Je wajua?

sungura1980

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2013
Posts
1,909
Reaction score
1,225
Konokono wote ni "Hermaphrodites"
Kwa maana wanamiliki jinsia mbili (kiume na kike).
Kwenye kujamiiana wanaviziana, atakayeruhusu kupandwa ndiye atataga mayai.
Fikiria binadamu tungekuwa kama konokono na hizi akili zetu ingekuwaje?
Mkeo ukimzingua anakuvizia umelala anakupachika mimba.Mfano kiwatengu akizingua shansarie anamtaimu anampiga bend Arushaone naye akichelewa kurudi home Lady doctor anampiga mimba Mokoyo naye Munkari anamtaimu anampiga mimba Bishanga naye akirudi amelewa The secretary anampinga bend Baba V naye anapigwa mimba,mwenyekiti Erickb52 naye anapigwa mimba watu8 kizazi kimeisha yeye hawezi kushika mimba!Unadhani itakuwaje?
 
Last edited by a moderator:
kura umepiga wewe

Nimepiga muda sio mrefu,unajua sie tunaotumia simu tulikuwa tunashindwa kuvote,sasa namshukuru mzee Kaweka thread jinsi ya kupiga kura kwa wale wanaotumia simu!

Ndo tumekupigia kura hivyo shansarie kesho utangazwe miss alafu kakangu kiwatengu uanze kumuona hafai,si tunamuona yule wa Daimond?Tutakuvua taji sisi
 
Last edited by a moderator:

hahahahaha mkuu umenichekesha sana sana...
 
hahahahaha mkuu umenichekesha sana sana...

Ndo tumshukuru Mungu kwa uumbaji,maana ingekuwa balaa,fikiria leo ukichelewa kurudi kwenye mechi ya Man na Arsenal bibie shansarie anakuvizia si itakuwa balaa hiyo?!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…