Unapiga Mech pekee au na Auto electrical?
Ukitaka kununua hizo mashine cheki specs zake.... hizo za bei chee huwa zina function chache mno mpaka ulipie tenaaa na bado itawork kwenye model chache za magari.
Cha kukushauri tembelea fundi yoyote anayefanya hiyo shughuli akupe ABC.
Nb: usisahau nijibu swali nililokuuliza