Jicho la ndani: Sababu za kitaalamu za kushindwa kwa CHADEMA na UKAWA katika uchaguzi mdogo

ALWATAN KIZIGO

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
539
644
Na

Augustino Chiwinga.


•KUMSHAMBULIA RAIS MAGUFULI.

Hii ndio sababu kubwa iliyopelekea CHADEMA na UKAWA kushindwa vibaya katika uchaguzi huu.Walidhani kwamba kumshambulia Rais kwa kumuita dikteta na mbinyaji demokrasia kungesaidia kumdhoofisha kwa wananchi.Wananchi hawauoni udikteta wa Rais Magufuli , unaposema Rais dikteta wananchi wanapata picha ya kina Hitler na Mussolini au Idd Amin kitu ambacho kwa Rais Magufuli hakipo kabisa.Matokeo yake wakaonekana kua ni wababaishaji tu wa kisiasa mbele ya macho ya wananchi.

Katika mikutano yao walimaliza muda na nguvu zao nyingi kumshambulia Rais Dr.Magufuli kwa maneno ya kebehi pasi na kujua kwamba wananchi wanamkubali na kuridhishwa na utendaji kazi wake uliotukuka .

Katika hili they missed a point!

•KUTOKUA NA AJENDA.

Kwenye kila mkutano wa kampeni walikua hawana ajenda ya kueleweka ya kuwaeleza wananchi.


Walikua wanarukia rukia ajenda moja baada ya nyingine mara njaa mara demokrasia mara Rais mbabe nk.

Walijikita katika kukejeli na kubeza zaidi badala ya kuongea ajenda zenye mantiki kwa wananchi Mathalani mikutano yao katika kata za Mateves na Ngarenanyuki walitumia muda mrefu kuelezea kuhusu kesi ya Lema na kusahau ajenda za wananchi, tofauti na CCM ambao walikua na ajenda zilizopangiliwa vyema zikigusa moja kwa moja matatizo na kero za wananchi.

Wananchi hawakuwaelewa kabisa CHADEMA!


•KUMTUMIA MZEE LOWASSA.

Hapa ndipo penye kosa kubwa la kiufundi lilipofanyika.

Mzee Lowassa katika mikutano ya udiwani alikua anajipigia yeye kampeni za urais.Mfano ni alipokua katika mkutano mmoja kule Kahama na Geita alisema anaomba wananchi wampigie kura awe rais kabla hajashtuliwa na wasaidizi wake kwamba huu sio uchaguzi wa Urais ndipo akamuombea kura Diwani wa CHADEMA.

Lowassa alitumia fursa hii kujijenga yeye binafsi katika mbio zake za kuwania urais 2020 badala ya kukijenga chama na wagombea wake.

Haikuzaa matunda!


•MPASUKO NDANI YA CHADEMA.

Ukweli ulio wazi ni kwamba kuna mpasuko mkubwa sana ndani ya CHADEMA unaoendelea na ambao kwa kiasi kikubwa umekigharimu chama hiko.

Tukianzia kwenye uteuzi wa wabunge wa viti maalumu ambao ulifanywa kwa upendeleo na ubabe kwa kuwateua wasiostahili na kuwaacha wanaostahili kwa hakika uliacha majeraha na maumivu makubwa ambayo yamechangia kukiangusha chama hiko katika uchaguzi huu mdogo.

Pia kuibuka kwa makundi kama vile kizazi cha kuhoji ni matokeo ya mpasuko huo ndani ya Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) .Hili ni kundi lilikosana na uongozi wa juu wa BAVICHA ndio maana wakaamua kuunda "BAVICHA" yao ndogo na wakaipa jina la kizazi cha kuhoji Tanzania kwa minajili ya kupambana na uongozi wa BAVICHA taifa.


