johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,947
- 141,925
Hili ni angalizo tu kwa wazabuni wenye tabia ya kuzidisha bei maradufu kwenye oda za serikali kaeni mkao wa kusikilizia.
Hii inahusisha wafanyabiashara na maafisa ugavi.....kama uliwahi kuuza/kununua kalamu ya BIC kwa sh 1000@ kwa ajili ya matumizi ya serikali basi angalizo hili linakuhusu, huu ni mfano mmoja.
Nimetonywa na kijani mwenzangu pale Lumumba.
Maendeleo hayana vyama!
Hii inahusisha wafanyabiashara na maafisa ugavi.....kama uliwahi kuuza/kununua kalamu ya BIC kwa sh 1000@ kwa ajili ya matumizi ya serikali basi angalizo hili linakuhusu, huu ni mfano mmoja.
Nimetonywa na kijani mwenzangu pale Lumumba.
Maendeleo hayana vyama!