Jifunze kubet kwenye Basketball, ni afadhali sanaa kuliko Football

haya kuna mwenye utata, maelekezo, shida, maboresho na kujurishwa... nimerudi, mie ndio nilieuleta huu uzi mwaka jana.... nashukuru watu wengi nimewafundisha na kuwaelekeza vingi leo wana enjoy tu kivyao. karibuni.
Mbona tumeweka namba za simu lakini hatujaungwa mpaka leo
 
Usipende kutumia Biko Sport kubeti ni wahuni tuu. Jaribu Premier au mkeka bet....Hata M bet wababaishaji kwenye kuthibitisha tiketi. Boxing day ilikuwa mavuno haswaaa.
Unaweza kubet online pia kama biko sports na sports pesa?
 
haya kuna mwenye utata, maelekezo, shida, maboresho na kujurishwa... nimerudi, mie ndio nilieuleta huu uzi mwaka jana.... nashukuru watu wengi nimewafundisha na kuwaelekeza vingi leo wana enjoy tu kivyao. karibuni.
Mwanang unayumb ww mbn me hujaniwek kweny group lako la wasap..

Dah nalostika sanaaaass
 
Kampuni gani nzuti ya kubet basketbal?
Na mwenye group la uchambuzi plz tushirikiane huko
 
Safi Sana mzee baba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ebhana huu uzi bado upo? za siku nyingi, nimerudi rasmi, kuna mwenye swali au anaehitaji maelekezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…