Je, TAMISEMI mwaka huu hakuna Ajira za Walimu?

Je, TAMISEMI mwaka huu hakuna Ajira za Walimu?

Joined
Mar 12, 2019
Posts
31
Reaction score
31
Tangu Mama ameingia madarakani amerejesha matumaini ya ajira kwa vijana wa kitanzania kulinganisha miaka 6 kabla yake. Hii Ni baada ya miaka yake miwili kuajiri kada ya elimu na afya.

Na hili limekuwa likifanyika miezi Kama hii kwa Tamisemi kutangaza nafasi hizo ambapo waombaji huomba na mpka mwezi June basi huweza kupangiwa vituo vyao vipya.

Kilicho nifanya niandike hapa nikuona huu ni mwezi March na sioni tamko au dalili za uwepo wa ajira kwa mwaka huu kwani ajira hizo miezi Kama hii huanza kwa matamko kisha hutangazwa mitandaoni.

Wajuzi wa mambo, je, mwaka huu tuwe na matumaini au ni mpaka mwakani ambapo chama changu kitakuwa kinajianda na uchaguzi wa serikali za mitaa ndipo waje na hadaa za ajira?
 
Tangu Mama ameingia madarakani amerejesha matumaini ya ajira kwa vijana wa kitanzania kulinganisha miaka 6 kabla yake. Hii Ni baada ya miaka yake miwili kuajiri kada ya elimu na afya.

Na hili limekuwa likifanyika miezi Kama hii kwa Tamisemi kutangaza nafasi hizo ambapo waombaji huomba na mpka mwezi June basi huweza kupangiwa vituo vyao vipya.

Kilicho nifanya niandike hapa nikuona huu ni mwezi March na sioni tamko au dalili za uwepo wa ajira kwa mwaka huu kwani ajira hizo miezi Kama hii huanza kwa matamko kisha hutangazwa mitandaoni.

Wajuzi wa mambo, je, mwaka huu tuwe na matumaini au ni mpaka mwakani ambapo chama changu kitakuwa kinajianda na uchaguzi wa serikali za mitaa ndipo waje na hadaa za ajira?
Mbona mfumo umefunguka
 
Mhe. Ridhiwan Kikwete, Tafadhali muangalie namna mtawapooza waliosoma postgraduate in Education. Nahisi hakuna mwaka walioajiriwa.

Unakuta mtu aliomba kozi ya elimu pamoja na nyinginezo akachaguliwa lets say utalii. Then bado akatoa ada akasoma pastgraduate diploma in Eductin lakin wala hawahangaiki nao.

Sijui wana mpango upi na hawa raia waliosota kama wako rumande.. [emoji22]
 
Mhe. Ridhiwan Kikwete, Tafadhali muangalie namna mtawapooza waliosoma postgraduate in Education. Nahisi hakuna mwaka walioajiriwa.

Unakuta mtu aliomba kozi ya elimu pamoja na nyinginezo akachaguliwa lets say utalii. Then bado akatoa ada akasoma pastgraduate diploma in Eductin lakin wala hawahangaiki nao.

Sijui wana mpango upi na hawa raia waliosota kama wako rumande.. [emoji22]
Hila ni vema mtu wa namna hii akomae na coz yake mama mana pia kunavijana wamesoma ualimu full kama coz yao mama na wamelipa ada pia lakini bado bila bila
 
Tangu Mama ameingia madarakani amerejesha matumaini ya ajira kwa vijana wa kitanzania kulinganisha miaka 6 kabla yake. Hii Ni baada ya miaka yake miwili kuajiri kada ya elimu na afya.

Na hili limekuwa likifanyika miezi Kama hii kwa Tamisemi kutangaza nafasi hizo ambapo waombaji huomba na mpka mwezi June basi huweza kupangiwa vituo vyao vipya.

Kilicho nifanya niandike hapa nikuona huu ni mwezi March na sioni tamko au dalili za uwepo wa ajira kwa mwaka huu kwani ajira hizo miezi Kama hii huanza kwa matamko kisha hutangazwa mitandaoni.

Wajuzi wa mambo, je, mwaka huu tuwe na matumaini au ni mpaka mwakani ambapo chama changu kitakuwa kinajianda na uchaguzi wa serikali za mitaa ndipo waje na hadaa za ajira?
Cc mpwayungu village
 
Tangu Mama ameingia madarakani amerejesha matumaini ya ajira kwa vijana wa kitanzania kulinganisha miaka 6 kabla yake. Hii Ni baada ya miaka yake miwili kuajiri kada ya elimu na afya.

Na hili limekuwa likifanyika miezi Kama hii kwa Tamisemi kutangaza nafasi hizo ambapo waombaji huomba na mpka mwezi June basi huweza kupangiwa vituo vyao vipya.

Kilicho nifanya niandike hapa nikuona huu ni mwezi March na sioni tamko au dalili za uwepo wa ajira kwa mwaka huu kwani ajira hizo miezi Kama hii huanza kwa matamko kisha hutangazwa mitandaoni.

Wajuzi wa mambo, je, mwaka huu tuwe na matumaini au ni mpaka mwakani ambapo chama changu kitakuwa kinajianda na uchaguzi wa serikali za mitaa ndipo waje na hadaa za ajira?
Wametangaza leo
 
Back
Top Bottom