Tulia mlimwambia MNA shida ya barabara au marathoni na ngoma za asili?Hata huku Ghana, barabara mashimo matupu.
Serikali ichukue hatua.
Yaani ni shida tupu.Hata huku Ghana, barabara mashimo matupu.
Serikali ichukue hatua.
Hakuna kitu anafanya kwa Jimbo hili zaidi ya mambo yasiyoeleweka.!!Tulia mlimwambia MNA shida ya barabara au marathoni na ngoma za asili?
Maana anaenda kinyumenyume lazima ajue vipaumbele vya wananchi wake.
Ghana, Sokomatola na Forest ya zamani ni mitaa iliyopangika vizuri hapo shida ni barabara tu!
Kwa kweli Tulia ana kibarua kigumu kuwaridhisha wananchi wa Mbeya.Hata huwa sielewi hivi Tulia alipitaje pitaje maana mambo hayaeleweki huko isyesye nilitereza pale kwenye dimbwi baada ya kushuka kamteremko na mvua ilikuwa imepiga balaa na nilikuwa nimeulambia uzuri wake ilikuwa kigiza giza
Kikweli Kwa barabara za mitaa mbeya ipo nyuma Sana nadhani shida Ni plan zao tu kuwa waanze na kipi wamalize na kipi mfano miji ya makambako na njombe sehemu kubwa ya mitaa yao Ni lamiPamoja na Jiji kuwa na makusanyo mengi ya Kodi lakini ni Jiji ambalo liko nyuma kwa upande wa barabara za mitaa!
Mitaa ya zamani kama Mwanjelwa, Nzovwe, Soweto, Uyole barabara hakuna ni mashimo tu.
Mitaa mipya ambayo wakati mwingine imepimwa na viwanja kuuzwa na Jiji hakuna hata barabara nzuri za kukufikisha huko.
Mitaa ya Isyesye na Itezi Ina zaidi ya miaka 10 watu Wana makazi huko lakini hakuna hata miundombinu ya barabara. Ni mashimo tu.
Jiji linashindwa miundombinu hata na Halmashauri za miji midogo.
Mfano Njombe na Makambako Wana barabara nzuri za lami za mitaa.
Hawa mbeya Jiji huwa wanajadili Nini kwenye bajeti zao za miundombinu?
Viwanja wanavyopima na kuwauzia wananchi wanataka Nani atengeneze barabara za kuwafikisha wananchi kwenye hayo makazi?
Baraza la madiwani nao wanafurahia adha hizi za wananchi?
Huko sio kipaumbelePamoja na Jiji kuwa na makusanyo mengi ya Kodi lakini ni Jiji ambalo liko nyuma kwa upande wa barabara za mitaa!
Mitaa ya zamani kama Mwanjelwa, Nzovwe, Soweto, Uyole barabara hakuna ni mashimo tu.
Mitaa mipya ambayo wakati mwingine imepimwa na viwanja kuuzwa na Jiji hakuna hata barabara nzuri za kukufikisha huko.
Mitaa ya Isyesye na Itezi Ina zaidi ya miaka 10 watu Wana makazi huko lakini hakuna hata miundombinu ya barabara. Ni mashimo tu.
Jiji linashindwa miundombinu hata na Halmashauri za miji midogo.
Mfano Njombe na Makambako Wana barabara nzuri za lami za mitaa.
Hawa mbeya Jiji huwa wanajadili Nini kwenye bajeti zao za miundombinu?
Viwanja wanavyopima na kuwauzia wananchi wanataka Nani atengeneze barabara za kuwafikisha wananchi kwenye hayo makazi?
Baraza la madiwani nao wanafurahia adha hizi za wananchi?
Sugu alikaa miaka 10, angekaa mingapi ndiyo ajenge barabara?Mlimkataa Sugu mkachagua Ngongoti.
Yeye kazi kuwaandalia Marathon na ngoma za asili.
Umeona eeeh yaan inapita lami inatembea nayo hakuna at nyumba ni vichaka Ila eneo planned na limewekewa lami tena ya kiwango,nilishawahi kupita Barabara nikaogopa maana siona kama gari zinapita ila lami na Kwa mbele nakuta vichaka vimeziba Barabara hyo ya lami Kwa kuwa haipitiwi na watu duuh nikasema kweli serikali imepania DODOMAYaani ni shida tupu.
Jiji wamekaa wanategemea bara Bara moja ya Tanzam.
Na hivi inajengwa njia nne ndio hicho unakuta nao wanajivunia.
Yaani wanasubiri bara Bara ya SADC.
Wameshindwa kuplan hata njia za bajaji Jiji limekuwa kero.
Mbeya ukiwa mgeni huwezi kuendesha gari.
Miji mingine mikubwa imeboresha Sana barabara za mitaa zimeboreshwa na nzuri.
Arusha, iringa, Moshi nk.
Dodoma ndio Kuna barabara hata sehemu ambazo ni planned tu watu hawajajenga