division 5
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 203
- 237
kama ndo hivyo naamini utakua pia waipenda filamu yake iitwayo "My father is a hero"Starring wangu wa maisha
kama ndo hivyo naamini utakua pia waipenda filamu yake iitwayo "My father is a hero"Starring wangu wa maisha
sasa hivi ni wauza sura tu na ma season yao,Ila maisha yanabadilika sana yani wapiganaji wa zamani kama jet lee mark dagascos mzee wa drive, don yen wanapotea yani siku hizi wacheza movie wa. Com hata siwajui . Effects zimekua nyingi sana mpaka zinaboa.
Enzi hizo watoto tunacheki....
American ninja
Drive
The one
The boss( bruce lee)
The Master( jet lee)
Hard target unakuta babu mmoja matata anakwambia CHIINDO.
Kina cyncia khan rocky
Now wamebaki mabishoo tu hamna mkono wala nini mapenzi mengi Shubamiiti.
Ni ya mwaka gani?katafute mpya ya chinese salesman pale amekutana na mziki wa mike tyson utamhurumia.
Sifa moja kuu ya hawa mastar ni kutokuwa na maneno mengi rather than actions tuu!Huwa sipendi ngumi ila huyu jamaa na Jacky chan huwa wananikosha sana kwwnye movie zao.
Hawana maneno mengi wao ni vitendo tuu....
Danny trejo ile sura akee mmmmmh!Yes, kwenye Machete nakumbuka.
Yule mbibi Cynthia rothrock hataree sana, hivi bado yupo hai?Ila maisha yanabadilika sana yani wapiganaji wa zamani kama jet lee mark dagascos mzee wa drive, don yen wanapotea yani siku hizi wacheza movie wa. Com hata siwajui . Effects zimekua nyingi sana mpaka zinaboa.
Enzi hizo watoto tunacheki....
American ninja
Drive
The one
The boss( bruce lee)
The Master( jet lee)
Hard target unakuta babu mmoja matata anakwambia CHIINDO.
Kina cyncia khan rocky
Now wamebaki mabishoo tu hamna mkono wala nini mapenzi mengi Shubamiiti.
Danny trejo ile sura akee mmmmmh!
Utafikiri sio mzungu!
Ila Mel Gibson yule mzee comedian jamani, mi ananiachaga hoi!Starring wangu wa maisha
Sina hakika nijuavyo ni mpyaNi ya mwaka gani?
yule mshikaji anapiga kama mdudu,jamaa ni hatari sana naamini ndivyo starring anatakiwa kuwa.kama ndo hivyo naamini utakua pia waipenda filamu yake iitwayo "My father is a hero"
maajabu sasa,kwenye cradle to the grave DMX alimkalisha kiainaAiser
yule mshikaji anapiga kama mdudu,jamaa ni hatari sana naamini ndivyo starring anatakiwa kuwa.
Kashakua ajuza nadhani.Yule mbibi Cynthia rothrock hataree sana, hivi bado yupo hai?
"Hajacheza filamu yoyote kubwa kwa muda wa miaka 10 iliyopita "
Kwani expandables ilitoka mwaka gani ?
Ndio mapicha yalivyo ila ukiangalia picha za jamaa na kama unapenda mapigano huyu ndo MTU sahihi.angalia shughuli take kwenye forbidden kingdommaajabu sasa,kwenye cradle to the grave DMX alimkalisha kiaina
shughuli pevu iko kwenye Fist of legendNdio mapicha yalivyo ila ukiangalia picha za jamaa na kama unapenda mapigano huyu ndo MTU sahihi.angalia shughuli take kwenye forbidden kingdom
Inaitwa Jeet kune do, hiyo mwasisi wake ni Bruce Lee. Inaanzishwa huyo Jet Li ni mtoto bado hata miaka 12.Big NO..... Jet Kun Do Ni style yake Jet Le not Bruce lee,, ndo maana INA jina lake JET ........
The one anapigwaHuyu jamaa sijawahi kuona akipigwa kwenye movie, sijui ni uchache wa movie zake nilizoona.
Ndo nimejiuliza"Hajacheza filamu yoyote kubwa kwa muda wa miaka 10 iliyopita "
Kwani expandables ilitoka mwaka gani ?
Machette kauwawa kabisaKuna mwingine anaitwa Steven Seagal, sijawahi kuona movie ambayo amepigwa.