Pamoja na kuwa ccm wametuma watu wao wapige kura mara tatu bado haijasaidia!
God is on our side no one can be against us!
Wataaibika na Huyo mganga wao wa jadi!
Huko ndio kawaida yake huwa kuna ushindani mkali miaka yote, mambo bado yanaendelea subirini matokeo yote Dr.(PhD) atamzidi dokta Mkwere zaidi ya nusu ya kura zote...