Jamani bangi ni mbaya sana..kuna kaka hapa mtaani kwetu its more than 20years now anavuta bangi..miaka hiyo alikua akishavuta anaingia stoo ya nyumba yao anachukua chupa za soda tupu na za bia anazijaza kwenye kiroba then anapanda juu ya dari la nyumba yao anaanza kumpiga kila anaepita njia.!tukio baya zaidi ni pale alipovua nguo nguo zote ndani kwao na kuanza kutembea uchi wa mnyama mtaa mzima.!!
Akili za kizaman sana hzi! wew hujui kuwa bangi inatibu magonjwa
I smoked but I was just normal. The only difference niloipata I got a bit serious a few hours after smoking.
niko nagonga hapa
niko nagonga hapanasikitika waja wengi wanapotosha bangi na matokeo yake... Kila kitu kipya huja kwa namna yake, chukulia ngono kwa mfano... Wapo wanaoanza vema, wapo wanaoanza kwa kubakwa na maumivu makali na kadhalika lakini mwisho wa picha wote tunayaruka majoka.
Bangi ina matokeo mawili, stimu na mawenge, hakuna droo.
Stimu ni ile hali ya kujisikia nusu mungu, kuwa na hisia chanya juu ya mambo yote mema na watu fulani hushushiwa ujumbe wa kimungu 'wahyi' wakiwa katika hali hii ya stimu.
Mawenge ni hali ya kujisikia hovyo, kukosa utulivu, kuhisi kama vitu vinavuruga kichwani na husababishwa na uwiano usio sawa kati ya kiwango cha bangi na nguvu aliyonayo mvutaji. Nguvu inayosemwa hapa sio ya mwili, ni nguvu ya fikra ambayo huathiriwa na mambo kadha ikiwemo hali ya kisaikolojia na chakula ulichokula.
Iwe ni wenge ama stimu, njaa iko pale pale kwani njaa ni matokeo ya ubongo kufanya kazi sana, ama ya kutafakari au ya kupambana na hisia za uoga ulopitiliza, paranoia.
Kwenye mawenge, mvutaji asipoweza kujidhibiti anaweza kupakaziwa uchizi na ikawa hivyo maisha yake yote, nasisitiza, kupakaziwa!
Gonga 'like' nikuye na nondo zaidi.
Udumu utakatifu asili!
Jamani bangi ni mbaya sana..kuna kaka hapa mtaani kwetu its more than 20years now anavuta bangi..miaka hiyo alikua akishavuta anaingia stoo ya nyumba yao anachukua chupa za soda tupu na za bia anazijaza kwenye kiroba then anapanda juu ya dari la nyumba yao anaanza kumpiga kila anaepita njia.!tukio baya zaidi ni pale alipovua nguo nguo zote ndani kwao na kuanza kutembea uchi wa mnyama mtaa mzima.!!
Kwa kweli mimi hunipa usingizi mwororo na hupenda kusikiliza muziki lainiiiiiii
Mie naomba nisiseme, ibaki tu Siri yangu...ilikua mwaka 2004 nikiwa form two
Eeeh ndo hivoKumbe!!