Naomba mawazo yenu,kwa niaba ya rafki yangu, alikopa mkopo benki ili mke awe na mradi,anakatwa mshahara , wanapoishi bado wanajenga ,pesa inayotumika ni ya mwanaume,mke wake amejenga nyumba kwa siri yenye thamani kubwa kuliko mradi, pasipo kumjulisha mme, mradi pia ameufilisi,, wanawatoto watatu nani wanandoa,upande wa mwanamke wanashangilia na kutetea tukio hilo.Je huyu afanye nini ili moyo wake uwe na amani na famila idumu?