W web engineer Member Mar 19, 2012 55 0 Apr 19, 2012 #1 jamani kwa wale wadau wanao tafuta mchumba,hii ni site yenu! gonga hapa Online Dating at Swahili Singles asante
jamani kwa wale wadau wanao tafuta mchumba,hii ni site yenu! gonga hapa Online Dating at Swahili Singles asante
OTIS JF-Expert Member Sep 7, 2011 2,251 828 Apr 19, 2012 #3 Kama wachumba wenyewe ndio wamejazia kama huyo hapo mie naomba kutoa jina OTIS
W web engineer Member Mar 19, 2012 55 0 Apr 19, 2012 Thread starter #4 click hii link mkuu Online Dating at Swahili Singles
Laigwanan76 JF-Expert Member Nov 21, 2010 551 153 Apr 22, 2012 #6 Tatizo wengi wameweka picha sia zao na wengine wameweka picha za vikaragosi/vibonzo/wanyama......kaazi kweli kweli
Tatizo wengi wameweka picha sia zao na wengine wameweka picha za vikaragosi/vibonzo/wanyama......kaazi kweli kweli
Kite Munganga Platinum Member Nov 19, 2006 1,773 952 Apr 22, 2012 #7 Laigwanan76 said: Tatizo wengi wameweka picha sia zao na wengine wameweka picha za vikaragosi/vibonzo/wanyama......kaazi kweli kweli Click to expand... Ni hapo utakapokutana naye!
Laigwanan76 said: Tatizo wengi wameweka picha sia zao na wengine wameweka picha za vikaragosi/vibonzo/wanyama......kaazi kweli kweli Click to expand... Ni hapo utakapokutana naye!
Mwana Mtoka Pabaya JF-Expert Member Apr 22, 2012 15,118 16,470 Apr 22, 2012 #8 Acheni mambo ya ajabu nyie watoto, hivi mchumba anapatikana kwenye masoko namna hiyo? Sema kama unatafuta kiruka njia wa kuruka naye mitaani wakati unatafuta ukimwi
Acheni mambo ya ajabu nyie watoto, hivi mchumba anapatikana kwenye masoko namna hiyo? Sema kama unatafuta kiruka njia wa kuruka naye mitaani wakati unatafuta ukimwi
M Mangungu JF-Expert Member Apr 22, 2012 2,392 3,017 Apr 22, 2012 #9 Mchumba hata hujawah mit nae? Siku hz mchumba must umjue bwana ebo
Stev0909 Member Oct 19, 2014 5 0 Oct 19, 2014 #11 ila kujuana muhimu sababu tunaona matukio mengi ya ndoa kwa wana ndoa kushindwa kuvumiliana baadhi ya mambo.
ila kujuana muhimu sababu tunaona matukio mengi ya ndoa kwa wana ndoa kushindwa kuvumiliana baadhi ya mambo.
Aventus JF-Expert Member Mar 8, 2013 1,914 1,977 Oct 19, 2014 #12 Hv wachumba wameisha mazngra uliyopo ama utakua na mapungufu yko bnafs