Pia ndani ya chama hicho kuna makundi matatu,

1)CHADEMA BIASHARA (Mbowe na wenzie)

2)CHADEMA WAKUJA (Lowassa na aliohama nao)

3)CHADEMA ASILI (John Mnyika, Halima Mdee na wenzake)

Vita ya makundi haya matatu si ndogo wote wanawania kushika hatamu katika uchaguzi mkuu wa chama hicho mwaka 2019 .Hatua ya Ole Sosopi kukatwa katika kuwania nafasi ya uenyekiti kanda ya Nyasa ni matokeo ya vita hii na kushughulikiana huku kila kundi likidhamiria kulidhoofisha kundi moja ili kujiweka mguu sawa katika uchaguzi wa ndani mwaka 2019.


•UTENDAJI WA VIWANGO WA RAIS MAGUFULI.

Pasi na kupepesa macho utendaji wa viwango wa Rais Magufuli umeendeleea kuwakosha wanachi .Vita dhidi ya Rushwa, nidhamu kwa watumishi wa Umma utoaji wa elimu bure ununuaji wa ndege , kubana matumizi nk.ni mojawapo ya mambo ambayo yameendelea kumuweka juu Mh Rais Dr.Magufuli kwa watanzania.

Hivyo kampeni zote za njaa ,sukari UKUTA KATA FUNUA propaganda zote za mitandaoni za CHADEMA zimebuma kutokana na kutoaminiwa tena na wananchi kwa undumilakuwili wao wa kumpokea fisadi na kumpamba. Wananchi wameamua kuwapotezea na kuamua kuungana na Rais wao katika Sera yake ya Hapa Kazi tu kwa kuchapa kazi na kutowasikiliza Chadema nini wanachokisema.

Rais Magufuli bado ameendelea kubeba matumaini ya wanyonge na maskini wa Tanzania akitekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi kwa kasi na umahiri mkubwa.

Augustino chiwinga.
 
Na

Augustino Chiwinga.


•KUMSHAMBULIA RAIS MAGUFULI.

Hii ndio sababu kubwa iliyopelekea CHADEMA na UKAWA kushindwa vibaya katika uchaguzi huu.Walidhani kwamba kumshambulia Rais kwa kumuita dikteta na mbinyaji demokrasia kungesaidia kumdhoofisha kwa wananchi.Wananchi hawauoni udikteta wa Rais Magufuli , unaposema Rais dikteta wananchi wanapata picha ya kina Hitler na Mussolini au Idd Amin kitu ambacho kwa Rais Magufuli hakipo kabisa.Matokeo yake wakaonekana kua ni wababaishaji tu wa kisiasa mbele ya macho ya wananchi.

Katika mikutano yao walimaliza muda na nguvu zao nyingi kumshambulia Rais Dr.Magufuli kwa maneno ya kebehi pasi na kujua kwamba wananchi wanamkubali na kuridhishwa na utendaji kazi wake uliotukuka .

Katika hili they missed a point!

•KUTOKUA NA AJENDA.

Kwenye kila mkutano wa kampeni walikua hawana ajenda ya kueleweka ya kuwaeleza wananchi.


Walikua wanarukia rukia ajenda moja baada ya nyingine mara njaa mara demokrasia mara Rais mbabe nk.

Walijikita katika kukejeli na kubeza zaidi badala ya kuongea ajenda zenye mantiki kwa wananchi Mathalani mikutano yao katika kata za Mateves na Ngarenanyuki walitumia muda mrefu kuelezea kuhusu kesi ya Lema na kusahau ajenda za wananchi, tofauti na CCM ambao walikua na ajenda zilizopangiliwa vyema zikigusa moja kwa moja matatizo na kero za wananchi.

Wananchi hawakuwaelewa kabisa CHADEMA!


•KUMTUMIA MZEE LOWASSA.

Hapa ndipo penye kosa kubwa la kiufundi lilipofanyika.

Mzee Lowassa katika mikutano ya udiwani alikua anajipigia yeye kampeni za urais.Mfano ni alipokua katika mkutano mmoja kule Kahama na Geita alisema anaomba wananchi wampigie kura awe rais kabla hajashtuliwa na wasaidizi wake kwamba huu sio uchaguzi wa Urais ndipo akamuombea kura Diwani wa CHADEMA.

Lowassa alitumia fursa hii kujijenga yeye binafsi katika mbio zake za kuwania urais 2020 badala ya kukijenga chama na wagombea wake.

