Je wajua?

Je wajua?

Judgement

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2011
Posts
10,326
Reaction score
4,787
Kwamba Konokono wote ni jamii ya "HERMAPHRODITES"
Namaanisha kuwa wana own both gender , Male & Female .

Is an organism that has reproductive organs , normally associated with both Male & Female.

Ktk kujamiiana kanuni ni kulana timing , atakaebugi step kwa doro flani , ama kajiachia mikao ya kihasara anakwewa ! (pandwa) na ndiye atakaetaga mayai. (in a certain period)

Fikiria Binadamu tungeumbwa na formula hii !
Na hizi akili zetu ! Ingekua vipi ?
Tungetembeleana kweli ?
Mkeo ukimzingua anakulia vaku nite kali kidume uko mikoromoni , anakutundika mimba !

Najaribu kupiga picha , mathalan ungekuta wkt flani mijanadume kama 60 hivi ya Jf mijamizito! Ishatundikwa!
Sure shughuli ingekua pevu .

Muumba aliliona hilo mapema akatupa formula tuliyonayo.

K w a h e r i n i .
 
mbona hata sasa hivi kuna mijianaume ina mimba zisitarajiwa 'vitambi'...(hapa najua kuna raia watanikata jicho kali)
 
Kwamba Konokono wote ni jamii ya "HERMAPHRODITES"
Namaanisha kuwa wana own both gender , Male & Female .

Is an organism that has reproductive organs , normally associated with both Male & Female.

Ktk kujamiiana kanuni ni kulana timing , atakaebugi step kwa doro flani , ama kajiachia mikao ya kihasara anakwewa ! (pandwa) na ndiye atakaetaga mayai. (in a certain period)

Fikiria Binadamu tungeumbwa na formula hii !
Na hizi akili zetu ! Ingekua vipi ?
Tungetembeleana kweli ?
Mkeo ukimzingua anakulia vaku nite kali kidume uko mikoromoni , anakutundika mimba !

Najaribu kupiga picha , mathalan ungekuta wkt flani mijanadume kama 60 hivi ya Jf mijamizito! Ishatundikwa!
Sure shughuli ingekua pevu .

Muumba aliliona hilo mapema akatupa formula tuliyonayo.

K w a h e r i n i .
hata fisi mkuu wana jinsia zote
 
mungu katuumba vyema, lakini kuna mijanaume mingine inapandwa....au hujui?
 
Back
Top Bottom