Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,326
- 4,787
Kwamba Konokono wote ni jamii ya "HERMAPHRODITES"
Namaanisha kuwa wana own both gender , Male & Female .
Is an organism that has reproductive organs , normally associated with both Male & Female.
Ktk kujamiiana kanuni ni kulana timing , atakaebugi step kwa doro flani , ama kajiachia mikao ya kihasara anakwewa ! (pandwa) na ndiye atakaetaga mayai. (in a certain period)
Fikiria Binadamu tungeumbwa na formula hii !
Na hizi akili zetu ! Ingekua vipi ?
Tungetembeleana kweli ?
Mkeo ukimzingua anakulia vaku nite kali kidume uko mikoromoni , anakutundika mimba !
Najaribu kupiga picha , mathalan ungekuta wkt flani mijanadume kama 60 hivi ya Jf mijamizito! Ishatundikwa!
Sure shughuli ingekua pevu .
Muumba aliliona hilo mapema akatupa formula tuliyonayo.
K w a h e r i n i .
Namaanisha kuwa wana own both gender , Male & Female .
Is an organism that has reproductive organs , normally associated with both Male & Female.
Ktk kujamiiana kanuni ni kulana timing , atakaebugi step kwa doro flani , ama kajiachia mikao ya kihasara anakwewa ! (pandwa) na ndiye atakaetaga mayai. (in a certain period)
Fikiria Binadamu tungeumbwa na formula hii !
Na hizi akili zetu ! Ingekua vipi ?
Tungetembeleana kweli ?
Mkeo ukimzingua anakulia vaku nite kali kidume uko mikoromoni , anakutundika mimba !
Najaribu kupiga picha , mathalan ungekuta wkt flani mijanadume kama 60 hivi ya Jf mijamizito! Ishatundikwa!
Sure shughuli ingekua pevu .
Muumba aliliona hilo mapema akatupa formula tuliyonayo.
K w a h e r i n i .