Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,779
- 14,303
Watanzania sisi tunapenda kuwa na maneno mengi lakini mostly sio ya kujikweza wala kumchosha mskilizaji..na tunaelewa vizuri the art of conversation kwamba maongezi ni kama kuimba..unajua kuimba ni kupokezana..so we talk mostly chit chart and scandal ambazo mostly ni nonsense but with no offence kumuumiza mwingine but to keep the day Rollin and grooving thats why hata Raila Odinga anatufeel. We don't have the mentality neither superioty complex nor special compared with Ugandan and Kenyans who thinks they rule east Africa. Burundians and Tanzanians whether one is rich or poor wote tuko very comfortable to hang arround with. Lakini mjaluo au mnyankole akizibamba tayari na yeye ghafla anatoka kwenye family ya pale Buckingham palace kwa malkia. Pathetic!And how about you Tanzanians??? Why do you think is our view of you?? How do you think other East Africans view you???
I have been to many parts of east Africa wengi wanawona waswahili wa Tz kama wavivu, wazembe na wenye maneno mengi ila very easy to get along with. Ila pia wengi hawawajui kwa undani maana hawana contact nao sana especially Rwanda na Uganda ambako watanzania wengi hawaendi.
Ila so far.. Wakenya na Waganda you have so many in common though waganda wanachangamoto nyingi sana to get along with kulingana na Wakenya kwani mnavumilika..Nyumbani kwetu ni Mwanza and we have Kenyans tenants kutoka migori and somepart za Nyeri tumeishia nao kwa zaidi ya miaka 6 hawana shida na tumewazoea na tunawachukulia kama sehemu ya familia.
What matters is a mutual respect and torelance on our differences and embrace our similarities as Africans.