hata mimi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 1,356
- 1,447
Yawezekana heading haijaeleweka ila ufafanuzi utaeleweka vizuri tu.
Awali ya yote nitoe tahadhari kama wewe una tatizo la kuungulika au kutofurahishwa na uislamu na mambo yake basi ishia hapa kusoma.
Nimetahadharisha hivyo kwasababu rejea nitakazoleta hapa chini ni za kiislamu tupu. Haya sasa ngoja nitolee ufafanuzi kwanini nauliza siri ya udongo katika maswala ya usafi
Kwanza katika swala la udhu mtu akikosa maji anachukua udhu kwa udongo safi (tayammam). Hii kitu huwa najiuliza sana ni kwanini
Pili swala la najisi mfano mbwa na nguruwe wakilamba vyombo au sehemu yoyote mtu anatakiwa asafishe kwa kuambatanisha na kusugua kwa udongo safi
Tatu ni maelezo yanayoonesha kuwa Mtume Muhammad alikuwa baada ya kujisaidia akishajisafisha kwa maji vizuri kabisa alikuwa akisugua chini kwenye udongo kidole alichotumia kujisafishia haja
Awali ya yote nitoe tahadhari kama wewe una tatizo la kuungulika au kutofurahishwa na uislamu na mambo yake basi ishia hapa kusoma.
Nimetahadharisha hivyo kwasababu rejea nitakazoleta hapa chini ni za kiislamu tupu. Haya sasa ngoja nitolee ufafanuzi kwanini nauliza siri ya udongo katika maswala ya usafi
Kwanza katika swala la udhu mtu akikosa maji anachukua udhu kwa udongo safi (tayammam). Hii kitu huwa najiuliza sana ni kwanini
Pili swala la najisi mfano mbwa na nguruwe wakilamba vyombo au sehemu yoyote mtu anatakiwa asafishe kwa kuambatanisha na kusugua kwa udongo safi
Tatu ni maelezo yanayoonesha kuwa Mtume Muhammad alikuwa baada ya kujisaidia akishajisafisha kwa maji vizuri kabisa alikuwa akisugua chini kwenye udongo kidole alichotumia kujisafishia haja