Nyonda Jenipher
Member
- Aug 10, 2013
- 10
- 0
nimezaa naye mtoto na kiukwel ananipenda sana an sana ila anavitabia ambavyo siridhiki navyo na habadiliki hivyo nmepanga tuachane ila cjui nitumie mbinu zipi??
nimezaa naye mtoto na kiukwel ananipenda sana an sana ila anavitabia ambavyo siridhiki navyo na habadiliki hivyo nmepanga tuachane ila cjui nitumie mbinu zipi??
ni fundi cherehan mm
coz nmejaribu kumshauri mara nyingi ila naona haelekei na 1 ya sababu izo ni kwamba anadharau sana sa hawaheshim hata wazaz wng
coz nmejaribu kumshauri mara nyingi ila naona haelekei na 1 ya sababu izo ni kwamba anadharau sana sa hawaheshim hata wazaz wng