JF Focus: Side Comments: Exclusive Interview with JamiiForums founder - Maxence Melo

Status
Not open for further replies.
  1. JF inamilikiwa na watu wangapi hasa wale ma-founder.
  2. Na je apati usumbufu wowote toka kwa usalama wa taifa au wa CCM kuhusiana na kuendesha forum hii inayoweka mambo yao wazi
  3. Je, wewe ni mwanachama wa chama chochote cha siasa? Na kama ndio ni kipi?
  4. Unafanya kazi gani kwasasa
  5. Mimi Mwanakijiji mna urafiki wa kiwango gani?
 
Dah nilidhani uko single ...msalimie mama watoto..nimechelewa kuuliza hata maswali ya Nyongeza
 
It is monday 11:45AM and it was promised to continue on monday 11:00AM!Could be next monday...?
 
huu mjadala unapigwa danadana utafikiri ahadi za ccm bana khaa!
 
SWALI- Kupitia jukwaa la Congrats, tulipendekeza uanzishwaji wa jukwaa la HISTORIA. Pia tulimshirikisha mheshimiwa Invisible na tuliahidiwa litakuja lakini naona linacheleweshwa je? Ni nini kinakwamisha upatikanaji wa jukwaa hilii muhimu?
Ahsante
 
Last edited by a moderator:
SWALI. Kumekua na madai ya wadau wengi wakilili utengenezwaji wa JF T-Shirt na wakipendekeza kwamba ni chanzo kizuri cha kujiongezea kipato Je uongozi wa JF kwanini hauchukui maamuzi ya kuanzisha mradi huu hata kama zitakua zikitoka mara 2 kwa mwaka, kama mpango upo tutegemee kuanza kuzipata lini?
 
AshaDii maswali unayapata wapi mbona ya hapa mengi hujayapeleka kule? Afu uliyouliza sasa hivi hapa siyaoni? Au unapokea mashwali through PM?
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…