Je, nyama ya paka inaliwa?

Mwamba028

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2013
Posts
4,649
Reaction score
3,818
Kumekuwa na kawaida ya kutoziona maiti za paka pale wanakufa, ila pia paka amekuwa akihusishwa sana na imani mbalimbali za kishirikina ikiwemo kutumiwa na waganga na wachawi

Ila inapokuja swala la kitoweo, Je mnyama huyu paka anaweza kuliwa nyama kama mbuzi au ng'ombe

Huyu jamaa hapa naona amejitengenezea machinjio yake ya paka, sa sijui anaenda kumla au vp

 
Ikirostiwa vizuri na pilipili
ni tamu sana asikuambie mtu pembeni kuwe na jibapa au Kvant lile kubwa duh halafu inaongeza perfomance kwenye uwanja wa fundi seremala
 
Vitabu vya dini vinasemaje juu ya kula paka? Nachojua kula paka ni najisi kwa mujibu wa vitabu vya kikristo na kiislam,
 
NASIKIA KIMWINGIACHO MTU HAKIMTII UNAJISI, SASA WHY ASILIWE?
 
Mishikaki ya kwenye vituo vya Daladala asilimia kubwa ni ya Paka! Be warned!
 
Syria machafuko yalizidi hadi paka aliliwa kama kitoweo kizuri. Hamna haram duniani, ukiwa Hali mbaya utakula hadi buibui. Nyoka nilikua namuogopa sana, ila siku najaribu nyama ya chatu Nilihisi nakula stake za sato. Katika nyama zote Mamba nimeipenda sana, Mungu akinipa uzima nitaomba kibali niwafuge mamba kwangu ili nipate kitoweo.
 
analiwa tu, waulize wanaume wadar wale wanaopenda kula mishikaki ya chelewa barabarani, washalishwa sana paka na wanadunda mitaani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…