Je usaili wa immigration umeshafanyika?

Je usaili wa immigration umeshafanyika?

sebabrace

New Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
2
Reaction score
0
Naomba msaada kwa anae jua kuhusu nafasi za kazi za corporal na constable zilizotoka november 2015 ,Kama wameshaitwa kwenye usaili. na kama bado, lini wanaweza kuita?
 
Naomba msaada kwa anae jua kuhusu nafasi za kazi za corporal na constable zilizotoka november 2015 ,Kama wameshaitwa kwenye usaili. na kama bado, lini wanaweza kuita?
Bado kijana, kuitwa kwenye usaili itakuwa January or february 2016
 
Kuwa mvumilivu kwani kazi ya kuchambua barua za applicants inahitaji mda na idara husika ina majukumu mengi!!be patient up to january or february 2016
 
Bado hatujaanza hata kuchambua barua zenu,maana zililetwa na fuso 7.
 
Nasikia Mwezi huu watatuita kwani uwa wanakaa baada ya mwezi mmoja Na wiki Mbili tokea deadline ya kutuma. Tuwe Na subira
 
Nasikia Mwezi huu watatuita kwani uwa wanakaa baada ya mwezi mmoja Na wiki Mbili tokea deadline ya kutuma. Tuwe Na subira
Watawaita wewe na nani? Na umejuaje kama wewe utaitwa? Au ulishikwa mkono?
 
Watawaita wewe na nani? Na umejuaje kama wewe utaitwa? Au ulishikwa mkono?

hz zama za maguful fanya hvo utumbuliwe jipu chek trl wamejazana wapare na wachaga shame!! na wote sba kbarua kmeota nyax
 
Watawaita wewe na nani? Na umejuaje kama wewe utaitwa? Au ulishikwa mkono?

hahahahahaaaa,dah imenibidi nicheke kwa sauti tu mkuu...si kwa msuto huu mkuu...nazani kuanzia leo atajifunza matumizi ya "nafsi ya tatu wingi".
 
Back
Top Bottom