Haikuzaa matunda!


•MPASUKO NDANI YA CHADEMA.

Ukweli ulio wazi ni kwamba kuna mpasuko mkubwa sana ndani ya CHADEMA unaoendelea na ambao kwa kiasi kikubwa umekigharimu chama hiko.

Tukianzia kwenye uteuzi wa wabunge wa viti maalumu ambao ulifanywa kwa upendeleo na ubabe kwa kuwateua wasiostahili na kuwaacha wanaostahili kwa hakika uliacha majeraha na maumivu makubwa ambayo yamechangia kukiangusha chama hiko katika uchaguzi huu mdogo.

Pia kuibuka kwa makundi kama vile kizazi cha kuhoji ni matokeo ya mpasuko huo ndani ya Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) .Hili ni kundi lilikosana na uongozi wa juu wa BAVICHA ndio maana wakaamua kuunda "BAVICHA" yao ndogo na wakaipa jina la kizazi cha kuhoji Tanzania kwa minajili ya kupambana na uongozi wa BAVICHA taifa.


Pia ndani ya chama hicho kuna makundi matatu,

1)CHADEMA BIASHARA (Mbowe na wenzie)

2)CHADEMA WAKUJA (Lowassa na aliohama nao)

3)CHADEMA ASILI (John Mnyika, Halima Mdee na wenzake)

Vita ya makundi haya matatu si ndogo wote wanawania kushika hatamu katika uchaguzi mkuu wa chama hicho mwaka 2019 .Hatua ya Ole Sosopi kukatwa katika kuwania nafasi ya uenyekiti kanda ya Nyasa ni matokeo ya vita hii na kushughulikiana huku kila kundi likidhamiria kulidhoofisha kundi moja ili kujiweka mguu sawa katika uchaguzi wa ndani mwaka 2019.


•UTENDAJI WA VIWANGO WA RAIS MAGUFULI.

Pasi na kupepesa macho utendaji wa viwango wa Rais Magufuli umeendeleea kuwakosha wanachi .Vita dhidi ya Rushwa, nidhamu kwa watumishi wa Umma utoaji wa elimu bure ununuaji wa ndege , kubana matumizi nk.ni mojawapo ya mambo ambayo yameendelea kumuweka juu Mh Rais Dr.Magufuli kwa watanzania.

Hivyo kampeni zote za njaa ,sukari UKUTA KATA FUNUA propaganda zote za mitandaoni za CHADEMA zimebuma kutokana na kutoaminiwa tena na wananchi kwa undumilakuwili wao wa kumpokea fisadi na kumpamba. Wananchi wameamua kuwapotezea na kuamua kuungana na Rais wao katika Sera yake ya Hapa Kazi tu kwa kuchapa kazi na kutowasikiliza Chadema nini wanachokisema.

Rais Magufuli bado ameendelea kubeba matumaini ya wanyonge na maskini wa Tanzania akitekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi kwa kasi na umahiri mkubwa.

Augustino chiwinga.
Mmezuia mikutano ya kisiasa mwaka mzima hawajaona hta mwenyekiti wa chadema kata ya kijichi kapanda jukwaani then mkishinda mnakuja hapa kujisifia?? Shame on u
Huyo anayekubalika si aruhusu demokrasia na tume huru ndio ajue ukweli wa mambo sio kumpamba hapa kana kwamba hana mbadala
 
Na

Augustino Chiwinga.


•KUMSHAMBULIA RAIS MAGUFULI.

Hii ndio sababu kubwa iliyopelekea CHADEMA na UKAWA kushindwa vibaya katika uchaguzi huu.Walidhani kwamba kumshambulia Rais kwa kumuita dikteta na mbinyaji demokrasia kungesaidia kumdhoofisha kwa wananchi.Wananchi hawauoni udikteta wa Rais Magufuli , unaposema Rais dikteta wananchi wanapata picha ya kina Hitler na Mussolini au Idd Amin kitu ambacho kwa Rais Magufuli hakipo kabisa.Matokeo yake wakaonekana kua ni wababaishaji tu wa kisiasa mbele ya macho ya wananchi.

