habarin wana jf !
juzi juzi hapa jicho langu la kushoto lilikuwa likitoa matongo tongo sana wakat wa mchana kama siku mbili hivi baada ya hapo likaacha likaamia la kulia hii siku ya nne sasa kila baada ya lisaa hivi nikicheki jicho nakuta lina matongo tongo japo kdogo , tatizo ni wakati wa usiku linatoa matongo tongo mengi sana kama usiku wa kuamkia leo nimeamka kwenda choon jicho halifunguki matongo tongo yamegandia jicho zima mpaka nikaachanisha na mkono ndo likafunguka, kama kuna anaejua sababu za jicho kuwa hvo msaada tafadhali
juzi juzi hapa jicho langu la kushoto lilikuwa likitoa matongo tongo sana wakat wa mchana kama siku mbili hivi baada ya hapo likaacha likaamia la kulia hii siku ya nne sasa kila baada ya lisaa hivi nikicheki jicho nakuta lina matongo tongo japo kdogo , tatizo ni wakati wa usiku linatoa matongo tongo mengi sana kama usiku wa kuamkia leo nimeamka kwenda choon jicho halifunguki matongo tongo yamegandia jicho zima mpaka nikaachanisha na mkono ndo likafunguka, kama kuna anaejua sababu za jicho kuwa hvo msaada tafadhali