Android 00
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 774
- 226
Jibu lako liko jikoni.
Lukuvi hakustahili kufikia kusema masuala ya udini kanisani tena kwa suala la Zanzibar nchi yenye waislamu asilimia 99%
Nilidhani pale alipoitwa na spika atajisawazisha kosa lake. Lakini ni tofauti ameshishitiza kuwa Zanzibar itakuwa ni Nchi yenye utawala wa Kiislamu ikipata uhuru kamili.
Kauli kama hizi aliwahi kuitoa Waziri Mkuu kuwa Zanzibar si nchi, na alipoambiwa aeleze au afute kauli yake akasema iyo ndo hali halisi sasa je leo ataweza kusema tena kauli hiyo? Je jibu lake alilipata?
Leo akimuuliza Wazir Mkuu atamwambia kuwa yeye ndio chanzo cha mgogoro wa kikatiba.
CCM kwa nini mmechukua nafasi ya marehemu Shehe Yahya Hussein si nafasi iyo mkamuwachia mtoto wake?
Jibu la Lukuvi tutalifanyia kazi kikatiba Zanzibar hatuwezi kugombanishwa kama hivi tukawa tunacheka na kupiga makofi kama wale waliobakia.
Hatuwezi kukubali kunyoshewa vidole kana kwamba sisi ni watoto wadogo.
Lukuvi wala hakustahili kujifananiza na Mrema mtu alochoka mpaka apate rushwa kama alivomuahidi ndio anyanyuke kwenye kiti.
Ahsante.
Lukuvi hakustahili kufikia kusema masuala ya udini kanisani tena kwa suala la Zanzibar nchi yenye waislamu asilimia 99%
Nilidhani pale alipoitwa na spika atajisawazisha kosa lake. Lakini ni tofauti ameshishitiza kuwa Zanzibar itakuwa ni Nchi yenye utawala wa Kiislamu ikipata uhuru kamili.
Kauli kama hizi aliwahi kuitoa Waziri Mkuu kuwa Zanzibar si nchi, na alipoambiwa aeleze au afute kauli yake akasema iyo ndo hali halisi sasa je leo ataweza kusema tena kauli hiyo? Je jibu lake alilipata?
Leo akimuuliza Wazir Mkuu atamwambia kuwa yeye ndio chanzo cha mgogoro wa kikatiba.
CCM kwa nini mmechukua nafasi ya marehemu Shehe Yahya Hussein si nafasi iyo mkamuwachia mtoto wake?
Jibu la Lukuvi tutalifanyia kazi kikatiba Zanzibar hatuwezi kugombanishwa kama hivi tukawa tunacheka na kupiga makofi kama wale waliobakia.
Hatuwezi kukubali kunyoshewa vidole kana kwamba sisi ni watoto wadogo.
Lukuvi wala hakustahili kujifananiza na Mrema mtu alochoka mpaka apate rushwa kama alivomuahidi ndio anyanyuke kwenye kiti.
Ahsante.