Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Juzi kabla ya kumfukuza si akapaka tube ya dawa ya ngoz ktk mswaki nikaona asijenifia
Na ungechelewa tu kumfukuza,ungemkuta kavaa vipedo vyako akidai ni pensi,....huwa anasalimia mpaka watu wa kwenye tv,ungemuwashia ukaona