Je umeibiwa sumsung galax soma hapa

Je umeibiwa sumsung galax soma hapa

Jini mahaba

Senior Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
151
Reaction score
39
Samsung Galax yako imeibiwa..
umenuna, umesikitika umetukana na kulaani wezi wamekurudisha nyuma kimaendeleo..!!!
Ila ulivyopoteza bikira yako kwa tamaa za bia chips na nyama choma wala hukujishutukia mwenyewe ulitafuta maji ya kujikanda..
piga kimya bhana usitupigie kelele
 
Kwani wanaoibiwa galaxy ni wanawake tu?
Au ulikuwa unamaanisha nini?
 
Samsung Galax yako imeibiwa..
umenuna, umesikitika umetukana na kulaani wezi wamekurudisha nyuma kimaendeleo..!!!
Ila ulivyopoteza bikira yako kwa tamaa za bia chips na nyama choma wala hukujishutukia mwenyewe ulitafuta maji ya kujikanda..
piga kimya bhana usitupigie kelele

naomba ututake radhi haraka kabla hatua za kinidhamu hazijakushuki hii si sehemu ya wahuni na wavuta bangi.
 
Invinsibo upo safari kiongozi naona hawa watoto wa facebook wamesha hamia huku
 
We ndo mume wa mtu wewe? Hatari sana na ndo mana mke wako hajakupa limbwata akili yako yenyewe limbwata tupu.
 
Weye lazima utakuwa msharonyo. Bangi za kuanzia utotoni noma.
 
Aisee! Hata wanaume waliopoteza galaxy nao wapige kimia?Mungu tuepushie hii laana,bangi ihalalishwe colorado madhara yake tunayapata bongo,ikihalalishwa bongo sijui itakuaje!
 
Samsung Galax yako imeibiwa..
umenuna, umesikitika umetukana na kulaani wezi wamekurudisha nyuma kimaendeleo..!!!
Ila ulivyopoteza bikira yako kwa tamaa za bia chips na nyama choma wala hukujishutukia mwenyewe ulitafuta maji ya kujikanda..
piga kimya bhana usitupigie kelele

Dah!wamekusamehe,Ila usirudie tena
 
Mi nilijua unatupa mbinu za kupambana na wizi...kumbe.... MaCCM bhana...
 
Back
Top Bottom