JF ladies talk talk …...



naona wewe unaenda sambamba na fashion
itabidi tuonane bana ...tuanzishe chama cha kina mama / dada JF
 


Naona Kina dada JF tuko Juuu no mkorogo no vidonge vya kujichubua

iko njema sana.
Wapi Mj1?
 
Tupo juu kinoma na zaidi tunajitambua. Kwakweli mkorogo sifagilii I am black and i love my skin colour it is my identity. Kwanza mwanamke anayejichubua huwa naona kama hana confidence and she don't know what she wants.
Naona Kina dada JF tuko Juuu no mkorogo no vidonge vya kujichubua

iko njema sana.
Wapi Mj1?
 

Mmmh! Thats so nice jamani . . .

Daisy nimeku-PM . . . .

Jamani naomba msianze unoko wenu . . . haaaa haaa
 

FL1 kama ni hivyo basi nakufahamu, kama vile nimewahi kukuona mitaaa ya mjini kati vile . . . kama vipi vipi weka picha yako au jielezee ulivyo kisha nitajua. lakini huyo mdada anafit description uliyotoa ya mavazi nk perfectly . . .


Duh!
 
Mmmh! Thats so nice jamani . . .

Daisy nimeku-PM . . . .

Jamani naomba msianze unoko wenu . . . haaaa haaa
Napita tu Superman:car::car:

FL1 kama ni hivyo basi nakufahamu, kama vile nimewahi kukuona mitaaa ya mjini kati vile . . . kama vipi vipi weka picha yako au jielezee ulivyo kisha nitajua. lakini huyo mdada anafit description uliyotoa ya mavazi nk perfectly . . .


Duh!
Si ulisema umemfananisha lol
 
FL1 kama ni hivyo basi nakufahamu, kama vile nimewahi kukuona mitaaa ya mjini kati vile . . . kama vipi vipi weka picha yako au jielezee ulivyo kisha nitajua. lakini huyo mdada anafit description uliyotoa ya mavazi nk perfectly . . .


Duh!

Dah labda ndio mie tulipishana wapi vile kariakoo or ?
 
Mhhhh chama kitakua na madhumuni gani vile mama wa kwanza??
Ile miwani ya Christian Dior niliyokutumia ulipata???
Na vile viatu vya Jimmy Choo ulipata???
Na lile gauni la Alexander McQueen ulilipata????
 
wow! so nice F-lady. aaam mi napenda kunyoa samting like kisura, I like mini skirts,pedo, vigaun vifupi plus high heels na vipochi. Cpendi kujipodoa sana natumia poda na lipshiner tu. Pia napenda kuvaa heleni zenye ukubwa wa kutosha tu, bila kusahau top dress na leggin aa sana tu. Hope kwenye list nipo.
 
wow! so nice F-lady. aaam mi napenda kunyoa samting like kisura, I like mini skirts,pedo, vigaun vifupi plus high heels na vipochi. Cpendi kujipodoa sana natumia poda na lipshiner tu. Pia napenda kuvaa heleni zenye ukubwa wa kutosha tu, bila kusahau top dress na leggin aa sana tu. Hope kwenye list nipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…