Je, ni haki kulipia uhakiki wa nyaraka mahakamani?

jamii01

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
1,975
1,404
Kumekuwa na tabia ya makarani wa mahakama kuomba pesa pale unapokwenda kuhakiki baadhi ya nyaraka huku ukiwa na original nyenyewe mfano..cheti cha ndoa,cheti cha kuzaliwa,vyeti vya shule,nyaraka nyingine kwa ajili ya kupata mikopo bank na nyenginezo nyingi..mara zote huwa wanomba pesa na usipompatia basi kazi yako anakataaa kufanya(kuweka Muhuri na sahii)
Je mwanachi anatakiwa kulipia hii huduma au hutolewa bure?
Nazungumza hivyo kwa sababu nilikwenda mahakama ya mkoa mwanza karani mmoja alitaka nimpatie laki moja kwa ajili ya kuvelify copy za vyeti vya dogo akidai ni vingi mno..nilikataa kumpatia hiyo pesa!
Alikuwepo mama mmoja pale pale counter yule karani alimwambia ampe elfu 20,000 kwa ajili ya kuvelify copy ya cheti chake cha ndoa maana alikuwa na case pale mahakamani yule mama alikuwa hana ile pesa kisha alitoka nje kisha nakaunza kulia pale.
Sheria au utaratibu unatakiwa huwe wa namna gani hapa kwa wananchi maana wengi wanaokwenda kuomba kufanyiwa vilification mahakamani ni wa vipato vidogo au vya kati zaidi ya hapo mtu anakwenda kwa mwanasheria kuondokana na usumbufu wa mahakamani..
 
Document zote za ku certify ni lazima zilipiwe. Sio lazima mahakamani tu pia hata kwa mawakili. Hilo ni swala la kisheria na ndivyo inavyoelekeza. Kama ni mahakama documents zote utalipia bank na na kuleta risit ndipo zitasainiwa. Huo ndio utaratibu. Kama walikudai pesa angalia mhuri ni wa mahakama au ni wa wakili? utaratibu wa mahakama ni mgumu kidogo kwa maana ni lazima ela ipelekwe bank. Kwa hyo haujaibiwa ndivyo ilivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumekuwa na tabia ya makarani wa mahakama kuomba pesa pale unapokwenda kuhakiki baadhi ya nyaraka huku ukiwa na original nyenyewe mfano..cheti cha ndoa,cheti cha kuzaliwa,vyeti vya shule,nyaraka nyingine kwa ajili ya kupata mikopo bank na nyenginezo nyingi..mara zote huwa wanomba pesa na usipompatia basi kazi yako anakataaa kufanya(kuweka Muhuri na sahii)
Je mwanachi anatakiwa kulipia hii huduma au hutolewa bure?
Nazungumza hivyo kwa sababu nilikwenda mahakama ya mkoa mwanza karani mmoja alitaka nimpatie laki moja kwa ajili ya kuvelify copy za vyeti vya dogo akidai ni vingi mno..nilikataa kumpatia hiyo pesa!
Alikuwepo mama mmoja pale pale counter yule karani alimwambia ampe elfu 20,000 kwa ajili ya kuvelify copy ya cheti chake cha ndoa maana alikuwa na case pale mahakamani yule mama alikuwa hana ile pesa kisha alitoka nje kisha nakaunza kulia pale.
Sheria au utaratibu unatakiwa huwe wa namna gani hapa kwa wananchi maana wengi wanaokwenda kuomba kufanyiwa vilification mahakamani ni wa vipato vidogo au vya kati zaidi ya hapo mtu anakwenda kwa mwanasheria kuondokana na usumbufu wa mahakamani..
Kwa hiyo ulisamehe mkopo?
 
Kwa wakili(advocate) nadhani ni sahihi kumlipa kwasababu ule mhuri ndio ofisi yake inayomwingizia hela (otherwise akugongee yeye mwenyewe bure kwa kupenda)

Kuhusu mahakamani sina hakika kama ni sahihi kulipia. Ila anyways walipe tu tusaidiane katika gharama za uendeshaji.

Usisahau kudai receipt, ukiona hupewi receipt basi ujue malipo uliyofanya sio halali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wakili(advocate) nadhani ni sahihi kumlipa kwasababu ule mhuri ndio ofisi yake inayomwingizia hela (otherwise akugongee yeye mwenyewe bure kwa kupenda)

Kuhusu mahakamani sina hakika kama ni sahihi kulipia. Ila anyways walipe tu tusaidiane katika gharama za uendeshaji.

Usisahau kudai receipt, ukiona hupewi receipt basi ujue malipo uliyofanya sio halali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakili MSOMI Petro atajibu hii ndo fani yake tumsubiri
 
Sijui kama ni sheria, lakini ukienda mahakamani unatakiwa ulipie benki uende na receipt ya kuthibitisha malipo benki ndio wakugongee muhuri, tatizo lipo hapo kwenye viwango.
 
Document zote za ku certify ni lazima zilipiwe. Sio lazima mahakamani tu pia hata kwa mawakili. Hilo ni swala la kisheria na ndivyo inavyoelekeza. Kama ni mahakama documents zote utalipia bank na na kuleta risit ndipo zitasainiwa. Huo ndio utaratibu. Kama walikudai pesa angalia mhuri ni wa mahakama au ni wa wakili? utaratibu wa mahakama ni mgumu kidogo kwa maana ni lazima ela ipelekwe bank. Kwa hyo haujaibiwa ndivyo ilivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa ya account bank hawatoi..na kama ingekuwa utaraibu mzuri nadhani wangeweka account no. au njia ya malipo ya mobile kwa hiyo kila mwananchi kuwa na uelewa..
 
Kwa wakili(advocate) nadhani ni sahihi kumlipa kwasababu ule mhuri ndio ofisi yake inayomwingizia hela (otherwise akugongee yeye mwenyewe bure kwa kupenda)

Kuhusu mahakamani sina hakika kama ni sahihi kulipia. Ila anyways walipe tu tusaidiane katika gharama za uendeshaji.

Usisahau kudai receipt, ukiona hupewi receipt basi ujue malipo uliyofanya sio halali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi pesa sio gharama za uendeshaji..kwani serikali haitoi ruzuku?Basi kama ni gharama ya uendeshaji basi waseme njia sahii ya ulipaji..sio karani anakuomba pesa kama vile anakutongoza..
Kwa mawakili hilo sina shaka..
 
Back
Top Bottom