Katika mikutano yao walimaliza muda na nguvu zao nyingi kumshambulia Rais Dr.Magufuli kwa maneno ya kebehi pasi na kujua kwamba wananchi wanamkubali na kuridhishwa na utendaji kazi wake uliotukuka .

Katika hili they missed a point!

•KUTOKUA NA AJENDA.

Kwenye kila mkutano wa kampeni walikua hawana ajenda ya kueleweka ya kuwaeleza wananchi.


Walikua wanarukia rukia ajenda moja baada ya nyingine mara njaa mara demokrasia mara Rais mbabe nk.

Walijikita katika kukejeli na kubeza zaidi badala ya kuongea ajenda zenye mantiki kwa wananchi Mathalani mikutano yao katika kata za Mateves na Ngarenanyuki walitumia muda mrefu kuelezea kuhusu kesi ya Lema na kusahau ajenda za wananchi, tofauti na CCM ambao walikua na ajenda zilizopangiliwa vyema zikigusa moja kwa moja matatizo na kero za wananchi.

Wananchi hawakuwaelewa kabisa CHADEMA!


•KUMTUMIA MZEE LOWASSA.

Hapa ndipo penye kosa kubwa la kiufundi lilipofanyika.

Mzee Lowassa katika mikutano ya udiwani alikua anajipigia yeye kampeni za urais.Mfano ni alipokua katika mkutano mmoja kule Kahama na Geita alisema anaomba wananchi wampigie kura awe rais kabla hajashtuliwa na wasaidizi wake kwamba huu sio uchaguzi wa Urais ndipo akamuombea kura Diwani wa CHADEMA.

Lowassa alitumia fursa hii kujijenga yeye binafsi katika mbio zake za kuwania urais 2020 badala ya kukijenga chama na wagombea wake.

Haikuzaa matunda!


•MPASUKO NDANI YA CHADEMA.

Ukweli ulio wazi ni kwamba kuna mpasuko mkubwa sana ndani ya CHADEMA unaoendelea na ambao kwa kiasi kikubwa umekigharimu chama hiko.

Tukianzia kwenye uteuzi wa wabunge wa viti maalumu ambao ulifanywa kwa upendeleo na ubabe kwa kuwateua wasiostahili na kuwaacha wanaostahili kwa hakika uliacha majeraha na maumivu makubwa ambayo yamechangia kukiangusha chama hiko katika uchaguzi huu mdogo.

Pia kuibuka kwa makundi kama vile kizazi cha kuhoji ni matokeo ya mpasuko huo ndani ya Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) .Hili ni kundi lilikosana na uongozi wa juu wa BAVICHA ndio maana wakaamua kuunda "BAVICHA" yao ndogo na wakaipa jina la kizazi cha kuhoji Tanzania kwa minajili ya kupambana na uongozi wa BAVICHA taifa.


Pia ndani ya chama hicho kuna makundi matatu,

1)CHADEMA BIASHARA (Mbowe na wenzie)

2)CHADEMA WAKUJA (Lowassa na aliohama nao)

3)CHADEMA ASILI (John Mnyika, Halima Mdee na wenzake)

Vita ya makundi haya matatu si ndogo wote wanawania kushika hatamu katika uchaguzi mkuu wa chama hicho mwaka 2019 .Hatua ya Ole Sosopi kukatwa katika kuwania nafasi ya uenyekiti kanda ya Nyasa ni matokeo ya vita hii na kushughulikiana huku kila kundi likidhamiria kulidhoofisha kundi moja ili kujiweka mguu sawa katika uchaguzi wa ndani mwaka 2019.


•UTENDAJI WA VIWANGO WA RAIS MAGUFULI.

Pasi na kupepesa macho utendaji wa viwango wa Rais Magufuli umeendeleea kuwakosha wanachi .Vita dhidi ya Rushwa, nidhamu kwa watumishi wa Umma utoaji wa elimu bure ununuaji wa ndege , kubana matumizi nk.ni mojawapo ya mambo ambayo yameendelea kumuweka juu Mh Rais Dr.Magufuli kwa watanzania.

