Mkuu elimu inasaidia kwenye maisha, (hata ambae hana elimu kama amefika level fulani, ina maana huenda angepata elimu angefika level ya juu zaidi).
Lakini kutokuwa na Elimu sio kwamba mtu atashindwa maisha ya ndoa (kumbuka kwenye ndoa hatutafuti mtu wa kuandika thesis, au lecturer wa kufundisha jambo fulani) ni kutafuta mwenza wa kushare maisha (ambapo hapa zinazotakiwa ni basics ambazo mtu yoyote mwenye malezi bora na busara anajua jinsi ya kuishi na mwenza)
Katika maisha ya watu wawili kutokuwa na elimu hakumaanishi kwamba maisha ya wawili yatakuwa sio bora