😀😀😀Nishapata experience siwez fanya ujinga tena...Usimtafute piga kimya wewe, kwani yeye ndio mwanamke pekee aliyopo duniani?? No Matter how good is she, she can be replaced. Everyone can be replaced. Acha kujipendekeza kwake.
Natamani nikuweke vibao ujue
That is me..Mamaaae.
Kwanza ngoja niliieeee.
Naanza nikiwa chuo mwaka wa tatu nilibahatika kutokea kumpenda mdada mmoja kutoka moyoni yaani ile moyoni sio ya kuigizs yule dada aseme nini mimi nisifanye.
Akiumwa Hospitali pembeni niko,
Chakula maji kiuhalisia kwa asilimia kubwa nilikuwa naprovider mwenyewe.
Ila Yule dada viwango vyake vya kunielewa nadhani havikufika kwangu,
Katika kufanya yote mengine hata sijaayaandika humu wala hakuwa na muda na mimi.
Basi Katika kupata nisicholihitaji nakumbuka nilijifunza pombe hapo hapo.
Ashukiriwe Mungu miaka ikaenda nikaja kupata mwanamke ambaye mimi mwenyewe ndo alinipenda sana tena kwa dhati.
Kale kadada nilikuja kukutana nae ofisi moja ya serikali jamii kuna issue tulikuwa tunafuatilia wote nachokumbuka kwa hasira nikamtoa lunch nilitumia elfu 50 kwa ajili yake anione tu na hela.
Baada ya hapo kaanza kunitafuta na kuniambia ya kuwa nimekachunia nikacheka sana nikasema kiko wapi wewe... mpumbavu mmoja kwendraaaaaaaaaaaa
Bangi mbaya sanaHii hali ilinikuta kwenye mahusiano yangu yaliyopita..nahisi nilikua attached sana kwa yule mwanamke.
Kwanza tulipendana sana, alinisaidia vitu vingi sana ukizingatia nilikua bado mwanafunzi wa chuo kwhyo alisolv vitu vingi. Hata matatizo yangu ya ujana yeye alinisaidia, kuna kipindi nilikamatwa nikakaa polisi wiki mbili nzma (nilikutwa na misokoto kadhaa ya weed so sikutaka yeyote home ajue) na huku polisi wanadai namba za ndugu ili wawambie waje kunitoa wao wapige hela mi nawambia sina namba yyte. Washkaji walivomwambia manzi akaja kunitoa, alilipa 400K ili kuua lile soo..na mbaya zaidi siku amekuja kunitoa kumbe ndo siku ambayo mother kapata taarifa so by the time tunatoka nje ya jengo la polisi tunakutana na mama..ile mother kuniona na kumuelekeza situation ilivokua she cried aisee halafu akam hug yule mwanamke wakalia sana pamoja! Nikazidi kumpenda..
Ikatokea kipindi nikampa mwanamke mwingine ujauzito, aliumia na akalia sana that day..akanambia nae alikua na ujauzito pia, alitaka kunifanyia surprise siku ya Graduation anambie. Lkn hakutaka kunikosa, mahusiano yakaendelea akanambia tulee tu hizo mimba. Nikaona i found an angel in person, she loved me hadi nikaogopa..mwanamke wangu wa pili ndo alitangulia kujifungua, nikapata a princess na huyu mwanamke aka suggest nimuite mwanangu Rowlene.
Baada ya mimi kupata mtoto mahusiano yakaendelea lkn kwa shida sana, kukaanza kutokea maugomvi mengine hayaelewek kabisa. Sometimes namuita ghetto inatokea tuu kanikosea kitu hasira zinanipanda nampiga akn hapohapo nakuja kugundua nmemkosea nambembeleza (lkn hapa nikawa naumia kwani ilibd tusahau kosa lake).
Mahusiano niliyapambania sana, nilihisi hakuna kitakachowezekana bila yeye. Ikafika kipindi najiaibisha (something i said I'd never do) ili kumfanya abaki.
Things turned from bad to worse aliposema anataka kuachana na mim kwan anahisi alikuja kwenye maisha yangu kama daraja tuu ili mm niwe na nimpendae..hapa pia nilipambania sana, i felt weak and cried a lot. Sikuliona kosa na kama ni yale madogo madogo nilifikiri tungeweza kuyasolv. I tried ndugu zangu lkn juhudi zangu ziligonga mwamba. Badae nikaja kugundua kuwa kuna kitu kagundua, alishika simu akakuta nmemsev yule mwanamke "Wifey".. Yeye hakua na shda kwa mimi kuwasiliana nae, ila tuu nimpende yeye peke yake huyu tuwasiliane tuu kama wazazi wenza. Hapo nikajua hakuna nnachoweza kufanya ili kumfanya abaki..na kumuacha siwez kwani i felt like i was loosing a part ov me!!
Ikafika kipindi nikaamua niache kujidhalilisha..nitakubaliana vipi na fact kuwa nnamkosa? Nikamuomba tuu nimkosee kosa ambalo litafanya mimi nayey tusitafutane tena, tuchukiane mno. Tukakubaliana kuwa sehem ya mwisho ya mahusiano yetu ilikua kama kiazi kilichooza, kila mtu aliumizwa..tukakubaliana tufanye kitu. Meenh nikafanya bonge moja la tukio ambalo kweli tulifanikiwa kupata tulichotaka. I hope she's fine huko aliko
Wabaya watuBangi mbaya sana
thnx jaman ukuje sasaUsichoke Da'Vinci yupo moneytalk
kwahiyo ndo mmeachana hivyoUzi ulipopita kwenye recent nilikumbuka kuwa nilishawai toa ushuhuda wangu humu... nimetumia almost robo saa kutafuta comment yangu.....
