....jerry muro nae ni chadema damu....
Umejuwaje acha porojo.
Atumie tu vyombo huru, vyombo visivyoogopa kuuweka ukweli hadharani, kufumua uozo huo...
ila awe na tahadhari wasije wakammaliza kabisa... maana sasa wakimkamata mbaya wao watahakikisha kichwa wanatenganisha, isijetokea kama walivyomfanyia Ulimboka: walidhani wamemmaliza kumbe yu hai, sasa anawapa headeache, ndo maana wamejificha chini ya mwavuli wa mahakama..
Tena kaongea kwa uchungu sana,kasema hata wakimuua ni bora kuliko kuish kwa staili hii!
funguka zaidiDu Jerry huyu huyu ni shujaa?