Hivyo kampeni zote za njaa ,sukari UKUTA KATA FUNUA propaganda zote za mitandaoni za CHADEMA zimebuma kutokana na kutoaminiwa tena na wananchi kwa undumilakuwili wao wa kumpokea fisadi na kumpamba. Wananchi wameamua kuwapotezea na kuamua kuungana na Rais wao katika Sera yake ya Hapa Kazi tu kwa kuchapa kazi na kutowasikiliza Chadema nini wanachokisema.

Rais Magufuli bado ameendelea kubeba matumaini ya wanyonge na maskini wa Tanzania akitekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi kwa kasi na umahiri mkubwa.

Augustino chiwinga.

Niliwahi kusema siku za nyuma kwamba kwa jinsi hali ya nchi ilipofikia, huwezi kuwa na akili timamu ukashabikia matendo yanayofanywa na watawala ikiwemo CCM
 
Ccm mbele kwa mbele
Hapo juu kaitaja ccm?? Zaidi ya kumoamba magufuli tu....ccm watu wameshaichoka na hta huyo magu popularity yake ya mwaka 2016 mwanzoni ni tofauti na ya sasa.... nguvu imepungua sana mkibisha its ok ila huo ndo ukweli sasa mkiendelea kumpamba huku jua linazama mtakuja kushtuka 2020 imefika hakuna la maana mlilofanya
 
Na

Augustino Chiwinga.


•KUMSHAMBULIA RAIS MAGUFULI.

Hii ndio sababu kubwa iliyopelekea CHADEMA na UKAWA kushindwa vibaya katika uchaguzi huu.Walidhani kwamba kumshambulia Rais kwa kumuita dikteta na mbinyaji demokrasia kungesaidia kumdhoofisha kwa wananchi.Wananchi hawauoni udikteta wa Rais Magufuli , unaposema Rais dikteta wananchi wanapata picha ya kina Hitler na Mussolini au Idd Amin kitu ambacho kwa Rais Magufuli hakipo kabisa.Matokeo yake wakaonekana kua ni wababaishaji tu wa kisiasa mbele ya macho ya wananchi.

Katika mikutano yao walimaliza muda na nguvu zao nyingi kumshambulia Rais Dr.Magufuli kwa maneno ya kebehi pasi na kujua kwamba wananchi wanamkubali na kuridhishwa na utendaji kazi wake uliotukuka .

Katika hili they missed a point!

•KUTOKUA NA AJENDA.

Kwenye kila mkutano wa kampeni walikua hawana ajenda ya kueleweka ya kuwaeleza wananchi.


Walikua wanarukia rukia ajenda moja baada ya nyingine mara njaa mara demokrasia mara Rais mbabe nk.

Walijikita katika kukejeli na kubeza zaidi badala ya kuongea ajenda zenye mantiki kwa wananchi Mathalani mikutano yao katika kata za Mateves na Ngarenanyuki walitumia muda mrefu kuelezea kuhusu kesi ya Lema na kusahau ajenda za wananchi, tofauti na CCM ambao walikua na ajenda zilizopangiliwa vyema zikigusa moja kwa moja matatizo na kero za wananchi.

Wananchi hawakuwaelewa kabisa CHADEMA!


•KUMTUMIA MZEE LOWASSA.

Hapa ndipo penye kosa kubwa la kiufundi lilipofanyika.

Mzee Lowassa katika mikutano ya udiwani alikua anajipigia yeye kampeni za urais.Mfano ni alipokua katika mkutano mmoja kule Kahama na Geita alisema anaomba wananchi wampigie kura awe rais kabla hajashtuliwa na wasaidizi wake kwamba huu sio uchaguzi wa Urais ndipo akamuombea kura Diwani wa CHADEMA.

Lowassa alitumia fursa hii kujijenga yeye binafsi katika mbio zake za kuwania urais 2020 badala ya kukijenga chama na wagombea wake.

Haikuzaa matunda!


•MPASUKO NDANI YA CHADEMA.

Ukweli ulio wazi ni kwamba kuna mpasuko mkubwa sana ndani ya CHADEMA unaoendelea na ambao kwa kiasi kikubwa umekigharimu chama hiko.

