Ni sahihi lakini hawapo organized,Kuna clip wanabishana kumrushia rocket launcher adui
Mwaka 1997 hao jamaa walikosa ma rubani wa kurusha ndege za kivita kwenda front,
Nimeona mwakilishi wa DRC katika umoja wa Mataifa anasema jeahi lao haliwezikuli da raia na mali zao eti kwa sababu tayari limeshaingiliwa na na maadui kutoka nchi jirani.
Nimeona mwakilishi wa DRC katika umoja wa Mataifa anasema jeahi lao haliwezikuli da raia na mali zao eti kwa sababu tayari limeshaingiliwa na na maadui kutoka nchi jirani.