Jembe ni Jembe na kundi lako jifunzeni kupokea changamoto

..naomba nitoe rai yangu tu . kwa Waandaji mbali mbali wa events hapa nchini ..

iko hiviiiiii" tanzania ya sasa imebadilika mnooo kwa kasi haswaa " ubadilikaji wake unachagizwa na kuwa na sehemu kubwa ya kundi la wananchi wanajitambua kwa kiwango kikubwa "pia mabadiliko hayo yanachagizwa na kasi ya ongezeko la ukuaji wa watumiaji wa social network's ... nguvu kubwa mnoo ya watanzania wanaojitambua zaidi imehamia hapo kwenye (social networks)...
so inapotokea " wanapopata nafasi yakuandaa tafrija flani wajitahidi mnooo kupambana na madhaifu yao na kuhakikisha kuwa tafrija hiyo inakuwa na wembamba wa kasoro " kinyume na hapo " utaanza kukosolewa siku hiyo hiyo ya event " kwa sababu mitandao ya kijamii inawapa fursa watu kuweza " kusambaza taarifa kwa haraka na kuwafikia watu wengi "
hii sio ile tanzania ya miaka 2000 kurudi nyuma " wakati ambao uliokuwa unatoa fursa kwa wajanja wachache " kuwa HABARISHA" wajinga wengi" wakati ambao " wajanja hao walikuwa wanachagua" kipi kifike kwenye Jamii na kipi kisifike


Tanzania ya sasa.. kila mtu amekuwa ni muandishi wa habari wa kujitegemea ...maana hizi smartphone zimetupa huo uhuru " hivyo ni vyema wahusika wakuandaa hizo tafrija " wakawa wanajiandaa vyema ili wasikutane na dhihaka toka kwa wananchi " maana dhihaka huondoa mvuto wa event yenyewe nakuifanya ikose " soko la wakati ujao"...

mwisho kabisa natoa pongezi kwa waandaji wa event ya Miss tanzania " .kwa kuwa hii ndio mara ya kwanza wanastahiki pongezi " maana mashindano yenyewe " yalikuwa ICU " wamejitahidi mnoo kuyapatia nafuu
.. msimu ujao wajitahidi " kuepuka makosa yaliyofanyika mwaka huu "natumai next year "zawadi ya gari haitokuwa fa fa fa fa tena

".. muhimu zaidi ni kwamba wamemudu kuyarejesha haya mashindano kwenye mioyo na akili ya watanzania

Points hasahasa hapo kwenye red
 
- Sasa uliyeandika mbona kama choko zaidi au kwa sababu umeweka picha ya mzungu mzee inakufanya usiwe? hahahahahahahaa maana mtoto wa kiume kwenye mitandao na majiina ya bandia na kutukana wanaume ni tabia za kichoko au nimekosea? hahahahahahhahaha

le Mutuz Superbrand
Kwani Field mashall Es ni nani? Umekimbia kwenye makontena sasa unarukia na huku? Hivi wewe mshipa wa noma umekufa?
 
- Waliyataka wenyewe kutupa mawe kwenye nyumba ya kioo, walikimbilia kwenye Instagram kuwadhalilisha watayarishaji wa Miss Lake Zone kwamba gari lao bovu. Na wao wamerudia makosa yale yale ya kutoa gari bovu sasa ulitaka nifanye nini niwashangilie? hahahaha dada kachemka uliona wapi Miss Tanzania imejaa Media kuliko wateja? hahahaha uliona wapi Miss Tanzania inafanyikia kwenye ukumbi wa mikutano ya Taifa? hahahahaha uliona wapi Miss Tanzania inafanyika bila pombe? hahahahaha msitafute pa kufia tatizo ni agenda zenu za kutafuta vyeo vya siasa kwa kutumia Miss Tanzania baada ya kuwa upande wa Lowassa maisha yenu yote, sasa mnadhani mkifanyia mahsindano ya Miss Tanzania kwenye Nyerere Conference mtatusahaulisha, record zipo mlivyokuwa mnamtukana Rais wa sasa kwenye uchaguzi uliopita.

- Poleni sana mambo ya mitandao hamuyajui mkajifanya kuwachafua Miss Lake Zone kwenye mitandao yaliyoakuta ndio matokeo yake kwenye maisha "TUNAVUNA TULICHOPANDA" hahahahahaha! Sasa kaeni chini mjipange tena jiulizeni mmekosea wapi? Mimi sio tatizo lenu tatizo ni nyinyi wenyewe na agenda zenu za kitoto!

le Mutuz Superbrand
Le kubwa jingazi,masuala ya siasa yanaingiaje hapa?!,ww mzee akili zako hazipogi sawa nadhan,...
 