Tukianzia kwenye uteuzi wa wabunge wa viti maalumu ambao ulifanywa kwa upendeleo na ubabe kwa kuwateua wasiostahili na kuwaacha wanaostahili kwa hakika uliacha majeraha na maumivu makubwa ambayo yamechangia kukiangusha chama hiko katika uchaguzi huu mdogo.

Pia kuibuka kwa makundi kama vile kizazi cha kuhoji ni matokeo ya mpasuko huo ndani ya Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) .Hili ni kundi lilikosana na uongozi wa juu wa BAVICHA ndio maana wakaamua kuunda "BAVICHA" yao ndogo na wakaipa jina la kizazi cha kuhoji Tanzania kwa minajili ya kupambana na uongozi wa BAVICHA taifa.


Pia ndani ya chama hicho kuna makundi matatu,

1)CHADEMA BIASHARA (Mbowe na wenzie)

2)CHADEMA WAKUJA (Lowassa na aliohama nao)

3)CHADEMA ASILI (John Mnyika, Halima Mdee na wenzake)

Vita ya makundi haya matatu si ndogo wote wanawania kushika hatamu katika uchaguzi mkuu wa chama hicho mwaka 2019 .Hatua ya Ole Sosopi kukatwa katika kuwania nafasi ya uenyekiti kanda ya Nyasa ni matokeo ya vita hii na kushughulikiana huku kila kundi likidhamiria kulidhoofisha kundi moja ili kujiweka mguu sawa katika uchaguzi wa ndani mwaka 2019.


•UTENDAJI WA VIWANGO WA RAIS MAGUFULI.

Pasi na kupepesa macho utendaji wa viwango wa Rais Magufuli umeendeleea kuwakosha wanachi .Vita dhidi ya Rushwa, nidhamu kwa watumishi wa Umma utoaji wa elimu bure ununuaji wa ndege , kubana matumizi nk.ni mojawapo ya mambo ambayo yameendelea kumuweka juu Mh Rais Dr.Magufuli kwa watanzania.

Hivyo kampeni zote za njaa ,sukari UKUTA KATA FUNUA propaganda zote za mitandaoni za CHADEMA zimebuma kutokana na kutoaminiwa tena na wananchi kwa undumilakuwili wao wa kumpokea fisadi na kumpamba. Wananchi wameamua kuwapotezea na kuamua kuungana na Rais wao katika Sera yake ya Hapa Kazi tu kwa kuchapa kazi na kutowasikiliza Chadema nini wanachokisema.

Rais Magufuli bado ameendelea kubeba matumaini ya wanyonge na maskini wa Tanzania akitekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi kwa kasi na umahiri mkubwa.

Augustino chiwinga.

Kama unajikomba ili upate uteuzi pole sana. Uchambuzi wako ni kama unajifunza ..... bado sana
 
Ningekuelewa kama ungesema kilichosababiaha washindwe ni kutoungana, angalia vzr matokeo thn ujudge Kama wangeungana mambo yangekuwaje. Other wise umechambua kikada na akili umezihamishia tumboni badala ya kuziacha kichwani
 
Mmezuia mikutano ya kisiasa mwaka mzima hawajaona hta mwenyekiti wa chadema kata ya kijichi kapanda jukwaani then mkishinda mnakuja hapa kujisifia?? Shame on u
Huyo anayekubalika si aruhusu demokrasia na tume huru ndio ajue ukweli wa mambo sio kumpamba hapa kana kwamba hana mbadala


Hili dude pumbvue kabisa. Unatangaza mashindano. Timu shindani unazuia mazoezi, siku ya mechi unawafunga mikono na miguu, hawaruhusiwi hata kuvaa viatu vya michezo, unasema umeshinda mechi!. Jamaa lillpumbavue kabisa.
 
Na

Augustino Chiwinga.


•KUMSHAMBULIA RAIS MAGUFULI.