Inshort Da'Vinci Nilikupinga before ila now... nimeamin nothing is parmanent...
Mrejesho niliendelea na binti.. mpaka mwaka jana nikaona kama naforce mapenzi..
nikaamua kumkaushi toka mwezi wa 8 last year na hatujatafutana toka hapo... birthday zangu for the past 8 year alikuwa anajua yeye tuu sio mshabiki wa birthday ila yeye on my birthday alijitaidi iwe day special kwangu... nilivyomkaushia nikasemaa nitamprove wrong on my birthday this year kama atafanya as usual
here i am.. hakuna kilichotokea that day... nikaona kumbe i was right.. alikuwa ananiigizia.. but nimepanga birthday yake ikifika i will do the same kama ninavyo fanya miaka yote kumuonesha tu kuwa nilikuwa simuigizii
Selikavu
4/4/2023
Huu ni mtihani mgumu sana..shida inatokea tu kuwa attached with someone without knowing unakuja kushtuka tayari yupo moyoni...i wish ningekuwa na moyo kama wako lakini ndio hivo tena people we differ in handlin things ila kumpoteza unaempenda inaumasana aisee sikula siku 3 nashindia juiceu guy popote ulipo I am doin just fine n am happy.Peace n Love.
mapenzi yanatesa sana jaman,napitia kipindi kigumu mno ila naimani yatapita tu,nitamsahau nahata akileta wanawake wengine sitaumia
Usimtafute piga kimya wewe, kwani yeye ndio mwanamke pekee aliyopo duniani?? No Matter how good is she, she can be replaced. Everyone can be replaced. Acha kujipendekeza kwake.
Natamani nikuweke vibao ujue
Jikazemapenzi yanatesa sana jaman,napitia kipindi kigumu mno ila naimani yatapita tu,nitamsahau nahata akileta wanawake wengine sitaumia
Pole yatapita it just matter of time....time heal.mapenzi yanatesa sana jaman,napitia kipindi kigumu mno ila naimani yatapita tu,nitamsahau nahata akileta wanawake wengine sitaumia
Ngoja nmsaidie davinc....unampenda bado huyo mwanamke mkuu don't lie...Nishapata experience siwez fanya ujinga tena...
namtafuta siku hiyo kumkumbusha tu alipendwasio kwa ubaya na siku hiyo one Message only
KabisaaKinachotugharimu na kutuumiza ni Yale mazoea tunayokua nayo Kwa watu, I mean those best memories from them! Haki attachments za feelings zinaumiza sana. Anyways Mungu atusaidie aisee heart breaks hazizoeleki kabisa
Wanawak wa Aina km hyo ni mademu wa mchongo wanafanya vitu ambavyo si sahih then apo baadae wanayakumbuka mazur waliokuwa wakitendewaMamaaae.
Kwanza ngoja niliieeee.
Naanza nikiwa chuo mwaka wa tatu nilibahatika kutokea kumpenda mdada mmoja kutoka moyoni yaani ile moyoni sio ya kuigizs yule dada aseme nini mimi nisifanye.
Akiumwa Hospitali pembeni niko,
Chakula maji kiuhalisia kwa asilimia kubwa nilikuwa naprovider mwenyewe.
Ila Yule dada viwango vyake vya kunielewa nadhani havikufika kwangu,
Katika kufanya yote mengine hata sijaayaandika humu wala hakuwa na muda na mimi.
Basi Katika kupata nisicholihitaji nakumbuka nilijifunza pombe hapo hapo.
Ashukiriwe Mungu miaka ikaenda nikaja kupata mwanamke ambaye mimi mwenyewe ndo alinipenda sana tena kwa dhati.
Kale kadada nilikuja kukutana nae ofisi moja ya serikali jamii kuna issue tulikuwa tunafuatilia wote nachokumbuka kwa hasira nikamtoa lunch nilitumia elfu 50 kwa ajili yake anione tu na hela.
Baada ya hapo kaanza kunitafuta na kuniambia ya kuwa nimekachunia nikacheka sana nikasema kiko wapi wewe... mpumbavu mmoja kwendraaaaaaaaaaaa
Yaani nikiwaonaga watu kama wewe,wanaume wanateseka kisa wanawake natamani niwazabe vibao. Kwanini umtumie sms?? Kua alpha male...Kua katili kihisia. Amekuzingua mpotezee, kwani yeye ana kitu gani special ambacho wengine hawana??😀😀😀Nishapata experience siwez fanya ujinga tena...
namtafuta siku hiyo kumkumbusha tu alipendwa 😄sio kwa ubaya na siku hiyo one Message only
Nini kinawapata hadi mnakaa siku tatu eti hamli kisa mmeachwa?? Hua wanawapa vitu gani??Basi msamehe
Nini kinawapata hadi mnakaa siku tatu eti hamli kisa mmeachwa?? Hua wanawapa vitu gani??
Au ni mimi tu sinaga upendo rohoni?
Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?
Inakuaje mtu unakosa raha ya maisha kwa ajili ya mtu mmoja unaempenda halafu yeye hana mpango na wewe. Duniani tupo watu zaidi ya 7 billion kwanini ujisumbue kung'ang'ania mtu mmoja ambae anaku-Ignore. Ukiwa peke yako unakuwa unamuwaza ila mwenzio hana habari nawe, unacall na kutext ila mwenzio...www.jamiiforums.com