Jeshi zima LA clouds TV na alikiba wakijaribu kumzima CEO wa wasafi TV (Diamond platnumz)

Kwa hiyo ili wampandishe CEO ilibidi wasimpokee Alik? Ni msanii pekee aliyepokelewa?? Wafanye biashara na yeyote akipeleka wimbo utatangazwa.
 
mahaba Niue niteke teze kama nyanya "" hahaa
MKIMALIZA KIBA DAY NA KIJIWE CHENU CHA UNAFKI MTUSTUE TUENDELEE NA KWANGWARU ZETU.

msalimie nandy ,aslay ,stamina.MMEWATUMIA KAMA NDOM SA HIVI MMEPARAMIA MWINGINE.
Mwisho ni kwamba kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.G9T
 
MKIMALIZA KIBA DAY NA KIJIWE CHENU CHA UNAFKI MTUSTUE TUENDELEE NA KWANGWARU ZETU.

msalimie nandy ,aslay ,stamina.MMEWATUMIA KAMA NDOM SA HIVI MMEPARAMIA MWINGINE.
Mwisho ni kwamba kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.G9T
hahahaaa inachoumerrrrrr kama pasi
 
RUGE HII WCB IMEJENGWA HASWAA NA KIJANA MWENYE UCHU AKILI NA UPAMBANAJI HASWAA KUTOKA KITAAA

THIS TIME UMEKUTANA NA JIWE HASWAAÀ


UTAMBEBA NANDY
ASLAY
DIMPOZ
KIBA
SHOZA
Kusanya na wengine.HAMTOWEZAAAA
Broo waweke na wasanii wengine tena
 
Alikiba anafanya biashara anatangaza brand zake mofaya na alikiba wasabi tv si ipo bas nanyie pigeni nyimbo zenu tuuu
 
Clouds humganda mtu ambaye yuko katika wakati wake,kama unalegalega au watu hawashughuliki na wewe na wao hawajipendekezi kwako mifano tunao tu wa juzijuzi kwa Aslay,na huyo kumwenda wenu wakati wake alishobokewa,Sasa ni KIBA TIME nae akichuja anatupwa kapuni ile ni biashara bwana lazma ulenge faida.
Aslay na Nandi wako mikoani wanapiga show we sema wamechuja wakati kila siku wanaingiza 4 million ruge ndo anaefaidi izo pesa business as usual
 
kwahiyo watu wasiendelee na program "zao"kisa tu " wataonekana kuwa wanamsema diamond"" acheni ukike "" hata huyo diamond alikuwaga anapewa promo za kufa mtu hapo hapo clouds """ kulalamika lalamika kama watoto wa kambo mtaacha lini "" na nyie simna media yenu " mnaonaje mkimfanyia interview CEO wenu kutwa nzima kama walivyofnya clouds
halafu we team Kiba kila upuuzi unautetea japo unajua ukweli ulivyo! hlf badilisha aina yako ya uandishi humu...hizo nukuu zako zisizokuwa na mpangilio zinatuboa kama interview za huyo King wako.
 
halafu we team Kiba kila upuuzi unautetea japo unajua ukweli ulivyo! hlf badilisha aina yako ya uandishi humu...hizo nukuu zako zisizokuwa na mpangilio zinatuboa kama interview za huyo King wako.
hahaa "" wewe " kweli Tomaso "" yaani bando langu"" halafu wanipangia" namna ya uandishi"" ambao napaswa kuwa nao""? katiba ya JF inapingana ""na uandishi " wangu " au ni upopoma wako " tu "" ndio umekutuma " uje kuni attack""? hebu nenda kapige mswaki kwanza "" ndio uje kunikosoa.."" maana umeshaanza kulinukisha jukwaa uvundo"""
 
Clouds ni habari nyingine kabisa,achana na hao jamaa,nyie tulieni na hicho ki tv chenu cha nchi 14
 
Wasafi TV ni ya kusaga na diamond anamiliki only 15% sasa clouds wataanzaje kushindana na biashara yao wenyewe? hizo ni mbinu tu za biashara
 
Aslay na Nandi wako mikoani wanapiga show we sema wamechuja wakati kila siku wanaingiza 4 million ruge ndo anaefaidi izo pesa business as usual
Ukisoma andiko lifikirie mara 2 ndo ujibu,hapo niliposema mfano Aslay maana yake kuwika kwa Aslay ndo kumewafanya wamgande,na wapo waliowika wakaishiwa hawawagandi tena hakuna asiyejua kwamba mpaka sasa Aslay bado moto.
 
Back
Top Bottom