Hii ndio sababu kubwa iliyopelekea CHADEMA na UKAWA kushindwa vibaya katika uchaguzi huu.Walidhani kwamba kumshambulia Rais kwa kumuita dikteta na mbinyaji demokrasia kungesaidia kumdhoofisha kwa wananchi.Wananchi hawauoni udikteta wa Rais Magufuli , unaposema Rais dikteta wananchi wanapata picha ya kina Hitler na Mussolini au Idd Amin kitu ambacho kwa Rais Magufuli hakipo kabisa.Matokeo yake wakaonekana kua ni wababaishaji tu wa kisiasa mbele ya macho ya wananchi.

Katika mikutano yao walimaliza muda na nguvu zao nyingi kumshambulia Rais Dr.Magufuli kwa maneno ya kebehi pasi na kujua kwamba wananchi wanamkubali na kuridhishwa na utendaji kazi wake uliotukuka .

Katika hili they missed a point!

•KUTOKUA NA AJENDA.

Kwenye kila mkutano wa kampeni walikua hawana ajenda ya kueleweka ya kuwaeleza wananchi.


Walikua wanarukia rukia ajenda moja baada ya nyingine mara njaa mara demokrasia mara Rais mbabe nk.

Walijikita katika kukejeli na kubeza zaidi badala ya kuongea ajenda zenye mantiki kwa wananchi Mathalani mikutano yao katika kata za Mateves na Ngarenanyuki walitumia muda mrefu kuelezea kuhusu kesi ya Lema na kusahau ajenda za wananchi, tofauti na CCM ambao walikua na ajenda zilizopangiliwa vyema zikigusa moja kwa moja matatizo na kero za wananchi.

Wananchi hawakuwaelewa kabisa CHADEMA!


•KUMTUMIA MZEE LOWASSA.

Hapa ndipo penye kosa kubwa la kiufundi lilipofanyika.

Mzee Lowassa katika mikutano ya udiwani alikua anajipigia yeye kampeni za urais.Mfano ni alipokua katika mkutano mmoja kule Kahama na Geita alisema anaomba wananchi wampigie kura awe rais kabla hajashtuliwa na wasaidizi wake kwamba huu sio uchaguzi wa Urais ndipo akamuombea kura Diwani wa CHADEMA.

Lowassa alitumia fursa hii kujijenga yeye binafsi katika mbio zake za kuwania urais 2020 badala ya kukijenga chama na wagombea wake.

Haikuzaa matunda!


•MPASUKO NDANI YA CHADEMA.

Ukweli ulio wazi ni kwamba kuna mpasuko mkubwa sana ndani ya CHADEMA unaoendelea na ambao kwa kiasi kikubwa umekigharimu chama hiko.

Tukianzia kwenye uteuzi wa wabunge wa viti maalumu ambao ulifanywa kwa upendeleo na ubabe kwa kuwateua wasiostahili na kuwaacha wanaostahili kwa hakika uliacha majeraha na maumivu makubwa ambayo yamechangia kukiangusha chama hiko katika uchaguzi huu mdogo.

Pia kuibuka kwa makundi kama vile kizazi cha kuhoji ni matokeo ya mpasuko huo ndani ya Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) .Hili ni kundi lilikosana na uongozi wa juu wa BAVICHA ndio maana wakaamua kuunda "BAVICHA" yao ndogo na wakaipa jina la kizazi cha kuhoji Tanzania kwa minajili ya kupambana na uongozi wa BAVICHA taifa.


Pia ndani ya chama hicho kuna makundi matatu,

1)CHADEMA BIASHARA (Mbowe na wenzie)

2)CHADEMA WAKUJA (Lowassa na aliohama nao)

3)CHADEMA ASILI (John Mnyika, Halima Mdee na wenzake)

Vita ya makundi haya matatu si ndogo wote wanawania kushika hatamu katika uchaguzi mkuu wa chama hicho mwaka 2019 .Hatua ya Ole Sosopi kukatwa katika kuwania nafasi ya uenyekiti kanda ya Nyasa ni matokeo ya vita hii na kushughulikiana huku kila kundi likidhamiria kulidhoofisha kundi moja ili kujiweka mguu sawa katika uchaguzi wa ndani mwaka 2019.


