Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 18,663
- 13,488
Nimeshangazwa na hili, jamaa yangu alijenga nyumba na kuishia kupiga paa. Baada ya hapo ameishi kama miaka nane bila kuifanyia finishing. Last year aliifanyia finishing na kuhamia. Toka amehamia anasema kwenye nyumba kuna mashetani, usiku kuna kelele dalini na wakipika chakula usiku wakiamka kiasi kingine kimeliwa, mfano wakiandaa maandazi 10 kwa ajili ya chai asubuhi, wakiamka wanakuta yako 7 na anasema hakuna panya kwake.
Binafsi siamini ila yeye anaamini hivyo. Je ni kweli ukichelewa kuhamia kwenye nyumba misukule inakuwa inaishi humo na huwa haitaki kutolewa?!
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Binafsi siamini ila yeye anaamini hivyo. Je ni kweli ukichelewa kuhamia kwenye nyumba misukule inakuwa inaishi humo na huwa haitaki kutolewa?!
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app