Jf aliyepo Tabora

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2009
Posts
3,930
Reaction score
4,934
Wakubwa heri ya Mwaka Mpya...
Wakuu kama kuna Jf member Tabora na angependa tusabahiane basi nipo Mpaka kesho baada ya safari ndefu ya kuendesha kutoka Kigoma.
 
Kama una hela ya nyama choma na wisky nitakuja babu
 
Jambazi mbona unanitosha? Hakuna shida whisky tu na nyama choma mbona mambo ya kawaida
 
Hizo siku mbili tumia kwa kulala ba kupumzika.
 
Sasa ndugu yangu Ng'wanapagi kweli kiswahili kimekuwa kigumu kueleweka kiasi hicho...

Ok ndugu sasa nimekuelewa yaani ulikuwa unaendesha gari toka Uhani hadi Unyamwezini! mie niko CHEYO A hapa Tabora.
 
Ok nipe Muongozo nipo hapa karibu na Central Police hapa
 
Next time kasafriri na mkeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…