Je; Unahitaji Professional Bodyguard Au Detective Agency?

Je; Unahitaji Professional Bodyguard Au Detective Agency?

Ngoja kwanza kabiashara kangu kawe kakubwa nitawatafuta,sasa hivi sihijati ulinzi maana hata hela ya kuwalipa sina.

Wait!!
Ngoja niongee na mkubwa Mbowe akinipa ukuu wa m4c kanda ya kaskazini kusini nitawatafuta maana lazima ccm wataniwinda.
 
mkuu mmesajiliwa wapi na kwa sheria ipi??
 
Salaam sana

Je; wewe ni mwanasiasa, mfanyabishara au raia ambaye maisha yako yako au familia yako hatarini?

Je, unahitaji Body Guards au Detectives ambao wamepitia mafunzo maalumu?

Tunatoa huduma zifuatazo k
wa ambao wanafikiri usalama wao uko mashakani na wanahitaji walinzi binafsi na wapambe wa kuwasindikiza wa kike au wa kiume. Bodyguards wetu wamepitia mafunzio ya maalumu na ukakamavu kama Karate na kujihami.

Huduma tunazotoa ni pamoja na:

1. Bodyguards
2. Closed Protection & Escort


Kwa waliohitaji uchunguzi wa masuala mbalimbali ili kupata ushahidi wa uhakika katika makampuni, masuala ya ndoa, biashara, elimu, ajira nk nk tunatoa huduma inayotolewa na Agents wetu waliopitia mafunzo maalumu ya:

3. Detectives & Investigation

Kama una hitaji huduma hiyo tafadhali ni PM.
Nitakutafuta mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom