Remmy! My Shem umekuaje?
Hapa ChtCht hatuporomoshagi mavitu ya ukweli ujue ?
Hii maneno ni confidential ! Inatakiwa tubaki nayo sirini , delete hiyo comments inamuumbua bwana.
Si wajua sie ni waugwana-wazawa?
Heheheeeeeeeee.....
Hivi ukiitwa nawe unaitika?
Khaaaaa...
Mwanaume wa hivyo hata aweje siwezi kumkubali kwani bwabwa.
Remmy! My Shem umekuaje?
Hapa ChtCht hatuporomoshagi mavitu ya ukweli ujue ?
Hii maneno ni confidential ! Inatakiwa tubaki nayo sirini , delete hiyo comments inamuumbua bwana.
Si wajua sie ni waugwana-wazawa?
Chefuuuunaona mnapeana moyo, ngoja nsubilie mwaliko wa nxt week mie
naona mnapeana moyo, ngoja nsubilie mwaliko wa nxt week mie
Ndio utajiju!
Where is invitation come from ?
I mean who one invite you ?
Then for which purpose ? Or dreams at works? Probably i think so!
Please allow me engage the vacancy.
Hunie bado una huyu hana jipya asikuchoshe bana
Nishaachana nae, huoni hiyo comment ya jana?
Hanidai- simdai ! Hence
hatudaiani !
Tupate haba....