EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Hii michezo ilikuaga sana corner bar Sinza miaka ya 2008Mimi jana tu. Nimefika bar moja ina watu kibao mida ya saa mbili usiku. Nikuagiza dada mhudumu aniletee Balimi bariiiid. Kaniambia nimpe hela kwanza. Basi nikampa elfu kumi. Nilisubiri beer nusu saa nikaenda kuuliza mbona siletewi beer yangu. Baada ya kum describe bidada na bar maid wote kufolenishwa bidada hakuwepo. Kumbe yule alikua si mfanyakazi wa pale ila alivalia kama wafanyakazi kuwaibia waheshimiwa wateja. Nilikua sina hela nyingine mfukoni hata ya daladala...
Wadada wanakuja wamevaa sare za blauzi white na black skirts au suruali kama wahudumu.
wanakaa nje na bia moja ya kuzugia mkija kikundi bila shaka mtaagiza round na mtatoa kama sio 10k basi 20k bidada anatokomea zake.