•UTENDAJI WA VIWANGO WA RAIS MAGUFULI.

Pasi na kupepesa macho utendaji wa viwango wa Rais Magufuli umeendeleea kuwakosha wanachi .Vita dhidi ya Rushwa, nidhamu kwa watumishi wa Umma utoaji wa elimu bure ununuaji wa ndege , kubana matumizi nk.ni mojawapo ya mambo ambayo yameendelea kumuweka juu Mh Rais Dr.Magufuli kwa watanzania.

Hivyo kampeni zote za njaa ,sukari UKUTA KATA FUNUA propaganda zote za mitandaoni za CHADEMA zimebuma kutokana na kutoaminiwa tena na wananchi kwa undumilakuwili wao wa kumpokea fisadi na kumpamba. Wananchi wameamua kuwapotezea na kuamua kuungana na Rais wao katika Sera yake ya Hapa Kazi tu kwa kuchapa kazi na kutowasikiliza Chadema nini wanachokisema.

Rais Magufuli bado ameendelea kubeba matumaini ya wanyonge na maskini wa Tanzania akitekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi kwa kasi na umahiri mkubwa.

Augustino chiwinga.


Mtoa mada acha kuandika uongo operations UKUTA na KATAFUNUA haikukataliwa na wananchi Bali mabedui wa CCM walitumia vifaru na silaha za kivita kuzuia alfu unakuja kujisifu uongo hapa.
 
Ningekuelewa kama ungesema kilichosababiaha washindwe ni kutoungana, angalia vzr matokeo thn ujudge Kama wangeungana mambo yangekuwaje. Other wise umechambua kikada na akili umezihamishia tumboni badala ya kuziacha kichwani
Soama andiko la Mtatiro sio waliokuletea data za kupika, Mtatiro kakiri kama wangeungana wangeshinda kata 7 tu " Hali halisi inaonesha kuwa kama vyama mbadala vingeshirikiana vingelishinda kata si zaidi ya 7 hivi. Bahati mbaya mashirikiano haya yalikosekana tangu mwanzo baada ya upande wa "CUF ya Msajili na Bwana Yule" kusisitiza kuwa wataweka wagombea nchi nzima na hakuna UKAWA" anaandika mtatiro
 
kumbe nyie mnataka mshinde zile kata zinaongozwa na chadema tu, basi kama ni hivyo sahauni IKULU maana lazima mchukue majimbo na kata nyingi za CCM la sivyo ni kichapo mwaka, miongo hadi Karne

Nakushangaa sana wewe.... nadiriki kusema sidhani kama una ufahamu wa kutosha. Ni mafanikio gani umeyapata kwa kushabikia dhuluma na mateso na ukikaa pale grocery unaniomba bia halafu unashangilia mnyonyoji wako kuendelea kuwa madarakani?
 
Nakushangaa sana wewe.... nadiriki kusema sidhani kama una ufahamu wa kutosha. Ni mafanikio gani umeyapata kwa kushabikia dhuluma na mateso na ukikaa pale grocery unaniomba bia halafu unashangilia mnyonyoji wako kuendelea kuwa madarakani?
mafanikio niliyoyapata ni pale mlipoenda mwembe yanga na kutwambia kuwa Lowassa ni fisadi ikabidi tumfukuze aje kwenu List of shame kwikwikwi chadema bhana ni kichekesho
 
Mmezuia mikutano ya kisiasa mwaka mzima hawajaona hta mwenyekiti wa chadema kata ya kijichi kapanda jukwaani then mkishinda mnakuja hapa kujisifia?? Shame on u
Huyo anayekubalika si aruhusu demokrasia na tume huru ndio ajue ukweli wa mambo sio kumpamba hapa kana kwamba hana mbadala
Mngetumia sanduku la kura kuonyesha hisia na dhamira zenu.Kwani mikutano ya kampeni haikuwa ya hadhara lakini badala ya kutangaza sera zenye mashiko mnahubiri pumba kwa wananchi?Wananchi wamechoka na porojo.Tulieni mpaka mkue maana sasa hivi mnacheza makidamakida kama watoto!
 
Back
Top Bottom