Aaaah c'mon Jessica.Akatupatia hela kidogo"
Ukoo WAko woote Una hela kidogo sana .PESA zetu mm n familia yangu pamoja na ukoo wangu wooote aliwapatia wanae.
KAZI ni kipimo cha utu
Nani ana namba yake... hapa kuna buku limezagaa zagaaKuna siku Baba alisema anatutoa OUT...! Tulijiandaa tukavaa vizuri ila tukashangaa tunaenda kukagua daraja la Kigamboni na sisi tukageuka wasaidizi wake akawa anaomba tumpigie picha...! Tulivyomaliza akasema OUTING imeisha turudi nyumbani...! Akatupatia hela kidogo"-JESSICAView attachment 3318980
Acha ujinga wivu na chuki ww. Kwani raisi halipwi mshahara ww kapukuPESA zetu mm n familia yangu pamoja na ukoo wangu wooote aliwapatia wanae.
KAZI ni kipimo cha utu