Le kubwa jingazi,masuala ya siasa yanaingiaje hapa?!,ww mzee akili zako hazipogi sawa nadhan,...
Huyo Le Mutuz ndio alikuwa anaongoza kumtukana Mzee Kikwete hapa JF, leo anajifanya mtakatifu kumbe hajui ni kwa nini teuzi zote jina lake halimo? Ukweli kwamba anapendekezwa lakini yupo kwenye black list ikifikia vetting wazee wa Eagle house wanapiga mkasi.
Le Mutuz kama bado unawaza teuzi kwenye umri huo wa retirement nenda kamuombe msamaha mzee Kikwete. Na ushahidi upo hapa JF wa matusi na kashfa zako kwa Mzee Kikwete.
 
- Waliyataka wenyewe kutupa mawe kwenye nyumba ya kioo, walikimbilia kwenye Instagram kuwadhalilisha watayarishaji wa Miss Lake Zone kwamba gari lao bovu. Na wao wamerudia makosa yale yale ya kutoa gari bovu sasa ulitaka nifanye nini niwashangilie? hahahaha dada kachemka uliona wapi Miss Tanzania imejaa Media kuliko wateja? hahahaha uliona wapi Miss Tanzania inafanyikia kwenye ukumbi wa mikutano ya Taifa? hahahahaha uliona wapi Miss Tanzania inafanyika bila pombe? hahahahaha msitafute pa kufia tatizo ni agenda zenu za kutafuta vyeo vya siasa kwa kutumia Miss Tanzania baada ya kuwa upande wa Lowassa maisha yenu yote, sasa mnadhani mkifanyia mahsindano ya Miss Tanzania kwenye Nyerere Conference mtatusahaulisha, record zipo mlivyokuwa mnamtukana Rais wa sasa kwenye uchaguzi uliopita.

- Poleni sana mambo ya mitandao hamuyajui mkajifanya kuwachafua Miss Lake Zone kwenye mitandao yaliyoakuta ndio matokeo yake kwenye maisha "TUNAVUNA TULICHOPANDA" hahahahahaha! Sasa kaeni chini mjipange tena jiulizeni mmekosea wapi? Mimi sio tatizo lenu tatizo ni nyinyi wenyewe na agenda zenu za kitoto!

le Mutuz Superbrand
Vipi Makontena uliyoyatetea ya jamaa ako Daudi Bashite amelipa kodi?
 
Huyo Le Mutuz ndio alikuwa anaongoza kumtukana Mzee Kikwete hapa JF, leo anajifanya mtakatifu kumbe hajui ni kwa nini teuzi zote jina lake halimo? Ukweli kwamba anapendekezwa lakini yupo kwenye black list ikifikia vetting wazee wa Eagle house wanapiga mkasi.
Le Mutuz kama bado unawaza teuzi kwenye umri huo wa retirement nenda kamuombe msamaha mzee Kikwete. Na ushahidi upo hapa JF wa matusi na kashfa zako kwa Mzee Kikwete.

- Sijawahi kuomba cheo kwa yoyote JK ni rafiki yangu wa karibu sana ningetaka cheo ningemlilia niliporudi angenipa, unataka nikawe DC Tandahimba? hunipendi sana ndugu nimeamini, sasa kelele zako zote miaka 30 ya Chadema mbona hawakupi ubunge viti maalum tu? hahahahahaha

le Mutuz Superbrand
 
Sikuangalia hilo shindano lakini wamekosea sana.. Miss Tanzania ni shindano lenye Tija sana nchini likitumiwa vizuri... Kupotea kwake kwa miaka kadhaa kumepotezea watu wengi sana fursa..

Dada yetu kajikongoja kulirudisha bado kuna watu wanapinga juhudi zake bila sababu za msingi..

Bongo kweli nyoso
 
- Sasa uliyeandika mbona kama choko zaidi au kwa sababu umeweka picha ya mzungu mzee inakufanya usiwe? hahahahahahahaa maana mtoto wa kiume kwenye mitandao na majiina ya bandia na kutukana wanaume ni tabia za kichoko au nimekosea? hahahahahahhahaha

le Mutuz Superbrand
Alaaa naona umekuja kubwa lao mana nilimtaja jembe sasa umetokeza ww pole sana William matako makubwa
 
Naomba muwatupie hapa hao mamiss nami niwaone.
Hao hapo
IMG_20180910_211531_095.JPG
IMG_20180910_211512_626.JPG
IMG_20180910_211547_170.JPG
IMG_20180910_211559_828.JPG
 
Back
Top Bottom