Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,052
- 6,702
Kwa hiyo ili wampandishe CEO ilibidi wasimpokee Alik? Ni msanii pekee aliyepokelewa?? Wafanye biashara na yeyote akipeleka wimbo utatangazwa.
wachunguze vyema mkuu"" wengi hawana life skills"" wanyoa viduku"" wapenda ngono..misifa"" madereva wa boda + ...so wasikupasue kichwa ..wako empty set""
mahaba Niue niteke teze kama nyanya "" hahaaFikra za kimaskini hizi
MKIMALIZA KIBA DAY NA KIJIWE CHENU CHA UNAFKI MTUSTUE TUENDELEE NA KWANGWARU ZETU.mahaba Niue niteke teze kama nyanya "" hahaa
hahahaaa inachoumerrrrrr kama pasiMKIMALIZA KIBA DAY NA KIJIWE CHENU CHA UNAFKI MTUSTUE TUENDELEE NA KWANGWARU ZETU.
msalimie nandy ,aslay ,stamina.MMEWATUMIA KAMA NDOM SA HIVI MMEPARAMIA MWINGINE.
Mwisho ni kwamba kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.G9T
Broo waweke na wasanii wengine tenaRUGE HII WCB IMEJENGWA HASWAA NA KIJANA MWENYE UCHU AKILI NA UPAMBANAJI HASWAA KUTOKA KITAAA
THIS TIME UMEKUTANA NA JIWE HASWAAÀ
UTAMBEBA NANDY
ASLAY
DIMPOZ
KIBA
SHOZA
Kusanya na wengine.HAMTOWEZAAAA
Aslay na Nandi wako mikoani wanapiga show we sema wamechuja wakati kila siku wanaingiza 4 million ruge ndo anaefaidi izo pesa business as usualClouds humganda mtu ambaye yuko katika wakati wake,kama unalegalega au watu hawashughuliki na wewe na wao hawajipendekezi kwako mifano tunao tu wa juzijuzi kwa Aslay,na huyo kumwenda wenu wakati wake alishobokewa,Sasa ni KIBA TIME nae akichuja anatupwa kapuni ile ni biashara bwana lazma ulenge faida.
halafu we team Kiba kila upuuzi unautetea japo unajua ukweli ulivyo! hlf badilisha aina yako ya uandishi humu...hizo nukuu zako zisizokuwa na mpangilio zinatuboa kama interview za huyo King wako.kwahiyo watu wasiendelee na program "zao"kisa tu " wataonekana kuwa wanamsema diamond"" acheni ukike "" hata huyo diamond alikuwaga anapewa promo za kufa mtu hapo hapo clouds """ kulalamika lalamika kama watoto wa kambo mtaacha lini "" na nyie simna media yenu " mnaonaje mkimfanyia interview CEO wenu kutwa nzima kama walivyofnya clouds
hahaa "" wewe " kweli Tomaso "" yaani bando langu"" halafu wanipangia" namna ya uandishi"" ambao napaswa kuwa nao""? katiba ya JF inapingana ""na uandishi " wangu " au ni upopoma wako " tu "" ndio umekutuma " uje kuni attack""? hebu nenda kapige mswaki kwanza "" ndio uje kunikosoa.."" maana umeshaanza kulinukisha jukwaa uvundo"""halafu we team Kiba kila upuuzi unautetea japo unajua ukweli ulivyo! hlf badilisha aina yako ya uandishi humu...hizo nukuu zako zisizokuwa na mpangilio zinatuboa kama interview za huyo King wako.
haha haaClouds ni habari nyingine kabisa,achana na hao jamaa,nyie tulieni na hicho ki tv chenu cha nchi 14
Ukisoma andiko lifikirie mara 2 ndo ujibu,hapo niliposema mfano Aslay maana yake kuwika kwa Aslay ndo kumewafanya wamgande,na wapo waliowika wakaishiwa hawawagandi tena hakuna asiyejua kwamba mpaka sasa Aslay bado moto.Aslay na Nandi wako mikoani wanapiga show we sema wamechuja wakati kila siku wanaingiza 4 million ruge ndo anaefaidi izo pesa business as usual