kwa ujumla tanzania hamna chuo cha maana ila ni umaskini tu ndio maana wenye pesa zao wanakwenda huko kwenye vyuo vilivyokamilika, hata huyo anaefundisha utaona anaona ufahari kwa kuelezea alisoma mfano masters yake katika chuo fulani cha maana huko nje, elimu inaanza na mazingila na mazingira ya kusomea je kwa tanzania kuna chuo gani kina mazingira mazuri ya kusomea? lecture maisha magumu mshahara mdogo muda wote anatamani labda akajaribu kugombea ubunge aboreshe maisha yake, mwanafunzi ajapata mkopo na kama kapata hautosherezi, chuo chenyewe hakina facilities mwanafunzi hana mahali pa kulala analala kilometre kumi huko mtaani na usafiri ni wa shida, basi ni kama fujo tu ilimradi tu