolea macho kwa uzuri wake,kichwani alijifunga kilemba.alipendeza aswaaa!,mkononi,mkono wa kushoto alishka tasbih,na wakulia alishka ule msahafu mdogo(quran tukufu) wenye zipu,usoni alikuwa akiwakawaka katika paji la uso wake katika (singda) nuru.
"asalam aleykum warhamattulah taghala wa barakatu!"
"waleykumussalam warhamattulah taghala wa barakat"
alisalimia kijana yule alozuka ghafla maeneo yale.naye jini HUSNAT akaitikia huku akijistiri unywele wake ulofika mgongoni kwa kujifunga ushungi.yule mkaka akatabasamu kidogo meno yake ya dhahabu yalopangwa vyema katika mdogo wake na kumuongezea uzuri yakaonekana!
"mimi ni malaika!,mjumbe wa ALLAH!,nimetumwa kwako iwe kiumbe wake,mateso makali umepata!,umepoteza wazazi wako!,na unaitaji kulipiza,mwenye kutoa HUKUMU ni ALLAH pekee na si binadamu wala nyinyi majini!....samehe ndo NUSRAT kwako jini kuolewa/kumuoa binadamu MUNGU amekataza ila amenituma kwa kuwa mmependana muda mrefu...ruksa kuoana na sasa tumboni mna kiumbe....msilimishe kijana mfunge ndoa japo itabaki kuwa siri kwa baadhi ya watu kuwa wewe si binadamu ila wengi wao watawatambua kama nyote ni binadamu na utaishi kama binadamu japo utakuwa ng nguvu zako mengine ALLAH YAGHALAM,MUNGU mjuvi wa mengi muwe na maisha mema."
malaika yule akatoweka!
hasira ya jini HUSNAT kama barafu ikatoweka ghafla vergan akashtuka kumbe ndotoni alimwona malaika yule na ujumbe ule alipotoweka naye ndo akazinduka.wakaangaliana kwa tabasamu
"nimefrah umenibebea kiumbe!"
"mmh umejuaje?!" HUSNAT kwa sauti ya kimahaba akamuoji
"nisha anza kuwa na uwezo kama wako!" Vergan alitania
"maishaaa!!!" JINI HUSNAT alimdhihaki
"uamini sasa?"
"nnachotaka usilimu!"
"ungependa niitwe jina gani?"
"ningependa uitwe OMARI"
"mh kwa nini?"
"ni jina la baba yangu"
"sawa kipenz cha moyo mama NUSRAT....."

********

"Waooh umejuaje mama yangu anaitwa NUSRAT?!"
"ni malaika alokutokea kakwambia uwasamehe viumbe wenzako ndo NUSRAT kwako basi kama mwanangu akizaliwa wa kike aitwe NUSRAT!"
"waoooh! na pia nusrat ndo jina la mama yangu! ila je akizaliwa wa kiume aitwe nani?"
"ataitwa ZULUWALAD ili tuwapunguzishe hasira majini wenzako kwa kutambua bado tunawajali"
"mh! basi sawa mume wangu tulale sasa...." wakalala wakiwa wamekumbatiana.
............
Asubuhi walipewa ruksa na mganga ndumbwendumbwele ambapo kabla awajaelekea nyumbani walielekea msikitini! ambapo JOHN VERGAN alisilimu na kuitwa OMARY,siku chache badaye kharusi kubwa ilifungwa,OMARY na HUSNAT wakaishi kwa amani,kharusi iloacha gumzo nchini TANZANIA na hata chini ya bahari ujinini wakarudi kwenye nyumba yao ya kifahari wakimsubiria kijacho......
...........
Jini mkuu MUKRAHIYA baba yake ZULUWALAD hasira zilimpanda sana aliamua sasa kwenda duniani na walinzi wake kwa lengo moja tu! kumuangamiza OMARY na JINI HUSNAT cha ajabu walipoifikia nyumba ya JINI HUSNAT walikuta bahari nyumba awakuiona walipojaribu kuisogelea waligundua maji yake yalikuwa yakichemka! wakahamua vitavyao waviamishie kazini.nako mambo yalikuwa hivyo vivyo! walipowatafuta wabaya wao katika salelaiti zao awakuona kitu zaidi ya moto! ambayo kwao ni ishara mbaya,wakaleta waganga na waganguzi hali ikawa ile ile MUNGU ni mweza wa kila kitu aliwalinda Kina omary na husnat bila wao wenyewe kujijua.majini wabaya wakaachana nao.....wakakubali kushindwa.

MWISHO ............ TOA MAONI


CHANZO : BURE SERIES
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom