Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,339
- 7,547
- Thread starter
- #161
InshallahYote mipango ya Mungu.
![](http://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji2969.png)
InshallahYote mipango ya Mungu.
Asante mkuu kwa kusignify hili jambo. 🙏🤝Miamala kama hiyo inatakiwa iende kwa mama yako au mke wa ndoa.
Mwanaume ndio anatakiwa awe provider mkuuHuu utaratibu ukiwa two ways street mtafurahia wote wala hamtochokana.
This is for boys and not men, hu!Ngoja wanaume wakware waje hapa na kasi ya kimbunga....😹
Yes kazi kwelikweli kwasababu wewe ni mwanamke "Muhitaji wa kulelewa" nami ni mwanaume "Mwenye mzigo wa kulea" so lazima uvutie kwenye mteremko ila nasema nitakulea kwa kuwekana wazi, sijakataa kujiongeza kupo ila si kwa hatua ya mleta mada Amicus Curiae
Mm kutokana na approch yangu kwa mademu ya upole na full time care hujikuta wanashindwa kuniomba hela .Basi hulazimika kutumia hii sana .yaan huwa najiweka karibu na mwanamke wangu nijue issues zake kisha nakisia huyu ana shida na laki 3 .naamka tu namtumia laki 3.5 namwambia "bby najua mi sio tajiri ila naomba uipunguzie ulipokwama,love u "
Ahsante sana aise nilikuwa sina kitu mfukoni umeshamtumia sasa amenipigia tukaenjooooy! Message yake hii hapa
Millie: Babe, Uko wapi? Yule bwege ninayemkamua kashatuma laki mbili nataka nije uni**** mpaka niridhike.Hotel ileile ya siku ile
Mimi: Usijali babe, On my way
Wacha weeeeee.....This is for boys and not men, hu!
Nobody caresKinachonifurahisha ni kwamba, hawa mnaowapa pesa na kuwalipia kodi ndio wanaotutunuku bure huku mitaani.
Binti mmepanga sehemu moja anashushwa na Prado Ila baada ya dk 20 anakwambia ameboeka uende chumbani kwake umpe kampani![]()
Unatudanganya mkuu.Mama anapata zaidi ya hii.
Bado sijaoa.
Jidanganye, hao viumbe hata uwape roho yako, kuna siku watakupiga tukio la karne utabakia umeduwaa.
Asante sana naisubiria mkuuFriend of Court nina zawadi yako ya pekee
Your opinion is not my reality, mkuu.Unatudanganya mkuu.
Hapa unatafuta likes za wanawake tu na utafanikiwa kuwadanganya ila sio sisi watu wazima na midevu yetu.
AiseeUnapata hela kimagendo magendo, easy money..
Unataka kutufunza matumizi.ya hovyo sisi tunao hangaikia hela kwa jasho na damu.
Wswe honga tu mkuu ila kaa ukijua atazoea hiyo style yako akishazoea utamzaidia kutumia hela yako kuwahonga aanaume marijali na wahuni wanaomsugua hadi anahama kitandani anaanguka chini sakafuni pwaaah .
Hamna kasiriko it's okMbona makasiriko tena![]()