Je, ni kweli kuhusu Mombasa?

Unapenda wanawake wa mombasaa!?? shilole wako hakutoshi wee nuh mtoto wa mwsho
 
Swaga za mavee? Ati mimi wa wapi we binti vipi? Namna ndio maana mnashindwa kuandika barua za kuombwa uroda.

Hahaa... master plan bhana, unanivunja mbavu mkuu, mtoto wa mwisho (mziwanda ) ashakuwa binti tena, uroda aliwe na barua anatuma yeye
 
Kwa mwandiko wako huu ukienda lazima ubakwe wazazi wanahasara polee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…